Kuliko kuajiri mfanyakazi wa ndani tuwe na utaratibu wa kuchukua watoto wa ndugu kwa nia ya kuwaendeleza

Kuliko kuajiri mfanyakazi wa ndani tuwe na utaratibu wa kuchukua watoto wa ndugu kwa nia ya kuwaendeleza

Mi sitaki hata kuishi na ndugu, sitaki lawama na mtu dada wa kazi anatosha....
 
Mwenyezi Mungu atusaidie na atuongoze. Atuondolee Roho ya Umasikini. Maana hata ukimiliki ulimwengu mzima, ila ukawa na Roho ya Kimasikini.. Hakika utakuwa mtu wa kuhangaika na kutaabika tu.
 
Hii mkuu ni ukweli 200%,,
Wanawake wanajua kuwatumikisha hawa mabint,
Unakuta ana mpa kazi ad wewe unaona aibu,
Na ukimtetea t atakuambia utakua unatembea nae huyu sio bure kwann umtete..
Ukisema ujaribu t kujiweka nae karbu a feel comfortable ndo unazidi kuchochea moto [emoji16]
Piga kubao hilo limwanamke
 
Ni jambo jema na la msingi kabisa kuwasaidia ndugu lakini umakini unahitajika ili kuhakikisha hakuna tuhuma za kujirudia kuhusu manyanyaso japo kwa asilimia kubwa ile fair treatment inakuwa na dosari fulani na ni wachache wanaoweza kubalance hasa kwa upande wa akina mama kupendelea zaidi wanae nadhani ni nature

Anyway saidia sana tena uhakikishe unayemsaidia anafanikiwa ili kuwa reference tosha

Say no to umaskini
 
Ni jambo zuri sana ikiwa utapata watu wanaojitambua na kuelewa wajibu wao.
Kwa uzoefu wangu, ndugu au jamaa wanaweza kukupa kero na namna ya kushughulika na kesi zao inajumuisha watu wengi ambao inawezahatarisha mahusiano kwenye familia.

Ukipata anaejitambua, ni raha sana, lakini wengi wao wanakuja na mtazamo kwamba hapo wapo kwa ndugu yao na wao sio wafanyakazi, wanaweza kumvimbia wife ikawa tafran.

Nawasaidia lakini mmalawi lazima awepo kufanya wajibu ambao mahusiano yetu ni kazi na ujira.
Huyo mumalawi ulimpatia wapp?
 
Achana na habari za kum control! Ukimsaidia mtu mwache free afanye anachopenda you guys mnafeli hapa...Unapomsaidia mtu usimuhenyeshe maana ile mantiki ya msaada inakuwa haipo kabisa na wala hizo thawabu unazozitaka hutazipata! Assist someone with a clean heart. Sio ndio umfanyishe makazi kama punda na kumkosesha amani!

Kuna watu wanakaa na watoto wa wenzao yani mtoto hawezi juta kuishi hapo sababu wote wanapata fair treatment! Sio mtoto wako shopping Mlimani wa mwenzio unampa hela aende Ilala Boma akanunue mtumba! Haya ndio mambo ya hovyo
Not always the case---mimi nishaishi na kijana in his 20's---elimu ya darasani ilimshinda siku nyingi huko kijijini,hivyo akaja mjini kutafuta alternative---mwanzoni alitamani biashara---lakini kila pesa anayopata anaenda kupiga mtungi.
Tukapambana akapata leseni ya udereva--anapata fair treatment ya kila kitu--na amekuwa dereva backup ili akishazoea barabara aweze kuajiriwa/kujiajiri kwa njia ya gari---hela ya mafuta yenyewe anaenda kununua K-vant---watu kama hawa unawasaidiaje sasa.
 
Huyo mumalawi ulimpatia wapp?

Nafikiri swali ingekua hao wamalawi hua nawapata wapi?

Kuna Dada Mmalawi ameolewa huku na ameshaishi Tanzania kwa zaidi ya miaka 15, hua tunamtumia yeye kwa sababu anafahamiana na wenzao pia inakua guarantee yetu akituletea yeye
Nimeshakua nao zaidi ya watatu na sijawahi kujuta.
 
