Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Vikaragosi ni nyie msifaham katiba na sheria za nchi juuu ya maamuzi na usuruhishaji wa kesi za uchaguzi kwa taifa huru kama Tanzania. Mlifanya maigizo ya kutia dosari uchaguzi kwa kubeba kula feki mlizochapisha kibaya zaidii shetani kuwaimbua mkaigiza kuzichoma nyaraka zile. Bila kujua mumesha haribu igizo lenuuu. Hovyo kabisa nyie
We kilaza rudi shule ukajifunze kuandika. Sasa hivi elimu ni bure, na madarasa wezi wa kura wamesema wataongeza 1,000.