Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nitajaribuBasi hakikisha usiku ule chakula chepesi km mboga au matunda baada ya miezi miwili leta mrejesho
Power Mabula uliwahi kumuona enzi za mwisho za uhai wake? Kisukari kilimmaliza, mtu anaekunywa chai ndoo ya Lita 10 na mikate mitano sio mchezo.Wee bishi mkuu!
Power Mabula na power Mwamgiga unawafahamu ama kuwakumbuka?
ukimwacha power Mwanakulya hao wote wameishi enzi zangu na wote takribani ulaji wao ulikuwa ni wa kufuru.
Mtu anafungua soda kwa ukucha wa dole gumba na gari anaivuta kwa meno inaserereka pamoja na maonesho mengine ya kutumia nguvu kama hayo!
sema chakula chenyewe kilikuwa ni cha "bure" wakati huo serikali ikijali sana wanamichezo.
Nilikuwa ninajiuliza sana, "hivi mtu kama huyu anaweza kula hivi kwa chakula cha kuhemea toka mfukoni mwake"!
Huyo Ni diabates in the making.Unene wa wengi husababishwa na chakula.
Yaani wanene wengi wanakula sana.
Kumdiet mtu mnene mpaka umlazimishe, hawezi kujinyima kwa hiari.
Nilikuwa na jamaa yangu anafuta ndoo nzima ya ubeche, kreti la soda, galoni la maziwa na mkungu wa ndizi peke yake na alikuwa bonge la jitu limepanda hewani hasa!
Sasa mtu kama huyo utamdanganyia viparachichi viwili alale!
Kama ulivyosema dieting ni kwa wazungu tu huko!
Tuliachana naye baada ya vita, baadaye nikasikia alifariki bila kujua chanzo. R.I.PPower Mabula uliwahi kumuona enzi za mwisho za uhai wake? Kisukari kili mmaliza,mtu anaekunywa chai ndio ya Lita 10 na mikate mitano sio mchezo.
Pole chief, kisukari kilimsumbua.Tuliachana naye baada ya vita, baadaye nikasikia alifariki bila kujua chanzo. R.I.P
Na alifia Arusha au Dar, mi nilisikiaga tu siku zishapita.Pole chief, kisukari kilimsumbua.
Uwe unakula matunda mengi mpaka ushibe.Nilihudhuria darasa flani la mambo ya afya coz niliona mwili wangu umekua mkubwa mno so nilitaka darasa la namna ya kupunguza, moja ya masomo ilikuwa ni kula matunda tu usiku.
Nimejaribu jana ila leo nimeshindwa, nimekula matunda saa 1 na nusu nikapanda bed kulala ila sasa hivi saa 3 naskia nenge ya ajabu, imebidi niingie jikoni kurusha nguna tu.
Nadhani hii formula ya matunda tu usiku kwa sisi waafrika haiko applicable kabisa, tuwaachie wazungu tu.
Faida ulizopata mpk sasa ni nini mkuu?Usiwasemee Waafrika wote. Sisi wengine tumeweza kula matunda tu usiku.
Hata mimi mwanzoni nilikuwa napata shida, lakini baada ya siku chache nikazoea. Nina zaidi ya miaka saba sasa tangu nianze huu utaratibu wa kula matunda usiku na nimeshazoea kabisa na mwili wangu naumudu sana.
Ukiweka nia kila jambo linawezekana. Ni suala la kuwa na nidhamu tu.
Jitahidi. Hatimaye utaweza tu. Usikate tamaa.
Kila laheri.
Hii sio formula yetu, formula yetu una dunda makande, masangu au gidheri hapo ndio unahisi mzigo umetuliaNilihudhuria darasa flani la mambo ya afya coz niliona mwili wangu umekua mkubwa mno so nilitaka darasa la namna ya kupunguza, moja ya masomo ilikuwa ni kula matunda tu usiku.
Nimejaribu jana ila leo nimeshindwa, nimekula matunda saa 1 na nusu nikapanda bed kulala ila sasa hivi saa 3 naskia nenge ya ajabu, imebidi niingie jikoni kurusha nguna tu.
Nadhani hii formula ya matunda tu usiku kwa sisi waafrika haiko applicable kabisa, tuwaachie wazungu tu.
Nadhani hata wewe mwenyewe ulijishangaa umemalizaje.Mambo mengine tuwaachie wenyewe..
Mimi nikajaribu kuangalia movie huku nakunywa juisi, movie haijafika popote, dumu la lita 1.6 lishaisha.. [emoji23]
Almanusura nitafune godoro usiku wa siku ile. Siji kurudia tena!
Umepungua!?na ni matunda gani huwa unakulaUsiwasemee Waafrika wote. Sisi wengine tumeweza kula matunda tu usiku.
Hata mimi mwanzoni nilikuwa napata shida, lakini baada ya siku chache nikazoea. Nina zaidi ya miaka saba sasa tangu nianze huu utaratibu wa kula matunda usiku na nimeshazoea kabisa na mwili wangu naumudu sana.
Ukiweka nia kila jambo linawezekana. Ni suala la kuwa na nidhamu tu.
Jitahidi. Hatimaye utaweza tu. Usikate tamaa.
Kila laheri.