Ile ilikuwa experience nzuri sana kwako na mshukuru huyo mmama kwa kukufanyia hivyo. I am sure by now utakuwa umerealize lile lilikuwa somo la kutafuta vyako mapema na uwekeze mapema ili wanao wasije kupitia kitu kama hiyo. Kama hujalearn by now, hujachelewa. Tunapaswa kuwashukuru watu wote (wema au wabaya in our perspectives) kwa kuwa wote waliaacha alama katika maisha yetu.
Swali la kizushi: Vipi maisha ya sasa ya wale madogo waliokuwa wanagonga cakes, mayai na pringles wakati wewe ukigonga magimbi au ukipiga pasi ndefu mpaka mchana? Haitoshangaza kusikia baadhi yao wana hali tete sasa hivi.