Kulikoni siku hizi kuoa mpaka kwanza binti apigwe mimba?

Kulikoni siku hizi kuoa mpaka kwanza binti apigwe mimba?

Katika jamii inayo husudu uzinzi hilo ni kawaida, kwanza kwa upande wa waisilam mwanamke haruhusiwi kufunga ndoa akiwa na mimba ila sijui kwa upande wa pili.
Lakini katika Uislam anaruhusiwa kuolewa akiwa na umri wa miaka 9 sio?
 
My dota my dotaaa, hv nikiacha ufuska na wenge lote na toba si hawatamchezea hovyo! tokea nipate dota nna waswas wa kufanya ufuska kwakwel speed governor imeshuka mnoo. Niepushwe hiko kikombe kua faza wa singo maza.
Fanya vilivyo ndani ya uwezo wako; mkanye kuhusu ngono zembe, mfundishe kuwa na msimamo, na uhakikishe anapata mahitaji ya msingi wahuni wasimnunue.

Kisha kuwa na tumaini jema.
 
Ndoa azifungiwi kwenye nyumba ya ibada ...sema dini za kihuni za madhehebu ndiyo zimeleta huo upumbavu .....nyumba ya ibada imeitwa nyumba ya ibada kwa sababu ni nyumba ya ibada siyo nyumba ya ndoa
Unaelewa ulichokiandika?
 
Nashauri usioe kisa mimba tuu Bali mpaka Azae mtoto, kwani:

Kama siyo bikra lazima atakuwa ashachomoa mimba nyingi na asha temple na kizazi, ukijiloga ukaoa utamaliza manabii na waganga kutafuta mtoto
 
Back
Top Bottom