Kula kula ukiendekeza inakua kama bangi, hii kitu vimenipa uraibu mbaya mno, nina collection ya makopo yake ndani

Kula kula ukiendekeza inakua kama bangi, hii kitu vimenipa uraibu mbaya mno, nina collection ya makopo yake ndani

I used to be a big fan, ila sasa hivi hata nikikaa nazo ndani sigusi.

Nimehamia zangu kwa Lays Classic.
Screenshot_20240510_142738_Chrome.jpg
 
Kitu cha buku mtaani kinauzwa elfu 8 kwenye supermarkets zaidi kitakuwaje maarufu?😂 Hivi unajua hio hela familia inakula mlo kamili kabisa huku uswazi kwetu.
Basi wanautani, ndo mana sijawai ona hii kitu tena
 
Ndo natoka kumaliza hapa nichukue nyingine,,.. Hii kitu siwezi kuacha☺️☺️
Tatizo huku porini kwetu wanatupiga sanaa aisee 8000/=😥
 

Attachments

  • 20240510_162053.jpg
    20240510_162053.jpg
    1.4 MB · Views: 4
Hii kitu ina addction moja mbaya sana

unanunua kopo kubwa la elf 6 (kwengine hadi elf 8), unapanga ule kwa siku 3 lakini ukionja kipande tu nakuapia unaweza kufuta lote mda huo huo, ukionja ni ngumu sana kujizuia kuingiza mkono kuchota nyingine.

Pringles zipo za aina nyingi sana kwa ladha, binafsi iliyonibamba ni hot n spicy


View attachment 2986639
mwanaume unakula pringles hee!!

weka na namba ya simu maana we n pisi kali
 
nikiyalaga hayo madude huwa naona Yana Radha mbaya!!
 
Back
Top Bottom