nyboma
JF-Expert Member
- Aug 29, 2021
- 2,308
- 7,366
- Thread starter
- #61
Wa Magufuli naona ulikuwa na uafadhali maana nakumbuka hata helikopita ilikuwa ni moja ila huu wa mama una helikopita zaidi ya mbili.Kuna tishio gani Tanzania hadi kuwe na ule Ulinzi?? Kipindi cha Jakaya akiwa President uliwahi ona msafara wake ukiwa kama huu wa Magu au Samiya??
Sijajua kwanini wanafanya aerial surveillance huu ulinzi unastajabisha kwa kweli?