stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 17,216
- 26,225
Akate uzito,hata mimi hiyo kitu ilinisumbua sana,lakini nilipoamua kushusha kilo zangu sasa hivi niko kwenye silence nzuri sana...Una uzito gani? Unene huwa unachangia kwani ukilala manyama uzembe huziba njia ya hewa.
Tafuta position ambayo unapumua vizuri ukiwa usingizini.