Vikaragosi ni nyie msifaham katiba na sheria za nchi juuu ya maamuzi na usuruhishaji wa kesi za uchaguzi kwa taifa huru kama Tanzania. Mlifanya maigizo ya kutia dosari uchaguzi kwa kubeba kula feki mlizochapisha kibaya zaidii shetani kuwaimbua mkaigiza kuzichoma nyaraka zile. Bila kujua mumesha haribu igizo lenuuu. Hovyo kabisa nyie
Nani apoteze muda wake kwenda mahakamani?He who alleges must prove. Hii ni moja ya principle muhimu sana katika kuhakikisha haki inapatikana.
Mnalalamika zaidi ya miezi miwili kuwa uchaguzi haukuwa huru. Mlikamata kura za kwenye mabegi ambao ulikuwa ni ushahidi tosha kuwa mmeibiwa.
Mbona hamfungui kesi kupinga matokeo ya uchaguzi wa ubunge?
Mnadai hamna imani na mahakama za Tanzania. Mbona mahakama hii ambayo hamna imani nayo ilimpa ushindi Ester Bulaya dhidi ya wana CCM waliopinga matokeo ya uchaguzi wa ubunge 2015 huko Bunda.
Kwa mantiki hii,kama muda wa kupinga matokeo bado. Kwa kuwa mnao ushahidi jinsi mlivyoibiwa kwenye mabegi. Fungueni kesi kupinga matokeo ya ubunge. Maana tutapata ukwli jinsi mlivyoibiwa.
Nakumbuka upinzani wa enzi za kina Lamwai (rip) walikuwa hawatoi visingizio kama mnavyotoa sasa hivi, walikuwa wanabwaga watu mahakamani ile mbaya. Sasa hivi chadema imebakiza porojo tu
Nchi sio ya masisiyemu wala MAGUFULI, nchi ni ya wananchi hata kama wamezibwa midomo na mondo wala watuKwa nini sasa walihangai kuomba wananchi wawapigie kura kama hali ndiyo hiyo?
Wakati ule mahakama ilikuwa bado ina majaji wenye taaluma walioteuliwa na Kikwete na Mkaoa. Huyu wa sasa anawateua makada wa CCM kuwa majaji. Anawateua makada wa CCM kuwa wakurugenzi. Kila mahali anawajaza makada, tena wale makada wenye akili ndogo, ambao wana uwezo wa kusifia kila jambo analolifanya yeye.Mbona Wassira alishendwa na Ester Bulaya mahakamani?
Kungekuwa na mahakama, bila shaka kungefunguliwa mashauri mengi ya uchaguzi.Hizo baadhi kwa nini msipeleke mahakamani?
Matusi hayaondoi nia ovuuu mliopanga. Mkizidiwa hoja mnakimbilia matusi.We kilaza rudi shule ukajifunze kuandika. Sasa hivi elimu ni bure, na madarasa wezi wa kura wamesema wataongeza 1,000.
Jaji mkuu alikuwa nani wakati ule ?Nakumbuka upinzani wa enzi za kina Lamwai (rip) walikuwa hawatoi visingizio kama mnavyotoa sasa hivi, walikuwa wanabwaga watu mahakamani ile mbaya. Sasa hivi chadema imebakiza porojo tu
Uchaguz umekwishaAcha kukurupuka.
Na kwa nini wanabembelezwa sana kwenda mahakamani?Kwa nini sasa walihangaika kuomba wananchi wawapigie kura kama hali ndiyo hiyo?
Na CHADEMAMahakama ni Mali ya CCM, kama ilivyo Polisi, DPP, TISS, Watu wasiojulikana, ACT Wazalendo, nec, NA nccr mageuzi AND THE LIKES
Mliyajua hayo, 2020 hamkutoa nakala za matokeo kwa mawakala.NECccm ilikataa.Mbona Ester Bulaya alimbwaga Wassira mahakamani?
Mahakama inaendeshwa kwa remote na Meko mwenyewe. Kwa nini wapoteze muda kupeleka kesi ya tumbili kwa nyani?He who alleges must prove. Hii ni moja ya principle muhimu sana katika kuhakikisha haki inapatikana.
Mnalalamika zaidi ya miezi miwili kuwa uchaguzi haukuwa huru. Mlikamata kura za kwenye mabegi ambao ulikuwa ni ushahidi tosha kuwa mmeibiwa.
Mbona hamfungui kesi kupinga matokeo ya uchaguzi wa ubunge?
Mnadai hamna imani na mahakama za Tanzania. Mbona mahakama hii ambayo hamna imani nayo ilimpa ushindi Ester Bulaya dhidi ya wana CCM waliopinga matokeo ya uchaguzi wa ubunge 2015 huko Bunda.
Kwa mantiki hii,kama muda wa kupinga
matokeo bado. Kwa kuwa mnao ushahidi jinsi mlivyoibiwa kwenye mabegi. Fungueni kesi kupinga matokeo ya ubunge. Maana tutapata ukwli jinsi mlivyoibiwa.
hamkumuhitaji lile babu Kama msivyomuhitaji Hawa wa mtwara kutokana swala fedha za wakfu wa korosho mkaruhusu anguko lake amkupindua matokeo.mmemkomeshaMbona Wassira alishendwa na Ester Bulaya mahakamani?
AG yaani Attorney GeneralHe who alleges must prove. Hii ni moja ya principle muhimu sana katika kuhakikisha haki inapatikana.
Mnalalamika zaidi ya miezi miwili kuwa uchaguzi haukuwa huru. Mlikamata kura za kwenye mabegi ambao ulikuwa ni ushahidi tosha kuwa mmeibiwa.
Mbona hamfungui kesi kupinga matokeo ya uchaguzi wa ubunge?
Mnadai hamna imani na mahakama za Tanzania. Mbona mahakama hii ambayo hamna imani nayo ilimpa ushindi Ester Bulaya dhidi ya wana CCM waliopinga matokeo ya uchaguzi wa ubunge 2015 huko Bunda.
Kwa mantiki hii,kama muda wa kupinga matokeo bado. Kwa kuwa mnao ushahidi jinsi mlivyoibiwa kwenye mabegi. Fungueni kesi kupinga matokeo ya ubunge. Maana tutapata ukwli jinsi mlivyoibiwa.
Vile vile, kujichukulia sheria mkononi ni kosa kisheria. Kwa nini hawakuchukuliwa hatua za kisheria?Tunawafahamu vizuri wanaufipa wote mkizidiwa hoja mnaporomosha mitusii. Matusi yako wala hayataondoa uhalisia wa mlichopanga lakini Mungu kawaumbua na nia zenu ovuu. Hakuna kifungu chochote cha sheria ya uchaguzi kinaeleza kama mwanachama au mgombea yeyote akikamata kula feki anaruhusiwa kuzichoma bila kufikisha ushaidi huo kwenye vyombo husika. Kiukweli igizo lenu lilibuma pale tu, mlipoanza kujichukulia sheria mkononiii
Kesi inamhusu nyani unampelekea judge ambaye ni nyani. Unategemea maamuzi gani?...