Kulalamika tumeibiwa kura za kwenye mabegi huku hamuendi Mahakamani, tuwaeleweje?

Kulalamika tumeibiwa kura za kwenye mabegi huku hamuendi Mahakamani, tuwaeleweje?

Vikaragosi ni nyie msifaham katiba na sheria za nchi juuu ya maamuzi na usuruhishaji wa kesi za uchaguzi kwa taifa huru kama Tanzania. Mlifanya maigizo ya kutia dosari uchaguzi kwa kubeba kula feki mlizochapisha kibaya zaidii shetani kuwaimbua mkaigiza kuzichoma nyaraka zile. Bila kujua mumesha haribu igizo lenuuu. Hovyo kabisa nyie

We kilaza rudi shule ukajifunze kuandika. Sasa hivi elimu ni bure, na madarasa wezi wa kura wamesema wataongeza 1,000.
 
He who alleges must prove. Hii ni moja ya principle muhimu sana katika kuhakikisha haki inapatikana.

Mnalalamika zaidi ya miezi miwili kuwa uchaguzi haukuwa huru. Mlikamata kura za kwenye mabegi ambao ulikuwa ni ushahidi tosha kuwa mmeibiwa.

Mbona hamfungui kesi kupinga matokeo ya uchaguzi wa ubunge?

Mnadai hamna imani na mahakama za Tanzania. Mbona mahakama hii ambayo hamna imani nayo ilimpa ushindi Ester Bulaya dhidi ya wana CCM waliopinga matokeo ya uchaguzi wa ubunge 2015 huko Bunda.

Kwa mantiki hii,kama muda wa kupinga matokeo bado. Kwa kuwa mnao ushahidi jinsi mlivyoibiwa kwenye mabegi. Fungueni kesi kupinga matokeo ya ubunge. Maana tutapata ukwli jinsi mlivyoibiwa.
Nani apoteze muda wake kwenda mahakamani?
Tunasubiri meko atoke
Madarakani mahamaka iwe huru ndio tukadai haki yetu.
Its not over.
Wewe endelea kukejeli tu
 
Nakumbuka upinzani wa enzi za kina Lamwai (rip) walikuwa hawatoi visingizio kama mnavyotoa sasa hivi, walikuwa wanabwaga watu mahakamani ile mbaya. Sasa hivi chadema imebakiza porojo tu

Wakati huo wa kina Lamwai uliwahi kumuona rais akiwa na majaji na mahakimu hadharani akiwatishia kuwa ana taarifa zao zote? Uliwahi kusikia marais wa wakati huo wakiwaagiza majaji waendesha kesi haraka ili hizo fine awape waendeshee shughuli za mahakama? Usichanganye nyakati hizo kukiwa na marais waliokuwa wanajua cheo ni dhamana, na hawa walevi wa madaraka wanaohisi urais ni uungu.
 
Mbona Wassira alishendwa na Ester Bulaya mahakamani?
Wakati ule mahakama ilikuwa bado ina majaji wenye taaluma walioteuliwa na Kikwete na Mkaoa. Huyu wa sasa anawateua makada wa CCM kuwa majaji. Anawateua makada wa CCM kuwa wakurugenzi. Kila mahali anawajaza makada, tena wale makada wenye akili ndogo, ambao wana uwezo wa kusifia kila jambo analolifanya yeye.

Hakuna mwenye akili anayeweza kupoteza muda kufungua kesi ya uchaguzi kwenye hizi mahakama bandia zinazosimamiwa na Juma ambaye anapokea maagizo toka kwa Bashiru na Polepole.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka upinzani wa enzi za kina Lamwai (rip) walikuwa hawatoi visingizio kama mnavyotoa sasa hivi, walikuwa wanabwaga watu mahakamani ile mbaya. Sasa hivi chadema imebakiza porojo tu
Jaji mkuu alikuwa nani wakati ule ?
 
Kama kuna jambo ambalo halininyimi raha ni Chadema ya Mbowe kutiwa adabu na Polepole. Mbowe alijisahau sana na kujiona yeye ndiye mpiga kura pekee na mwenye uchungu kuliko watanzania wote. Kumbe bagi alizovuta miaka ya 80 bado iko kichwani.

Hua namshangaa sana na Lisu.
Bado hajajitambua kuwa yeye ni Mtanzania anayetaka kupata kura za watanzania. Bado anasiasa za matukio. Bado ana siasa za kuongea ongea tu . Sio kila jambo mtu anatakiwa kulirukia na kuliongelea. Kuna mambo mtu anapaswa kuyakwepa na kukaa kimya. Chadema haitakuja kuinuka tena chini ya Mbowe na siasa za kuropoka ropoka bila ushahidi.
Na Mbowe kamwe hatakuja tena kupata Ubunge. Ujinga walioufanya kule bungeni umewafanya watanzania waachane na Mambo ya upinzani.

