Kuliko kuajiri mfanyakazi wa ndani tuwe na utaratibu wa kuchukua watoto wa ndugu kwa nia ya kuwaendeleza

Kuliko kuajiri mfanyakazi wa ndani tuwe na utaratibu wa kuchukua watoto wa ndugu kwa nia ya kuwaendeleza

Ndugu anaejielewa yupoje na asiyejielewa yupoje? Kwani ndugu anakuwa hajui purpose yake ya kuja hapo ama mnakuwa hamjawaweka wazi anapotoka huko anabebwa kama kiroba?
Purpose ya kuishi kwako unaijua wewe, sio yeye.
 
Sawa sijakataa mi nalalamikia ile fairness! Kwani wangevaa woolworth wasingesoma hadi kupata kazi?

Turudi kwenye dhamira ya mlezi wao, hatujui uwezo wake lakini tumeona wamefanikiwa…. wala haijawekwa wazi kama familia ilishirikiana au ni mjomba aliwasomesha kwa siri.

Kwanini tumhukumu mke kwa maronya bila kujua dhamira yake, kila kitu ni PENGINE…..[emoji276]
 
Unakaa na mtoto kwa mkataba wa kumsomesha au kumuendeleza. Mnapanga muda wake wa kwenda shuleni au mafunzoni na muda wake wa kazi. Anaishi kama mtoto wa nyumbani, unamnunulia mahitaji yake madogo madogo. Sehemu kubwa ya mshahara unakwenda kulipia ada na Bima ya afya.

Akihitimu mafunzo unamuwezesha kujitegemea na unatafuta mwingine. Kama ndugu zako wote mambo safi unaweza kuchukua vijana wa kijijini kwenu. Hii ni njia ya kurudisha katika jamii na kukwamuana kimaisha.
Ndugu ni changamoto, hasa wa ukweni, akiwa wa kiume mbeleni mtadharauliana, akiwa wa kike mwisho wa picha atakutega umle yani ni varangati vangu vangu y
 
Hahahahah sasa umuangalieje kama anakula na kiinua mgongo anapata daily!😅😅😅 mwambie bandogo aache uchizi. Well, hopefully humsimangi simangi tu maana misaada ya masimango inakera!

Chuo mtu hasimamiwi anajisimamia mwenyewe.
Wala simsemi mia namtizama tu akija anakula na 5000 yake nampa anaondoka
 
Unakaa na mtoto kwa mkataba wa kumsomesha au kumuendeleza. Mnapanga muda wake wa kwenda shuleni au mafunzoni na muda wake wa kazi. Anaishi kama mtoto wa nyumbani, unamnunulia mahitaji yake madogo madogo. Sehemu kubwa ya mshahara unakwenda kulipia ada na Bima ya afya.

Akihitimu mafunzo unamuwezesha kujitegemea na unatafuta mwingine. Kama ndugu zako wote mambo safi unaweza kuchukua vijana wa kijijini kwenu. Hii ni njia ya kurudisha katika jamii na kukwamuana kimaisha.
Tatizo hao watoto wa ndugu wakija kwako nao wanajiona wako kwa ndugu hawataki kufanya kazi
 
Unakaa na mtoto kwa mkataba wa kumsomesha au kumuendeleza. Mnapanga muda wake wa kwenda shuleni au mafunzoni na muda wake wa kazi. Anaishi kama mtoto wa nyumbani, unamnunulia mahitaji yake madogo madogo. Sehemu kubwa ya mshahara unakwenda kulipia ada na Bima ya afya.

Akihitimu mafunzo unamuwezesha kujitegemea na unatafuta mwingine. Kama ndugu zako wote mambo safi unaweza kuchukua vijana wa kijijini kwenu. Hii ni njia ya kurudisha katika jamii na kukwamuana kimaisha.
Wapo ndugu wengi hawaamini hili ! Lazima watataka mshahara tu, na hapo ndipo utagundua unapigwa Mara mbili na utaona bora kutafuta mfanyakazi rasmi
 
Unakaa na mtoto kwa mkataba wa kumsomesha au kumuendeleza. Mnapanga muda wake wa kwenda shuleni au mafunzoni na muda wake wa kazi. Anaishi kama mtoto wa nyumbani, unamnunulia mahitaji yake madogo madogo. Sehemu kubwa ya mshahara unakwenda kulipia ada na Bima ya afya.

