- Thread starter
- #41
Wanajua mtanzania hata avuke mpaka ni peace haendi kufanya ujambazi Kenya wa silaha anaenda tu kuburudisha nafsi na anarudi kwake Tanzania awe na passport au la sio kwamba immigration Kenya hawakuona huyo bodaboda waweza kuwa wanamjua vizuri Kenya wanamjua na aliwaonyesha sign kuwa nimebeba peaceful person ana yake ambayo sio illegal.in Kenya
Mirungi Kenya sio illegal kama Tanzania
Ila Mkenya hawezi ingia kirahisi hivyo kama wewe atakoma sababu immigration wanajua crime rate ya wakenya Tanzania iko juu mmo
Ndio maana Raisi Kagame anahangaika kudhibiti mipaka ya Rwanda ya wanyarwanda watokao na bidhaa zitokazo kwenda nje na viingiaavyo visije chafua brand ya. RWANDA ndio maana wakali mpaka wao uwe unatoka au unaingia au chochote kinaingia au kutoka
Hawataki mchezo wanataka kufanya Rwanda brand ya chochote iwe reliable
Na yuko sahihi
Point of correction - "boda hii ni one stop center". Kila nchi haizuii watu kutoka kwake kwenda upande wa pili bali kila nchi inadhibiti waingiao kwake.
Kwa mwendo wa boda hii nchi imefunguliwa zaidi ya kufunguliwa.