Kuliko kuajiri mfanyakazi wa ndani tuwe na utaratibu wa kuchukua watoto wa ndugu kwa nia ya kuwaendeleza

Kuliko kuajiri mfanyakazi wa ndani tuwe na utaratibu wa kuchukua watoto wa ndugu kwa nia ya kuwaendeleza

Ile ilikuwa experience nzuri sana kwako na mshukuru huyo mmama kwa kukufanyia hivyo. I am sure by now utakuwa umerealize lile lilikuwa somo la kutafuta vyako mapema na uwekeze mapema ili wanao wasije kupitia kitu kama hiyo. Kama hujalearn by now, hujachelewa. Tunapaswa kuwashukuru watu wote (wema au wabaya in our perspectives) kwa kuwa wote waliaacha alama katika maisha yetu.

Swali la kizushi: Vipi maisha ya sasa ya wale madogo waliokuwa wanagonga cakes, mayai na pringles wakati wewe ukigonga magimbi au ukipiga pasi ndefu mpaka mchana? Haitoshangaza kusikia baadhi yao wana hali tete sasa hivi.
Wale watoto walizaliwa mtoni kwa sasa wamerudi mtoni huko maisha safi tu sie ndio tunapambana na bongo yetu
 
Unakaa na mtoto kwa mkataba wa kumsomesha au kumuendeleza. Mnapanga muda wake wa kwenda shuleni au mafunzoni na muda wake wa kazi. Anaishi kama mtoto wa nyumbani, unamnunulia mahitaji yake madogo madogo. Sehemu kubwa ya mshahara unakwenda kulipia ada na Bima ya afya.

Akihitimu mafunzo unamuwezesha kujitegemea na unatafuta mwingine. Kama ndugu zako wote mambo safi unaweza kuchukua vijana wa kijijini kwenu. Hii ni njia ya kurudisha katika jamii na kukwamuana kimaisha.
Tatizo wanamajungu sana. Wakae huko huko kwao tutatuma tu hizo ada.
 
Tatizo wanawake wengi wanapenda kuwapelekesha au kuwafanyisha kazi nyingi hao wadada wa kazi. Kwa hiyo kwa mtoto wa ndugu hutaweza kumfanyia hivyo kwa sababu ndugu lawama ataona unamnyanyasa atataka kurudi kwao.

Pili kwa upande wa wanaume wengine wanapenda "kujisevia" kwa wadada wa kazi. Kwa hiyo housegirl akiwa ni ndugu atawezaje kumfanya?
Wakae tu kwao!
 
Kutumwa kazi hakuna uhusiano na kuteswa ila kama mtajiondoa by 100% kwenye hizo kazi sababu yeye tu yupo lazma alalamike! Haiwezekani watoto wa rika lake wapo wanaangalia igizo halafu umnyanyue yeye akalishie kuku. Kazi wafanye collectively wakwake na wako halafu uone kama atalalamika.

Msaidiane kazi sio mumpe mikazi yote kwa vile mnamsaidia kumsomesha!
Yaani hiyo shida ndio siitaki.
Watoto wangu waache kuangalia movie kwa ajili yake.
Tuendelee na huu utaratibu wa wasichana wa kazi ili tuwe na amani kwenye nyumba zetu!
 
Ukileta kijana pia kuna uwezekano akawapa ujauzito mabinti wako. Ni muhimu kuwaelimisha wote
 
Unakaa na mtoto kwa mkataba wa kumsomesha au kumuendeleza. Mnapanga muda wake wa kwenda shuleni au mafunzoni na muda wake wa kazi. Anaishi kama mtoto wa nyumbani, unamnunulia mahitaji yake madogo madogo. Sehemu kubwa ya mshahara unakwenda kulipia ada na Bima ya afya.