Not always the case---mimi nishaishi na kijana in his 20's---elimu ya darasani ilimshinda siku nyingi huko kijijini,hivyo akaja mjini kutafuta alternative---mwanzoni alitamani biashara---lakini kila pesa anayopata anaenda kupiga mtungi.
Tukapambana akapata leseni ya udereva--anapata fair treatment ya kila kitu--na amekuwa dereva backup ili akishazoea barabara aweze kuajiriwa/kujiajiri kwa njia ya gari---hela ya mafuta yenyewe anaenda kununua K-vant---watu kama hawa unawasaidiaje sasa.
Huyo anazingua bange unampiga chini tu
 
Nafikiri swali ingekua hao wamalawi hua nawapata wapi?

Kuna Dada Mmalawi ameolewa huku na ameshaishi Tanzania kwa zaidi ya miaka 15, hua tunamtumia yeye kwa sababu anafahamiana na wenzao pia inakua guarantee yetu akituletea yeye
Nimeshakua nao zaidi ya watatu na sijawahi kujuta.
Haswa swali lililenga hapo maana wamalawi ndo watu Wana watumia sikuhizi na ninaskia hawasumbui kabisa
 
Ukimtetea kwamba unamtaka
Ndio hivyo mkuu,, kuna wakati naona hii sio sawa! Ukijaribu kusawazisha mambo wife anabadilika, anaona kama kuna benefits napata lakini wapi mtoto wa watu namuonea tu huruma halafu pia naangalia malezi ya wanangu kama kuwalemaza hivi!!

Unakuta binti yangu haingii jikoni kwa muda mrefu eti kisa tuna ndugu msaidizi wa majukumu ya nyumbani. Hii sio sawa, wake zetu mnalemaza watoto wetu kisha badae muanze kulialia ooh mwanangu ana mikosi hakai na mwanaume n.k kumbe mchawi ni wewe na malezi yako mabovu kwa wanae ukidhani unawajali sana kwa kuwatoa kwenye majukumu yao ya msingi... Mnazingua wake zetu, mnafeli sana hapa

Kudadeki nimetema nyongo huku mafichoni nadhani soon ntapata relief.. Hahahaaa
 
Ndio hivyo mkuu,, kuna wakati naona hii sio sawa! Ukijaribu kusawazisha mambo wife anabadilika, anaona kama kuna benefits napata lakini wapi mtoto wa watu namuonea tu huruma halafu pia naangalia malezi ya wanangu kama kuwalemaza hivi!!

Unakuta binti yangu haingii jikoni kwa muda mrefu eti kisa tuna ndugu msaidizi wa majukumu ya nyumbani. Hii sio sawa, wake zetu mnalemaza watoto wetu kisha badae muanze kulialia ooh mwanangu ana mikosi hakai na mwanaume n.k kumbe mchawi ni wewe na malezi yako mabovu kwa wanae ukidhani unawajali sana kwa kuwatoa kwenye majukumu yao ya msingi... Mnazingua wake zetu, mnafeli sana hapa

Kudadeki nimetema nyongo huku mafichoni nadhani soon ntapata relief.. Hahahaaa
Hahahahahah kupata relief ni kuwafurusha hao binti zako waende kufanya shughuli za jikoni
 
Ndio hivyo mkuu,, kuna wakati naona hii sio sawa! Ukijaribu kusawazisha mambo wife anabadilika, anaona kama kuna benefits napata lakini wapi mtoto wa watu namuonea tu huruma halafu pia naangalia malezi ya wanangu kama kuwalemaza hivi!!