Akihitimu mafunzo unamuwezesha kujitegemea na unatafuta mwingine. Kama ndugu zako wote mambo safi unaweza kuchukua vijana wa kijijini kwenu. Hii ni njia ya kurudisha katika jamii na kukwamuana kimaisha.
You are right mambo kwani unaweza kuleta kibaka toka kijijini kama mfanyakazi wa ndani na unamgharamia kila kitu, mwishowe mtu wa nyamba ya pili anamrubuni ili tu apate kujuwa siri zako aanze kuwambia wenzake mtaani. Ni bora kumchukua ndugu na kumsaidia kuliko hawa vibaka wa vijijini wasiokuwa na akili timamu tena wengine wachawi.
 
Hii mkuu ni ukweli 200%,,
Wanawake wanajua kuwatumikisha hawa mabint,
Unakuta ana mpa kazi ad wewe unaona aibu,
Na ukimtetea t atakuambia utakua unatembea nae huyu sio bure kwann umtete..
Ukisema ujaribu t kujiweka nae karbu a feel comfortable ndo unazidi kuchochea moto [emoji16]
Hii inanihusu kabisa
 
Sawa sijakataa mi nalalamikia ile fairness! Kwani wangevaa woolworth wasingesoma hadi kupata kazi?
Hawa wanawake wana roho mbaya sana tena huyo ndugu ataish vizur tu kama ni wa upande wake ila kama ni wa upande wako ndo hata kuangalia Tv atakatazwa kukanyanga sebuleni itakua marufuku labda we mwenyewe uwepo ndo watajidai wanamuita aje mle pamoja
Ndugu ukimchukua mchukue kwa nia moja tu kwa maelewano ya kuja kufanya kaz na kumlipa au kwa maelewano ya kumsaidia kumuendeleza, haiwezekan awe anatoka shule alaf anapiga kaz had saa 6 usk alaf alfajr saa 11 umeshamuamsha huku watt wako wamelala kiukweli hayo ni manyanyaso hakuna msaaada hapo
 
Hawa wanawake wana roho mbaya sana tena huyo ndugu ataish vizur tu kama ni wa upande wake ila kama ni wa upande wako ndo hata kuangalia Tv atakatazwa kukanyanga sebuleni itakua marufuku labda we mwenyewe uwepo ndo watajidai wanamuita aje mle pamoja
Ndugu ukimchukua mchukue kwa nia moja tu kwa maelewano ya kuja kufanya kaz na kumlipa au kwa maelewano ya kumsaidia kumuendeleza, haiwezekan awe anatoka shule alaf anapiga kaz had saa 6 usk alaf alfajr saa 11 umeshamuamsha huku watt wako wamelala kiukweli hayo ni manyanyaso hakuna msaaada hapo
Heri wewe umenielewa maana hicho ulichokieleza ndio hasa mimi nilikipitiaga exactly
 
Unakaa na mtoto kwa mkataba wa kumsomesha au kumuendeleza. Mnapanga muda wake wa kwenda shuleni au mafunzoni na muda wake wa kazi. Anaishi kama mtoto wa nyumbani, unamnunulia mahitaji yake madogo madogo. Sehemu kubwa ya mshahara unakwenda kulipia ada na Bima ya afya.

Akihitimu mafunzo unamuwezesha kujitegemea na unatafuta mwingine. Kama ndugu zako wote mambo safi unaweza kuchukua vijana wa kijijini kwenu. Hii ni njia ya kurudisha katika jamii na kukwamuana kimaisha.
Bonge la idea hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom