Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa inaleta mantiki kidogo kwa ninavyo watambua watanzania sidhani kama wana uthubutu wa kumshambulia kiongozi yoyote mkubwa, huwenda hawa wanajiongeza ili kupiga pesa. Asante kwa maelezo yako bossNdo njia sahihi ya kupiga pesa zetu wabongo kwa fursa awafai.
20% yao
Inabidi kupata taarifa kutoka kwa Katibu wao.Kwani kikwete na magufuli pia walikuwa na waganga wao katika misafara yao?
Nchi ni lazima imlinde kwa nguvu zote AMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA....View attachment 1977510Wale walioko Arusha na viunga vyake leo tumeshuhudia/kuona Mh. Raisi mama Samia Suluhu Hassan kaongezewa ulinzi mara dufu, tofouti na tulivyozoea na msafara wake umekuwa na ulinzi mkali na idadi kubwa ya askari na usalama wa taifa kitengo cha ulinzi.
Pia msafara wake una magari zaidi ya 70 kutoka 20 ya awali kama tulivyokwisha zoea, msafara huu umeambatana na helikopta mbili kama tulivyokuwa tukiona enzi za Hayati John Pombe Magufuli.
Cha kushangaza amekuwa akisisitiza kauli kama ile ya Hayati John Pombe Magufuli ya kwamba “aombewe”, kulikoni?
Je, hii misafara mikubwa sio janja janja ya baadhi ya watumishi wakubwa kujilipa posho kubwa kubwa ilihali, wananchi wanalia maisha magumu katika awamu hii ya sita?
Tujadili.
Sawa sawa, je kuna tishio la kiusalama kwa mama yetu, maana mabadiliko ya ulinzi wake imekuwa ghafla mbona mwanzo hakuwa na walinzi wengi kiasi hiki?Nchi ni lazima imlinde kwa nguvu zote AMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA....
Dunia imebadilika sana.....
Maadui ni wengi mno.....
SIEMPRE JMT
Sina jibu.Yawezekana ni kizazi kipya.Vipi wale askari warefu wenye bunduki ni watanzania kweli? Maana hakuna watanzania warefu kama wale
Hana makuu hofu ya nn,ulinzi pekee ni kuwatendea watu mema.Hapa inaleta mantiki kidogo kwa ninavyo watambua watanzania sidhani kama wana uthubutu wa kumshambulia kiongozi yoyote mkubwa, huwenda hawa wanajiongeza ili kupiga pesa. Asante kwa maelezo yako boss
[emoji1][emoji1787][emoji23][emoji38][emoji1]Mmeshaanza kuwashwawashwa Tena..[emoji23]
acha kupotosha,hata jpm mbona alikuwa Mara kadhaa akisema MNIOMBEE!!??,mbona hukusema ni kundi flani linamuandama jpm,pumbavu ...,samia huenda kwa Sasa amegundua ikulu sio pa mchezo Panahitaji moyo wa chuma na ujasiri wa kutosha. huwezi kukosa maadui ,Wala huwez kukosa marafiki,lakini pia ikulu usimwamini mtu hata Kama ni mkeo au mumeo.muda wowote mtu wako wa karibu unayemwamini anaweza kuwa adui yako !!!Ameshajua kuna kundi flani lina mind sana! Kumbuka siku ana waapisha wale majaji na wateule wengine,alisema anapotengua watu,sio anawatengua sababu ya kabila lao, anatengua sababu ya kushindwa kwao kazi! Sasa hii kauli ni nzito sana kutolewa na head of the State! Ukute Pamba FC, wame mind sana watu wao kuliwa vichwa!
Gaidi sikuzote huwa na plan B,anaweza akawa gerezani lkn mikakati yake ikawa palepale!!,Kwa hiyo mama kapata tishio kwa mtu aliyoko gerezani?