Mi kuna namba ya jamaa yangu mmoja naona kuna mtu wa huko amepewa.Sijui kwanini aisee..wasukuma na Waha sijui kuna tatizo gani huko,halafu kingine hata zile namba ambazo zinabadilishwa na kupewa mtumiaji mwingine baada ya mwenye nayo kuitelekeza nazo pia wanazielekezea huko si mara moja nakutana na kesi hizi
Hujaona kabila lenu ni la pili kwa kutajwa? 😀Mbona mimi siyo msukuma jamani
Daaaa! Hebu ufanye uje huku naniluu kwanza nikwambie kitu😊😊😊😊Hujaona kabila lenu ni la pili kwa kutajwa? 😀
Tayari 🚶🏻♀️Daaaa! Hebu ufanye uje huku naniluu kwanza nikwambie kitu😊😊😊😊
Hayo ndo maneno Sasa, achana na huyu jamaa aliyeamua kutusingizia na ndugu zetu WasukumaTayari
Halafu huwa hawaelewi hasa akisikia sauti ya kike,inaelekea huko usukumani kupata mwanamke ni kazi sana...Mtu mwenye akili timamu hawezi kung'ang'ania kuendelea na mtu ambaye ni dhahiri amekosea namba kwako au wewe umekosea kwake[emoji1787][emoji1787][emoji1787] umenikumbusha kuna namba moja my niece aliitelekeza mimi sina hili wala lile nikapiga kumbe amepewa msukuma bwana, nilijuta....ile namba ilinisumbua kama mwaka mzima. Ilifika wakati namfokea ile kumfokea kama mtoto anapumzika miezi kadhaa siku nyingine unaona tena huyooo
Juzi hapa na mimi imentokea tena namba ya mheshimiwa fulani hapa Tanzania baada ya miezi mingi ya kutoitumia kwa mawasiliano juzi napiga kapokea mdada wa Usukumani japokuwa alikuwa mstaarabuHata mm laini yangu ya voda wamempa mtu kutoka kigoma laini ilikuwa situmii
Pia nimeshapigiwa simu Mara nyingi na wasukuma kukosea
P
😀😀😀😀we jamaa bwe.ge sana😂😅Wasukuma na Waha wenyewe wakipata vocha kazi yao nikujitungia namba yoyote na kuanza kupiga cm... Kazi yao ni kusalimia tu hadi dakika ziishe ndio starehe yao...
Vita yenu wasukuma waha tumeingiajeHebu mtuache kidogo sisi waha na wasukuma huo ndo uhuru wa mawasiliano[emoji23][emoji23]
My assumption is hao watu wanaokosea namba wengi wao hawajui kusoma vizuri au hawajui kabisa hivyo huwa wanajiandikia tu namba wanazotaka kuzipigia bila kujua ni namba sahihi au lah.Mimi sio mfuasi wa kuponda makabila, nawapenda wote, hata mwenzi wangu sio wa kabila langu. Lakini najiuliza kwanini kila ninapopigiwa simu ya kukosewa huyo mtu anakuwa msukuma, kama sio mwanaume atakuwa mwanamke.
Nawajuaje? Mara nyingi husalimia kikwao, ama kuita majina yao, tunaposhindwa kuelewana huwa nawaambia wamekosea kupiga.
Wengine watarudia mara mbili au tatu na wakati umemwambia amekosea.
Hoja yangu ni kwamba kwanini wawe wasukuma tu? Ina maana nchi hii ina idadi kubwa ya Wasukuma? Au nini ndugu zangu?
Nimetoka kuwaza Sasa hivi jinsi wanavyotukana usipojibu kile wanachotaka wao au ukiwauliza swali, hujakosea kuuliza. Hata Wakikumwaga povu ukweli utabaki kuwa ukweli. Labda niwe.muwazi NI ushambaMimi sio mfuasi wa kuponda makabila, nawapenda wote, hata mwenzi wangu sio wa kabila langu. Lakini najiuliza kwanini kila ninapopigiwa simu ya kukosewa huyo mtu anakuwa msukuma, kama sio mwanaume atakuwa mwanamke.
Nawajuaje? Mara nyingi husalimia kikwao, ama kuita majina yao, tunaposhindwa kuelewana huwa nawaambia wamekosea kupiga.
Wengine watarudia mara mbili au tatu na wakati umemwambia amekosea.
Hoja yangu ni kwamba kwanini wawe wasukuma tu? Ina maana nchi hii ina idadi kubwa ya Wasukuma? Au nini ndugu zangu?
Mkuu Mimi simalizi miezi sita lazima nitapigiwa simu na hao watuDah hatujamaliza ya tozo na kifo cha Liz linakuja hili[emoji848][emoji2827]
Tatizo kubwa anakuwa na Simu halafu haina matumizi anaamua kujaribu namba zozoteKumbe tupo wengi tunakutana na hili, wenye kuelewa watusaidie. Au kuna watu wanajifanyisha?
ThubuuutuVipi huwa wanakosea na kukutumia pesa? Kama sivyo pole sana
Jibu wewe si ndiye uliyepiga? Utakachoshushia hutoaminiYe amekosea halafu anakuuliza tena we nani
Hawa wamenisumbua sanaWamasai pia namba ya voda utasikia yelooo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji28]Wasukuma na Waha wenyewe wakipata vocha kazi yao nikujitungia namba yoyote na kuanza kupiga cm... Kazi yao ni kusalimia tu hadi dakika ziishe ndio starehe yao...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna kipindi niliwahi fanya kazi call center ya kampuni fulan hivi.. yaan haipiti robo saa unapokea simu ya Msukuma halafu hajui kapiga wap anabaki anauliza na kubung'aa tu, walikuwa wanatukera asee [emoji23][emoji23]