Kula matunda tu usiku ni formular ambayo haiko applicable kwa hapa kwetu Afrika

Kula matunda tu usiku ni formular ambayo haiko applicable kwa hapa kwetu Afrika

Dunia duara aisee, mimi kila nikila vipi sinenepi, hata nile manyama miezi 20 kila siku siongezeki hata kila moja zaidi ya kunenepa mashavu tu...
 
Wee bishi mkuu!

Power Mabula na power Mwamgiga unawafahamu ama kuwakumbuka?

ukimwacha power Mwanakulya hao wote wameishi enzi zangu na wote takribani ulaji wao ulikuwa ni wa kufuru.

Mtu anafungua soda kwa ukucha wa dole gumba na gari anaivuta kwa meno inaserereka pamoja na maonesho mengine ya kutumia nguvu kama hayo!

sema chakula chenyewe kilikuwa ni cha "bure" wakati huo serikali ikijali sana wanamichezo.

Nilikuwa ninajiuliza sana, "hivi mtu kama huyu anaweza kula hivi kwa chakula cha kuhemea toka mfukoni mwake"!
Power Mabula uliwahi kumuona enzi za mwisho za uhai wake? Kisukari kilimmaliza, mtu anaekunywa chai ndoo ya Lita 10 na mikate mitano sio mchezo.
 
Unene wa wengi husababishwa na chakula.

Yaani wanene wengi wanakula sana.

Kumdiet mtu mnene mpaka umlazimishe, hawezi kujinyima kwa hiari.

Nilikuwa na jamaa yangu anafuta ndoo nzima ya ubeche, kreti la soda, galoni la maziwa na mkungu wa ndizi peke yake na alikuwa bonge la jitu limepanda hewani hasa!

Sasa mtu kama huyo utamdanganyia viparachichi viwili alale!

Kama ulivyosema dieting ni kwa wazungu tu huko!
Huyo Ni diabates in the making.
 
Power Mabula uliwahi kumuona enzi za mwisho za uhai wake? Kisukari kili mmaliza,mtu anaekunywa chai ndio ya Lita 10 na mikate mitano sio mchezo.
Tuliachana naye baada ya vita, baadaye nikasikia alifariki bila kujua chanzo. R.I.P
 
Tule Tushibe Muda Wote Tuliambiwa Vita Vitapandisha Bidhaa Bei
 
Nilihudhuria darasa flani la mambo ya afya coz niliona mwili wangu umekua mkubwa mno so nilitaka darasa la namna ya kupunguza, moja ya masomo ilikuwa ni kula matunda tu usiku.

Nimejaribu jana ila leo nimeshindwa, nimekula matunda saa 1 na nusu nikapanda bed kulala ila sasa hivi saa 3 naskia nenge ya ajabu, imebidi niingie jikoni kurusha nguna tu.

Nadhani hii formula ya matunda tu usiku kwa sisi waafrika haiko applicable kabisa, tuwaachie wazungu tu.
Uwe unakula matunda mengi mpaka ushibe.
Ukipata maziwa mtindi inanoga sana.
Hata maziwa fresh pia si mbaya.
 
Usiwasemee Waafrika wote. Sisi wengine tumeweza kula matunda tu usiku.

Hata mimi mwanzoni nilikuwa napata shida, lakini baada ya siku chache nikazoea. Nina zaidi ya miaka saba sasa tangu nianze huu utaratibu wa kula matunda usiku na nimeshazoea kabisa na mwili wangu naumudu sana.

Ukiweka nia kila jambo linawezekana. Ni suala la kuwa na nidhamu tu.

Jitahidi. Hatimaye utaweza tu. Usikate tamaa.

Kila laheri.
Faida ulizopata mpk sasa ni nini mkuu?
 
Nilihudhuria darasa flani la mambo ya afya coz niliona mwili wangu umekua mkubwa mno so nilitaka darasa la namna ya kupunguza, moja ya masomo ilikuwa ni kula matunda tu usiku.

Nimejaribu jana ila leo nimeshindwa, nimekula matunda saa 1 na nusu nikapanda bed kulala ila sasa hivi saa 3 naskia nenge ya ajabu, imebidi niingie jikoni kurusha nguna tu.

Nadhani hii formula ya matunda tu usiku kwa sisi waafrika haiko applicable kabisa, tuwaachie wazungu tu.
Hii sio formula yetu, formula yetu una dunda makande, masangu au gidheri hapo ndio unahisi mzigo umetulia
 
Me naweza vizuri tu. tena hasa nile nanasi.
 
Usiwasemee Waafrika wote. Sisi wengine tumeweza kula matunda tu usiku.

Hata mimi mwanzoni nilikuwa napata shida, lakini baada ya siku chache nikazoea. Nina zaidi ya miaka saba sasa tangu nianze huu utaratibu wa kula matunda usiku na nimeshazoea kabisa na mwili wangu naumudu sana.

Ukiweka nia kila jambo linawezekana. Ni suala la kuwa na nidhamu tu.

Jitahidi. Hatimaye utaweza tu. Usikate tamaa.

Kila laheri.
Umepungua!?na ni matunda gani huwa unakula
 
Hii inahitaji kuzoea na wala sio kuanza gafra, ungeanza kupunguza ugali huku ukiongeza matunda. Kidogo kidogo wala usingeona kazi.
 
Back
Top Bottom