Kukoroma usingizini: Fahamu chanzo na tiba yake

Kukoroma usingizini: Fahamu chanzo na tiba yake

Sijui ni kiswahili Sanifu au sio lakini Namaanisha kukoroma yaani sometime huwa tunalala wote chumba kimoja lakini vitandaa tofauti tukiwa Kazini lakini Huyo Rafiki angu ni anakoroma kupita kiasi kuna muda mimi usingizi huwa unaisha kabisa kwasababu yake ya kukoroma

Ni kama Trekta hivi linalima yaani aboa kwa kweli! Sasa najiuliza Mke wake wanae lala nae kitanda kimoja inakuaje? anamvumilia kiasi gani?? yaani hapana kwa kweli

kwanza kukoroma ni nini? Ni ugonjwa au? ili kama ni ugonjwa nimwambie aende hospital nataka kujua!
 
Ulitakiwa kuomba ushauri wa aina hii:

Nifanyeje niweze kupambana ili kipato kikue, ili niache kulala na mwanaume mwenzangu chumba kimoja!
 
Ni mnene sana?? Uwe unamstua hakuna kitu kinakera kama kulala na mtu anayekoroma huwezi kupata usingizi kabisa
 
Sijui ni kiswahili Sanifu au sio lakini Namaanisha kukoroma yaani sometime huwa tunalala wote chumba kimoja lakini vitandaa tofauti tukiwa Kazini lakini Huyo Rafiki angu ni anakoroma kupita kiasi kuna muda mimi usingizi huwa unaisha kabisa kwasababu yake ya kukoroma

Ni kama Trekta hivi linalima yaani aboa kwa kweli! Sasa najiuliza Mke wake wanae lala nae kitanda kimoja inakuaje? anamvumilia kiasi gani?? yaani hapana kwa kweli

kwanza kukoroma ni nini? Ni ugonjwa au? ili kama ni ugonjwa nimwambie aende hospital nataka kujua!
Afazali yako mi nna jamaa Niko nae ghetto usiku ukusahau kufunga vioo kwa mkoromo wake vitaslide mpaka kunakucha halafu sauti yake nyororo tu sijui kooni kafungwa kitu gani cha tofauti na maulana.
 
Nivumilie tuu ndugu yangu, hiyo hali siipendi basi tuu najikuta nakoroma!

Ungeniambia ungenisaidia kuliko kuja kunisema huku!
 
Hakuna kitu ninachokichukia kama kulala na mtu anae koroma maana akishaanza kukoroma usingizi kwangu unaisha ni hakuna kulala hadi kunakucha, wenye kujua suluhisho la kukorama tunaomba mtusaidie.
 
Mpaka saivi sjapata jibu ya dawa ya kukoroma. Kwann watu mnakoment wakati hamna majibu. Mnissmee japo mm sn jibu
 
Sasa na wewe unashindwaje Kukoroma hadi kumzidi rafiki yako? Kama huwezi Mtafute Chura Dume, halafu Jamaa akianza Kukoroma muweke Kaka Chura chini ya Uvungu wake wa Kitanda na uzime taa.., baada ya Nusu SAA Jamaa atakuwa amemka na mnasaidiana kumtoa Chura Nje!!!
 
Unganisha waya uzalishe umeme umsaidie sizonje units za kuendeshea viwanda
 
Back
Top Bottom