Kulikoni? Msafara wa Rais Samia kuwa na magari yote haya, pia ulinzi wake umeongezeka maradufu

Nchi ni lazima imlinde kwa nguvu zote AMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA....

Dunia imebadilika sana.....

Maadui ni wengi mno.....

SIEMPRE JMT
 
Nchi ni lazima imlinde kwa nguvu zote AMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA....

Dunia imebadilika sana.....

Maadui ni wengi mno.....

SIEMPRE JMT
Sawa sawa, je kuna tishio la kiusalama kwa mama yetu, maana mabadiliko ya ulinzi wake imekuwa ghafla mbona mwanzo hakuwa na walinzi wengi kiasi hiki?
 
Hapa inaleta mantiki kidogo kwa ninavyo watambua watanzania sidhani kama wana uthubutu wa kumshambulia kiongozi yoyote mkubwa, huwenda hawa wanajiongeza ili kupiga pesa. Asante kwa maelezo yako boss
Hana makuu hofu ya nn,ulinzi pekee ni kuwatendea watu mema.
Mwingi na JK hata kariakoo wanaweza katiza salama kabisa bila hata mlinzi, sababu waliwekeza kwenye wema
 
acha kupotosha,hata jpm mbona alikuwa Mara kadhaa akisema MNIOMBEE!!??,mbona hukusema ni kundi flani linamuandama jpm,pumbavu ...,samia huenda kwa Sasa amegundua ikulu sio pa mchezo Panahitaji moyo wa chuma na ujasiri wa kutosha. huwezi kukosa maadui ,Wala huwez kukosa marafiki,lakini pia ikulu usimwamini mtu hata Kama ni mkeo au mumeo.muda wowote mtu wako wa karibu unayemwamini anaweza kuwa adui yako !!!
 
Itakuwa anaogopa mishalena mikuki ya Wamasai...

Unampeleka Morani wetu jela miaka 30? Na kama hiyo hamjaridhika, mnatuambia eti bado ana kesi zingine!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…