Kulikoni ziara za Freeman Mbowe?

Kulikoni ziara za Freeman Mbowe?

Hili swali limfikie na WAKUDADAVUA pia.

Yaani haya ni ma-CEO ya MAPOPOMA, nyuzi zao zote ni MBOWE NA CHADEMA hadi yanakera.

Yanadhani hizi bado ni enzi za kujipendekeza na kupata teuzi kwa kupambana na Mbowe/Chadema kumbe yapo nyuma wakati!
Pamoja na Pasco mayala, hawezi ongelea siasa bila kuinanga cdm
 
Pamoja na Pasco mayala, hawezi ongelea siasa bila kuinanga cdm
Mambo ya sabaya,kaitwa kwenye interview muda mwingi anamshambulia mbowe
Baada ya siku kadha mtu anaburuzwa mahakamani hadi kuchuchumalishwa,mbowe
Mwenyewe yuko kimya😂😂😂

Ova
 
Mambo ya sabaya,kaitwa kwenye interview muda mwingi anamshambulia mbowe Baada ya siku kadha mtu anaburuzwa mahakamani hadi kuchuchumalishwa, Mbowe
Mwenyewe yuko kimya[emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
Huwezi kujibu hoja?
 
Jamaa huwa lijinga weye!Kwa hiyo ulitka awaandae kama John alivyokuwa anawalipa(hongo) halafu anafanya ziara kuwapokea? Very stupid!😂😂😂
 
swali linasema hivi, "unataka kuifananisha kishumundu na kolomije? wapi nimekwambia kuwa kolomije hakuna chadema?
Mitoto iliyopatikana kwenye mikesha ya mbio za mwenge,vilabuni na kwenye ngoma za "chagulaga" huwa na matatizo ya uelewa kama huyo jamaa uliyemjibu.
Ni mzigo kwa familia,mzigo kwa majirani,mzigo kwa ukoo,mzigo kwa jamii na mzigo kwa taifa zima.
 
Mama ameleta furaha kwa WATANZANIA na pia ni Rais bora kabisa na ni mzuri tena haswa haswa na tumekubalianna mitano tena kwakwe na tunampenda na kwa sababu Moyo haupendi zaidi ya mara moja sasa wanaojipitisha pitisha na Surgery zao za kisaanii wanatuvuruga mama anatosha
 
Mama ameleta furaha kwa WATANZANIA na pia ni Rais bora kabisa na ni mzuri tena haswa haswa na tumekubalianna mitano tena kwakwe na tunampenda na kwa sababu Moyo haupendi zaidi ya mara moja sasa wanaojipitisha pitisha na Surgery zao za kisaanii wanatuvuruga mama anatosha
Sasa unaongea nn mbona huoleweki mitano ya nn ww ndo wale wale waropokaji wenye ubongo wa nyumbu
 
Back
Top Bottom