Kulikoni, mpakani na Rwanda sisi ni shamba la bibi?

Kalagabaho....., nchi itaendelea kubaki nyuma kwenye vitu vingi because of your kind of stupid thinking.
Umekwepa kujibu swali still unadandia na cheap justification mwenyewe unaona ni swali la msingi sana.
Unahisi una akili sana kwamba ukipewa nchi utaibadilisha ina a day? Magu kapambana ila hata angemaliza 20 angetusogeza ila sio kama unavyodhani, so fanya kazi tunza familia yako nchi inasogoa taratibu
 
Rwanda ni kama Mkoa wa Tabora na wanaiba madini ya Kongo huwezi lingasha na linchi likuubwa kama Tz hata hivyo hakuna cha maana walichituzidi kuanzia barabara hadi majengo marefu. Acha kudanganya 😠😠
Umeongea fact na ni wachache watakuelewa. Rwanda hawatuzidi chochote sema tu mtanzania akishaambiwa kuwa kitu flani ni bora anakufa nacho.
Rwanda kama mkoa kweli ituzidi maendeleo?
 
Umeongea fact na ni wachache watakuelewa. Rwanda hawatuzidi chochote sema tu mtanzania akishaambiwa kuwa kitu flani ni bora anakufa nacho.
Rwanda kama mkoa kweli ituzidi maendeleo?
Tuna mijitu mijinga sana na ukifuatilia ni jobless kila kitu wanalaumu nimeuliza wanipe mji mkubwa nje ya kigali tufananishe na Singida au Iringa naona wanakwepa wanaanza matusiπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… nchi ina international airport moja tu. Hata mipaka ikiwa wazi nani anaenda Rwanda? Kufanya nini kwa mfano labda afuate MADEMUπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mademu wenyewe wanavuka boda pale rusumo benako na mzani ni wengi mno
 
Vipi hali ya miundo mbinu upande wa Tanzania?! Siyo bora kama upande Rwanda?! Mji wa Rusumo upande Wa Tanzania mishemishe ikoje? Mji umechangamka?
 
Rwanda ni kama Mkoa wa Tabora na wanaiba madini ya Kongo huwezi lingasha na linchi likuubwa kama Tz hata hivyo hakuna cha maana walichituzidi kuanzia barabara hadi majengo marefu. Acha kudanganya [emoji34][emoji34]
kuwa muelewa ponti hapo ni wizi unaofnywa na wafanyakazi wa mpakani
 
Rwanda ni sehemu ya Tanzania ila PK anajisahaulisha tu.
Ni Sawa na Burundi tu.
Sema hawajaanza kunyukana mieleka, wakianza utwaona wakilalama huku wanakuja makundi makundi.
 
Huku ni business as usual mpaka aje mwenye Kaudikiteta dikiteta ndio mambo yatanyooka !! Na hao wa hivyo huku hamuwataki !! So mambo ni mpwito mpwito tu !!
 
Ndio alinganishe na nchi inayoanzia mtwara hadi Karega, Ruvuma hadi Rombo, Dar- Kigoma
akili kama mtoto wa kindagati,poiti hapo ni wizi unao fanywa na maafisa wa serikali ndio maana kuna tofaoti kati ya rwanda na tz
 
hapa hakuna furusa tatizo wezi wa maafisa foroza
 
Mbao na madini tu. ??! Tena ya kutoka Nchi jirani au siyo ? Je sisi tuna nini na nini na nini ?!! Ndio maana alisemaga yeye anaweza kuendesha Nchi kwa Bandari tu na Utalii !! Sijui alikuwa anatania au vipi !!
 
Nchi inapokuwa kubwa na mapato ya Serikali nayo yanakuwa makubwa! Nchi inapokuwa ndogo na mapato ya Serikali yanakuwa madogo ! Nazungumzia mazingira ya Nchi zetu za Afrika !!
 
Rwanda ni kama Mkoa wa Tabora na wanaiba madini ya Kongo huwezi lingasha na linchi likuubwa kama Tz hata hivyo hakuna cha maana walichituzidi kuanzia barabara hadi majengo marefu. Acha kudanganya 😠😠
Hapana hata nusu tu ya mkoa wa Tabora bado, ni kama theluthi moja tu. Rwanda wana square km 26,000 wakati Tabora ina square km 76,000 ushee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…