Kulikoni? Msafara wa Rais Samia kuwa na magari yote haya, pia ulinzi wake umeongezeka maradufu

Kulikoni? Msafara wa Rais Samia kuwa na magari yote haya, pia ulinzi wake umeongezeka maradufu

Ni sahihi. Yeye ni mwanasiasa na kiongozi, hawezi jipangia ulinzi wake mwenyewe uweje. Kuna wataalam. Ni sawa na kusema daktari ajifanyie operation, haiwezekani.
Asante sana kwa maelezo mazuri
 
Ameshajua kuna kundi flani lina mind sana! Kumbuka siku ana waapisha wale majaji na wateule wengine,alisema anapotengua watu,sio anawatengua sababu ya kabila lao, anatengua sababu ya kushindwa kwao kazi! Sasa hii kauli ni nzito sana kutolewa na head of the State! Ukute Pamba FC, wame mind sana watu wao kuliwa vichwa!
Ahahahaaaaa Pamba fc siyo Geita gold [emoji28][emoji23][emoji1787]
 
Yule asikari zilitoka taarifa kua kajiua! Sasa wengine sijui ilikuaje
Aisee hizo kazi nimeziogopa, sasa hawa kuna baadhi ni watu wazima na wanavitambi kabisa wanaweza rusha ngumi au wanajifua wapi mazoezi yao maana sijawahi sikia pale oysterbay hata mlio wa risasi au hata mchakachaka wakiimba mazoezi wanafanyia wapi hawa watu
 
Unataka nikuambie walipo siyo😂.

Wapo nchini ni watu tu wanaohusika na ulinzi wa raisi.
Nitonye boss maana hawa viumbe hata mtaani hawaonekani wanaishi wapi? Mazoezi wanafanyia wapi? Ama ndio invisible kabisa
 
Nitonye boss maana hawa viumbe hata mtaani hawaonekani wanaishi wapi? Mazoezi wanafanyia wapi? Ama ndio invisible kabisa
Unadhani mtu anayefahamu taarifa za ulinzi wa kiongozi mkuu wa nchi atachat na wewe hapa sasa hivi achilia mbali kukueleza? We hayo yaache, hizo taarifa hazina wala msaada wowote kwako.
 
Inaonekana pia
Ameshajua kuna kundi flani lina mind sana! Kumbuka siku ana waapisha wale majaji na wateule wengine,alisema anapotengua watu,sio anawatengua sababu ya kabila lao, anatengua sababu ya kushindwa kwao kazi! Sasa hii kauli ni nzito sana kutolewa na head of the State! Ukute Pamba FC, wame mind sana watu wao kuliwa vichwa!
Inaonekana pia kama kuna ka mgomo baridi kwa waliokuwa watu wa JPM kutenguliwa ona polepole amekuwa kama kachanganyikiwa huyu bashiru amekuwa kimya hatujui hata anawaza nini?
 
Unadhani mtu anayefahamu taarifa za ulinzi wa kiongozi mkuu wa nchi atachat na wewe hapa sasa hivi achilia mbali kukueleza? We hayo yaache, hizo taarifa hazina wala msaada wowote kwako.
Sijataka taarifa za ulinzi mimi nataka kujua wanaishi wapi na kambi yao ipo wapi hapa tanzania?
 
Sawa, halafu? Hiyo information una matumizi nayo? Yapi?
Mbona kambi za jeshi zinajulikana zilipo, kuna kitu gani cha ziada kwenye hiki kikosi cha ulinzi wa raisi?
 
Yes kuna shida sehemu! Wateule wa Magu naona kabisa hawana amani!

Kauli za Samia kama head of the state kuna nyingine anapaswa kuziacha tu hewani!

Kama hii yakutengua,na ile kipindi cha kifo cha Magu,kwamba kuna watu wanasema hivi,wengine vile,duh ilileta shida kidogo!
Hatari kwelikweli mkuu
 
Soma comment yako ya kwanza kwangu,kama hukuweka tusu! Usipende kujaribu watu,pinga hoja kwa hoja,na sio kuleta matusi,kuna wengine tuna midomo michafu,choo cha stand kinasubiri!
Mkuu fuatilia comments zangu zimeingilia sehemu gani?

Ni pale ulipomtusi aliyekutusi, huyo aliyekutusi niliingilia nikamrai naye kukomenti kistaarabu pia.

Kwa hiyo mimi ni mtu wa kati kutenganisha mafahari mawili yanayotimua vumbi na kuumiza nyasi ama watoto wa mjini wanavyosema 'nimenunua kesi'.

Sina stori za kughadhabishana na watu humu Jf mie.
Pole sana mkuu.
 
Back
Top Bottom