Kulikoni siku hizi kuoa mpaka kwanza binti apigwe mimba?

Kulikoni siku hizi kuoa mpaka kwanza binti apigwe mimba?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Ni nini hasa changamoto hata ifikie mahali ili kijana atangaze ndoa ni Lazima awe ametekeleza jambo hilo?

Hata hivyo,
ni dhahiri wana ndoa wengi hivi sasa, wanaenda kwenye nyumba za ibada kufunga ndoa wakiwa na matumbo ya ujauzito, tena makubwa tu.

Ni nini siri ya haya yote, ukiachilia mbali kwenye ndoa siku hizi mabibi harusi wenyewe licha ya kua wajawazito lakini wana mashepu ya ukweli hatari, sijui ni vigodoro 🐒
 
Ku-confirm ni muhimu kamaa mimba inaweza tungwa.

Kwenda kwa mwamposa baada ya ndoa kutafuta mtoto is hectic.

Tunatabet kwenye mipira ila sio kubet kwenye kupata mtoto baada ya ndoa
 
Ni nini hasa changamoto hata ifikie mahali ili kijana atangaze ndoa ni Lazima awe ametekeleza jambo hilo?

Hata hivyo,
ni dhahiri wana ndoa wengi hivi sasa, wanaenda kwenye nyumba za ibada kufunga ndoa wakiwa na matumbo ya ujauzito, tena makubwa tu.

Ni nini siri ya haya yote, ukiachilia mbali kwenye ndoa siku hizi mabibi harusi wenyewe licha ya kua wajawazito lakini wana mashepu ya ukweli hatari, sijui ni vigodoro 🐒
Ndoa azifungiwi kwenye nyumba ya ibada ...sema dini za kihuni za madhehebu ndiyo zimeleta huo upumbavu .....nyumba ya ibada imeitwa nyumba ya ibada kwa sababu ni nyumba ya ibada siyo nyumba ya ndoa
 
Mkuu siku hizi kuna uzazi wa mpango watoto wadogo wanatumia toka wakiwa shule mwisho wa siku uvimbe kwenye kizazi au mrija wa mayai huziba ukimuoa huyo utapiga mashine mpaka ukojoe upepo mtoto hupati kumbe mwenzako keshaua mayai.
Na ndio maana ni bora utie mimba uwe na uhakika kuwa haujaoa mtumba grade A
 
Katika jamii inayo husudu uzinzi hilo ni kawaida, kwanza kwa upande wa waisilam mwanamke haruhusiwi kufunga ndoa akiwa na mimba ila sijui kwa upande wa pili.
 
Mkuu siku hizi kuna uzazi wa mpango watoto wadogo wanatumia toka wakiwa shule mwisho wa siku uvimbe kwenye kizazi au mrija wa mayai huziba ukimuoa huyo utapiga mashine mpaka ukojoe upepo mtoto hupati kumbe mwenzako keshaua mayai.
Na ndio maana ni bora utie mimba uwe na uhakika kuwa haujaoa mtumba grade A
True
 
Ni nini hasa changamoto hata ifikie mahali ili kijana atangaze ndoa ni Lazima awe ametekeleza jambo hilo?

Hata hivyo,
ni dhahiri wana ndoa wengi hivi sasa, wanaenda kwenye nyumba za ibada kufunga ndoa wakiwa na matumbo ya ujauzito, tena makubwa tu.

Ni nini siri ya haya yote, ukiachilia mbali kwenye ndoa siku hizi mabibi harusi wenyewe licha ya kua wajawazito lakini wana mashepu ya ukweli hatari, sijui ni vigodoro 🐒
Kutest mitambo.
 
Ni nini hasa changamoto hata ifikie mahali ili kijana atangaze ndoa ni Lazima awe ametekeleza jambo hilo?

Hata hivyo,
ni dhahiri wana ndoa wengi hivi sasa, wanaenda kwenye nyumba za ibada kufunga ndoa wakiwa na matumbo ya ujauzito, tena makubwa tu.

Ni nini siri ya haya yote, ukiachilia mbali kwenye ndoa siku hizi mabibi harusi wenyewe licha ya kua wajawazito lakini wana mashepu ya ukweli hatari, sijui ni vigodoro 🐒
Hizo shepu ni vigodoro vilivyoshonewa kwenye nguo zao wala usitishike.
 
Ni nini hasa changamoto hata ifikie mahali ili kijana atangaze ndoa ni Lazima awe ametekeleza jambo hilo?

Hata hivyo,
ni dhahiri wana ndoa wengi hivi sasa, wanaenda kwenye nyumba za ibada kufunga ndoa wakiwa na matumbo ya ujauzito, tena makubwa tu.

Ni nini siri ya haya yote, ukiachilia mbali kwenye ndoa siku hizi mabibi harusi wenyewe licha ya kua wajawazito lakini wana mashepu ya ukweli hatari, sijui ni vigodoro 🐒
Vijana wamekosa adabu tu
 
Back
Top Bottom