Unakuta binti yangu haingii jikoni kwa muda mrefu eti kisa tuna ndugu msaidizi wa majukumu ya nyumbani. Hii sio sawa, wake zetu mnalemaza watoto wetu kisha badae muanze kulialia ooh mwanangu ana mikosi hakai na mwanaume n.k kumbe mchawi ni wewe na malezi yako mabovu kwa wanae ukidhani unawajali sana kwa kuwatoa kwenye majukumu yao ya msingi... Mnazingua wake zetu, mnafeli sana hapa

Kudadeki nimetema nyongo huku mafichoni nadhani soon ntapata relief.. Hahahaaa
Mkuu upo wapi nikupongeze hata kwa bangi nyepesi, maana umeongea kitu ambacho ni true kabisa bwashee
 
Unakaa na mtoto kwa mkataba wa kumsomesha au kumuendeleza. Mnapanga muda wake wa kwenda shuleni au mafunzoni na muda wake wa kazi. Anaishi kama mtoto wa nyumbani, unamnunulia mahitaji yake madogo madogo. Sehemu kubwa ya mshahara unakwenda kulipia ada na Bima ya afya.

Akihitimu mafunzo unamuwezesha kujitegemea na unatafuta mwingine. Kama ndugu zako wote mambo safi unaweza kuchukua vijana wa kijijini kwenu. Hii ni njia ya kurudisha katika jamii na kukwamuana kimaisha.
Tusipangiane maisha bhana, kwani hao ambao si ndugu au wa kijijini kwenu hawastahili kuendelezwa.....watanzania wote ni ndugu..
 
Achana na habari za kum control! Ukimsaidia mtu mwache free afanye anachopenda you guys mnafeli hapa...Unapomsaidia mtu usimuhenyeshe maana ile mantiki ya msaada inakuwa haipo kabisa na wala hizo thawabu unazozitaka hutazipata! Assist someone with a clean heart. Sio ndio umfanyishe makazi kama punda na kumkosesha amani!

Kuna watu wanakaa na watoto wa wenzao yani mtoto hawezi juta kuishi hapo sababu wote wanapata fair treatment! Sio mtoto wako shopping Mlimani wa mwenzio unampa hela aende Ilala Boma akanunue mtumba! Haya ndio mambo ya hovyo
Ila mdau unaonekana uliathiriwa sana kisaikolojia na hizi mambo yaan vile unavyoongea tu....
Kifupi usitegemee kupata raha au uhuru ukiwa kwa mtu hata kwa wazazi wako. Uhuru na starehe ni pale unapokuwa kwako, ukijijengea hii mentality utaishi kwa yoyote bila hata shida.
Mie niliwahi kukaa na ndugu yangu haikua rahis kwa kweli ila nilijipa moyo tu kuwa pale napita na wala hakunipa shida.
 
Ila mdau unaonekana uliathiriwa sana kisaikolojia na hizi mambo yaan vile unavyoongea tu....
Kifupi usitegemee kupata raha au uhuru ukiwa kwa mtu hata kwa wazazi wako. Uhuru na starehe ni pale unapokuwa kwako, ukijijengea hii mentality utaishi kwa yoyote bila hata shida.
Mie niliwahi kukaa na ndugu yangu haikua rahis kwa kweli ila nilijipa moyo tu kuwa pale napita na wala hakunipa shida.
True story
 
Alfajiri uamke ufagie kiwanja na banda la mbuzi kisha unaenda shule hata chai hujanywa hupewi hata sh.100 utembee wao wanapandishwa school bus na buku ya kuspend on break time hapo washakula cakes, mayai na chai asubuhi! I don’t wanna remember that life aisee...Siwezi ruhusu mtoto wa mtu apitie ile hali akiwa kwangu! I rather not take him/her.
Ile ilikuwa experience nzuri sana kwako na mshukuru huyo mmama kwa kukufanyia hivyo. I am sure by now utakuwa umerealize lile lilikuwa somo la kutafuta vyako mapema na uwekeze mapema ili wanao wasije kupitia kitu kama hiyo. Kama hujalearn by now, hujachelewa. Tunapaswa kuwashukuru watu wote (wema au wabaya in our perspectives) kwa kuwa wote waliaacha alama katika maisha yetu.

Swali la kizushi: Vipi maisha ya sasa ya wale madogo waliokuwa wanagonga cakes, mayai na pringles wakati wewe ukigonga magimbi au ukipiga pasi ndefu mpaka mchana? Haitoshangaza kusikia baadhi yao wana hali tete sasa hivi.
 
Back
Top Bottom