Kukoroma usingizini: Fahamu chanzo na tiba yake

Kukoroma usingizini: Fahamu chanzo na tiba yake

mbaya zaidi kama mmegombana wewe hupati usingizi kwa ajili ya kugombana halafu yeye anakoroma!!!!!!!! kuna movie moja mwanamke wa kizungu kagombana na mumewe wee halafu hamna muafaka, kupanda kitandani mwanaume usingizi na kukoroma juu, mwanamke kamuangalia weee hasira zikamjaa wacha amwekee vidole puani mwanaume alikurupuka kama mbwa mwizi, hakyanan angeweza hata kumuua mwenzake.

Kukoroma kunamsumbua sana partner wako haswa kama ni mtu wa kuchelewa kupata usingizi anakawia sana kulala kwa ajili ya hizo kelele, ila smtm sleeping position nayo inaweza kuchangia, mtu kalewa mipombe wenye hiyo tabia ya kukoroma akalala na mgongo sijui ndio kifudifudi mkoro wake sio wa kawaida
 
Hii naamini inawakumba wanandoa wengi,kukoroma. Yaani unakuta mwanaume anakoroma korrooo korrroo yaani mpaka basi.Wenye mauzoefu na kadhia hii hebu twambieni huwa mnai handle vipi kadhia hii? wengine nasikia huama hata vyumba.Jamani hivi kukoroma kuna tiba? maaana..........

Huko peke yako. ninalo hilo tatizo na linazidi kuongezeka. Nimeenda kumwona dr., sleeping specialist, etc nimepewa dawa na kila therapy lakini wapi! Huwa nikiwa ktk mahusiano namwambia mwanamke upfront kuwa ninakoroma vibaya sana. Pole sana
 
Hapo ndio mtaona umuhimu wa wanandoa kuwa na vyumba tofauti. Asikwambie mtu hamna kitu kinachosumbua kama kupigiwa kelele wakati wa kulala. Niliwahi kaa na mdada anakoroma college most of my nights were sleepless. Kukoroma si tatizo kwa anayekoroma tatizo ni kwa msikilizaji; solution ni separate rooms.
 
nyumba kubwa sema ukweli vyumba tofauti kwangu hapana mie napenda kukumbatiwa dah! halafu inakuaje?!

Hapo ndio mtaona umuhimu wa wanandoa kuwa na vyumba tofauti. Asikwambie mtu hamna kitu kinachosumbua kama kupigiwa kelele wakati wa kulala. Niliwahi kaa na mdada anakoroma college most of my nights were sleepless. Kukoroma si tatizo kwa anayekoroma tatizo ni kwa msikilizaji; solution ni separate rooms.
 
mbaya zaidi kama mmegombana wewe hupati usingizi kwa ajili ya kugombana halafu yeye anakoroma!!!!!!!! kuna movie moja mwanamke wa kizungu kagombana na mumewe wee halafu hamna muafaka, kupanda kitandani mwanaume usingizi na kukoroma juu, mwanamke kamuangalia weee hasira zikamjaa wacha amwekee vidole puani mwanaume alikurupuka kama mbwa mwizi, hakyanan angeweza hata kumuua mwenzake.

Kukoroma kunamsumbua sana partner wako haswa kama ni mtu wa kuchelewa kupata usingizi anakawia sana kulala kwa ajili ya hizo kelele, ila smtm sleeping position nayo inaweza kuchangia, mtu kalewa mipombe wenye hiyo tabia ya kukoroma akalala na mgongo sijui ndio kifudifudi mkoro wake sio wa kawaida

ujue mambo haya yanaleta stress sana kwenye mahusiano.
 
Hii ni kwa wale wanaokoroma. Am sure ukiwa na mkoromaji hata kukumbatiwa hutakuwa na hamu nako.

nyumba kubwa sema ukweli vyumba tofauti kwangu hapana mie napenda kukumbatiwa dah! halafu inakuaje?!
 
Huko peke yako. ninalo hilo tatizo na linazidi kuongezeka. Nimeenda kumwona dr., sleeping specialist, etc nimepewa dawa na kila therapy lakini wapi! Huwa nikiwa ktk mahusiano namwambia mwanamke upfront kuwa ninakoroma vibaya sana. Pole sana

Thanks Bro,lakini hiyo link aliyotoa NewDownTz hapo juu umeisoma,kama bado hebu ipitie,you could get a tip or two.
 
Hapo ndio mtaona umuhimu wa wanandoa kuwa na vyumba tofauti. Asikwambie mtu hamna kitu kinachosumbua kama kupigiwa kelele wakati wa kulala. Niliwahi kaa na mdada anakoroma college most of my nights were sleepless. Kukoroma si tatizo kwa anayekoroma tatizo ni kwa msikilizaji; solution ni separate rooms.

Sasa mzee sisi tunaoishi Tandale kwa bi manyau itakuwaje,maana hiyo room ndo jiko,ndo baraza,ndo mastabedirumu,ndo stoo yani ndo kila kitu na tunashea mke na watoto wawili,usiku tunasubiri walale ndo tufanye malavidavi!
 
Hivi kwani wanaokoroma ni wanaume tu? Maana kukoroma sidhani kama ni gender issue...
 
hapana naelewa tutageuzana kwa upole mpaka nitasinzia kiharufu cha mpenzi kitamu vyumba tofauti nup

mmmmhhh hiyo ngumu maana ukimgeuza jamaa anashtuka usingizini,mwisho anaishia kukununia.
 
Back
Top Bottom