Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unene wa wengi husababishwa na chakula.Nilihudhuria darasa flani la mambo ya afya coz niliona mwili wangu umekua mkubwa mno so nilitaka darasa la namna ya kupunguza, moja ya masomo ilikua ni kula matunda tu usiku...
mmmmh labda undertaker!Unene wa wengi husababishwa na chakula.
Yaani wanene wengi wanakula sana...
Kula ugali mzeeNilihudhuria darasa flani la mambo ya afya coz niliona mwili wangu umekua mkubwa mno so nilitaka darasa la namna ya kupunguza, moja ya masomo ilikua ni kula matunda tu usiku....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], daaaaq...hatari sana[emoji1787][emoji1787]maisha ni magumu sana ukichagua njia ya kutokea badala ya kuingilia
Mambo kama haya wanaweza wazungu, anakula fruits ila kwenye friji kuna mazaga zaga na mabites kibao akisikia njaa night kali anafungua friji anajisevia tu.Nilihudhuria darasa flani la mambo ya afya coz niliona mwili wangu umekua mkubwa mno so nilitaka darasa la namna ya kupunguza, moja ya masomo ilikuwa ni kula matunda tu usiku...
Mhhhhhhhh!!! Acha fixUnene wa wengi husababishwa na chakula.
Yaani wanene wengi wanakula sana.
Kumdiet mtu mnene mpaka umlazimishe, hawezi kujinyima kwa hiari.
Nilikuwa na jamaa yangu anafuta ndoo nzima ya ubeche, kreti la soda, galoni la maziwa na mkungu wa ndizi peke yake na alikuwa bonge la jitu limepanda hewani hasa!
Sasa mtu kama huyo utamdanganyia viparachichi viwili alale!
Kama ulivyosema dieting ni kwa wazungu tu huko!
Wee bishi mkuu!
Mazingaombwe aka kiini machoWee bishi mkuu!
Power Mabula na power Mwamgiga unawafahamu ama kuwakumbuka?
ukimwacha power Mwanakulya hao wote wameishi enzi zangu na wote takribani ulaji wao ulikuwa ni wa kufuru.
Mtu anafungua soda kwa ukucha wa dole gumba na gari anaivuta kwa meno inaserereka pamoja na maonesho mengine ya kutumia nguvu kama hayo!
sema chakula chenyewe kilikuwa ni cha "bure" wakati huo serikali ikijali sana wanamichezo.
Nilikuwa ninajiuliza sana, "hivi mtu kama huyu anaweza kula hivi kwa chakula cha kuhemea toka mfukoni mwake"!
Mkuu kama unatumia usafiri binafsi basi jiwekee kwa kila wiki kutumia usafiri wa umma walau mara 2 au 3.. kutembea ni mazoezi mazuri sanaa binafsi huwa naji balance kwa kutembea unanyoosha viungo unakua fit na muda mwingine kugombania gari ni zoezi tosha.Nilihudhuria darasa flani la mambo ya afya coz niliona mwili wangu umekua mkubwa mno so nilitaka darasa la namna ya kupunguza, moja ya masomo ilikuwa ni kula matunda tu usiku...
Mkuu kuna mazingaombwe kwenye kugonga misosiMazingaombwe aka kiini macho
Ukisikia njaa kunywa maji jagi zimaNilihudhuria darasa flani la mambo ya afya coz niliona mwili wangu umekua mkubwa mno so nilitaka darasa la namna ya kupunguza, moja ya masomo ilikuwa ni kula matunda tu usiku...
Wale jamaa ilikuwa analala chini gari inamkanyaga kifua, unakuta anakula viwembe na misumari yan vitu vya ajabu binadam huwez fanya.. naamini kuna watu wanakula ila ndio ndoo imejaa na crate la soda na mkungu wa ndizi? Mmh.. huyo mtu au jini?Mkuu kuna mazingaombwe kwenye kugonga misosi