Pamoja na Pasco mayala, hawezi ongelea siasa bila kuinanga cdmHili swali limfikie na WAKUDADAVUA pia.
Yaani haya ni ma-CEO ya MAPOPOMA, nyuzi zao zote ni MBOWE NA CHADEMA hadi yanakera.
Yanadhani hizi bado ni enzi za kujipendekeza na kupata teuzi kwa kupambana na Mbowe/Chadema kumbe yapo nyuma wakati!