Kukoroma usingizini: Fahamu chanzo na tiba yake

Kukoroma usingizini: Fahamu chanzo na tiba yake

Una uzito gani? Unene huwa unachangia kwani ukilala manyama uzembe huziba njia ya hewa.

Tafuta position ambayo unapumua vizuri ukiwa usingizini.
Akate uzito,hata mimi hiyo kitu ilinisumbua sana,lakini nilipoamua kushusha kilo zangu sasa hivi niko kwenye silence nzuri sana...
 
Fanya hivi, ile muda umelala, pale unakoroma kabisa, Mtu akushtue, akushtue kutoka usingizani, au kwa kukuzaba kibao, au chochote kitakacho kufanya uamke upesi kwa haraka, Muda huo asikuongeleshe jambo lolote, halafu lala tena, hauta koroma tena kamwe!
NB: Mrejesho muhimu!
Iyo ni kila siku akuzabe kibao au ni Mara moja tu
 
Una uzito gani? Unene huwa unachangia kwani ukilala manyama uzembe huziba njia ya hewa.

Tafuta position ambayo unapumua vizuri ukiwa usingizini.
Mbona kuna bwana mdogo ni kimbau mbau yupo form two lakini anakoroma balaa,hana nyama uzembe zozote
 
Hakuna kitu kinakera kama kulala na mtu anaye koroma, unakosa usingizi unasikilizia kukoroma kwake tu hadi kunakucha.
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wakuu, shemeji yenu ana fujo isio umiza.yaani usingzi ukimkolea anakoroma,chura anasubiri.

Sasa usiombe iwe ni siku ambayo tumegegedana...hua nataman nikalale sebulen.

Mwenye ujuzi wa chochote cha kufanya ili kukoroma usiku walau apunguze tu,maana dah!!!
 
Pole sana. Fuata ushauri wa comment ya hapo juu.
 
Back
Top Bottom