Akihitimu mafunzo unamuwezesha kujitegemea na unatafuta mwingine. Kama ndugu zako wote mambo safi unaweza kuchukua vijana wa kijijini kwenu. Hii ni njia ya kurudisha katika jamii na kukwamuana kimaisha.
Ukitaka kujitafutia lawama na ugomvi nyumbani kwako chukua mtoto wa ndugu ndio utajua dunia inaelekea wapi.
Ndugu wengi wamefarakana kwasababu ya watoto unakuta mtoto wa mama Mkubwa au wa shangazi kaenda kwa mama mdogo lakini haamki asubuhi wewe umeamka SAA kumi na mbili yeye anaamka SAA,mbili akute umempikia chai na kudeki na bado vikombe mezani ukaondoe wewe mwenyenyumba. Ukimgombesha anapiga simu kwao kwamba unamnyanyasa hata kupika haingii jikoni sasa ukimuachia mtoto ndio kabisa ni mvivu hawezi kukulishia mtoto .

Mkuu nakuambia sio ndugu wote wazuri na ndio maana serikali imewawezesha wadau wengi kufungua vituo vya kulelea watoto wachanga au wadogo yaani Day care center. Kuliko uchukue ndugu aje kukulelea mtoto ni bora umpeleke mtoto Day care ukitoka kazini unampitia unaenda naye nyumbani. Hapo utakuwa na amani hao ndugu wasaidie wakiwa kwao maana ukiwaendekeza ukawaleta warundikane kwako utajuta unaweza kuhisi virusi vipya vya corona vimeingia ndani kwako.
 
Ukitaka kujitafutia lawama na ugomvi nyumbani kwako chukua mtoto wa ndugu ndio utajua dunia inaelekea wapi.
Ndugu wengi wamefarakana kwasababu ya watoto unakuta mtoto wa mama Mkubwa au wa shangazi kaenda kwa mama mdogo lakini haamki asubuhi wewe umeamka SAA kumi na mbili yeye anaamka SAA,mbili akute umempikia chai na kudeki na bado vikombe mezani ukaondoe wewe mwenyenyumba. Ukimgombesha anapiga simu kwao kwamba unamnyanyasa hata kupika haingii jikoni sasa ukimuachia mtoto ndio kabisa ni mvivu hawezi kukulishia mtoto .

Mkuu nakuambia sio ndugu wote wazuri na ndio maana serikali imewawezesha wadau wengi kufungua vituo vya kulelea watoto wachanga au wadogo yaani Day care center. Kuliko uchukue ndugu aje kukulelea mtoto ni bora umpeleke mtoto Day care ukitoka kazini unampitia unaenda naye nyumbani. Hapo utakuwa na amani hao ndugu wasaidie wakiwa kwao maana ukiwaendekeza ukawaleta warundikane kwako utajuta unaweza kuhisi virusi vipya vya corona vimeingia ndani kwako.
Kabla hujamchukua unakaa na wazazi wake pamoja na mhusika unawaelewesha unayotarajia kutoka kwake. Kwanza mtoto mwenye nidhamu hawezi kumuona mkubwa anaosha vyombo wakati yeye amekaa.
 
Kabla hujamchukua unakaa na wazazi wake pamoja na mhusika unawaelewesha unayotarajia kutoka kwake. Kwanza mtoto mwenye nidhamu hawezi kumuona mkubwa anaosha vyombo wakati yeye amekaa.
Watoto wa Siku hizi ni wale waoliozaliwa kichwa chini wakikuchungulia makalio..yaani watoto walivyo utafikiri waliozaliwa wanaona miguu ya mama zao..eti unapanda bodaboda anakutongoza..

Cha ajbu kimoja tu kule
 
Hili ni sawa na kilimo cha WhatsApp!
Tuliojaribu ndugu kama ndugu, hatutarudia huo upuuzi. Majungu na ubaya wote na lawama zote usubirie zikuangukie.
Dharau na vitimbi hapana!

Waje kutembea na kurudi makwao, msaada wataupatia huko makwao.

Everyday is Saturday.............................. 😎
 
Back
Top Bottom