Haiwezekani majimbo yote nchi pasiwe na jimbo hata moja ambalo kuna fact za kutosha kwenda mahakamani. Vinginevyo hicho chama hakina maana yoyote ya kuwa na viongozi.

Yani Mwenyekiti Mhuni Mbowe anaudanganya ulimwengu kuwa Mahakama hazitendi haki lakini wakati huo huo wanawapeleka Viongozi wenzao wa Chadema walioteuliwa kwa nafasi maalumu za wanawake.
Mbowe na wahuni wenzake withamekimbilia mahakamani kwa Chadema wenzao na kuwaacha CCM halafu kuna wapambe bado tu hawaelewi mradi wa Mbowe ni kuua upinzani nchi.
 
Mimi nadhani Chadema wamestuka kuwa wakienda tu Mahakamani watapewa ushindi wa ubunge katika maeneo kadhaa ili kosa la kutokuwa na upinzani lifunikwe. Watu kama Askofu wa Birmingham wanaweza kutolewa kafara. Aidha kuna vijana wanaweza kulamba ubunge wakijua tu kuwa mbeleni wataunga juhudi. Inaelekea CDM wamewastukia.

Ningekuwa mimi ningeshauri TLP na wenzake wakate rufaa ili angalau wapatikane wabunge wa upinzani.

Amandla...
 
Haahaa kwa mahakama zipi? Bora wakalime watavuna kuliko kupeleka kesi za kisiasa zinazoihusu ccm na serikali
 
He who alleges must prove. Hii ni moja ya principle muhimu sana katika kuhakikisha haki inapatikana.

Mnalalamika zaidi ya miezi miwili kuwa uchaguzi haukuwa huru. Mlikamata kura za kwenye mabegi ambao ulikuwa ni ushahidi tosha kuwa mmeibiwa.

Mbona hamfungui kesi kupinga matokeo ya uchaguzi wa ubunge?

Mnadai hamna imani na mahakama za Tanzania. Mbona mahakama hii ambayo hamna imani nayo ilimpa ushindi Ester Bulaya dhidi ya wana CCM waliopinga matokeo ya uchaguzi wa ubunge 2015 huko Bunda.

Kwa mantiki hii,kama muda wa kupinga
matokeo bado. Kwa kuwa mnao ushahidi jinsi mlivyoibiwa kwenye mabegi. Fungueni kesi kupinga matokeo ya ubunge. Maana tutapata ukwli jinsi mlivyoibiwa.
Mahakama inaendeshwa kwa remote na Meko mwenyewe. Kwa nini wapoteze muda kupeleka kesi ya tumbili kwa nyani?
 
He who alleges must prove. Hii ni moja ya principle muhimu sana katika kuhakikisha haki inapatikana.

Mnalalamika zaidi ya miezi miwili kuwa uchaguzi haukuwa huru. Mlikamata kura za kwenye mabegi ambao ulikuwa ni ushahidi tosha kuwa mmeibiwa.

Mbona hamfungui kesi kupinga matokeo ya uchaguzi wa ubunge?

Mnadai hamna imani na mahakama za Tanzania. Mbona mahakama hii ambayo hamna imani nayo ilimpa ushindi Ester Bulaya dhidi ya wana CCM waliopinga matokeo ya uchaguzi wa ubunge 2015 huko Bunda.

Kwa mantiki hii,kama muda wa kupinga matokeo bado. Kwa kuwa mnao ushahidi jinsi mlivyoibiwa kwenye mabegi. Fungueni kesi kupinga matokeo ya ubunge. Maana tutapata ukwli jinsi mlivyoibiwa.
AG yaani Attorney General
DPP yaani Director of Public Prosecution
IGP yaani Inspector General of Police
CJ yaani Chief Justice
JK yaani Judge Kiongozi
Kama hao waliona hakuna wizi wa kura, unadhani kuna mtu mwenye akili timamu kama hao CHADEMA akaenda kufungua kesi
Muda wa siasa umekwisha tuchapeni kazi tujenge nchi tulipe kodi wabunge walipwe vizuri
 
Tunawafahamu vizuri wanaufipa wote mkizidiwa hoja mnaporomosha mitusii. Matusi yako wala hayataondoa uhalisia wa mlichopanga lakini Mungu kawaumbua na nia zenu ovuu. Hakuna kifungu chochote cha sheria ya uchaguzi kinaeleza kama mwanachama au mgombea yeyote akikamata kula feki anaruhusiwa kuzichoma bila kufikisha ushaidi huo kwenye vyombo husika. Kiukweli igizo lenu lilibuma pale tu, mlipoanza kujichukulia sheria mkononiii
Vile vile, kujichukulia sheria mkononi ni kosa kisheria. Kwa nini hawakuchukuliwa hatua za kisheria?
 
Back
Top Bottom