Bora ile ya kutoka kwa nyani bhana hii creation theory janja janja nyingi aisee
😆😆😆huyo lilith wanasema alikuwa hakamatiki akiambiwa na adam osha vyombo,adam akawa anakula kichapo anaosha yeye! adam alipochoka akaenda kulialia kwa Mungu ndo akaletewa eva!.. sasa eva nae akaona adam kazubaa sana ndo akala tunda kumchangamsha! yani kiufupi adam alikuwa zwazwa!
Kwamba tukisoma sura hizo kwa utulivu tutalikuta hadi jina la Lilith? 😂soma biblia kwa kutulia, soma mwanzo 1 na mwanzo 2 kwa utulivu kabisa na tafakuri ya kina utamwelewa mzee wa upako.
Sasa kama vimefichwa kwa siri, wewe umejuaje kuhusu kitabu cha Enock? Au wewe ndugu yetu sio mtu wa chini?.Hata hii Biblia ni Roman Catholic ndio walioamua kipi upewe wewe wa chini thus vitabu vingine vyenye siri mbali mbali vimefichwa maktaba za Vatican utakiwi wewe masikini kuzijua.
Unajua kitabu cha Enoko,
hapana, ila utajua kuwa hawa sio mke wa kwanza wa adam.Kwamba tukisoma sura hizo kwa utulivu tutalikuta hadi jina la Lilith?
We mzigua wa Dihombo acha uongo.Si kila Habari waambiwe watu wote only wanaofika level za juu tu za ujuzi na maarifa ili kuibalance dunia.
Hata hii Biblia ni Roman Catholic ndio walioamua kipi upewe wewe wa chini thus vitabu vingine vyenye siri mbali mbali vimefichwa maktaba za Vatican utakiwi wewe masikini kuzijua.
Unajua kitabu cha Enoko,unajua kuhusu miaka 18 ya Yesu iliyopotea kwann waliitoa wakakuachia only injili,
Kuna zaidi ya vitabu 300 havipo kwenye Biblia waliona yaliyomo ndio yanafaa vitabu vyote vingewekwa kwenye Biblia isingetosha na isingebebeka.
Wote wahuni tu wanatulisha matango pori😅Hahaha
Mkuu pale kwenye creation ya nyani ni udhalilishaji tu wa hawa white dhidi ya ngozi black.
Ametaja rejea yoyote?Sasa najiuliza mbona huku kitaa hatuambiwi habari hizi kwa uwazi na ukubwa wake kwanini habari hizi zinafichwafichwa kama bangi? shida nini hasa?
mkuu tuwekee izo fact tuelimikeWe mzigua wa Dihombo acha uongo.
Aliolewa na aliemshawishi wakaenda kuishi mafichoni akamtia Mimba, kuna uzi upo humu umeelezea kuhusu hayo pitiapitia utaukutaNa kwa wajuvi mtujuze huyu mama yetu wa mwanzo Lilith aliishia/alienda wapi?
iyo link haifunguki mbnBLAZE :: Service Unavailable
BLAZE is an entertainment channel which celebrates people who achieve the extraordinary through determination and courage. We celebrate real people and their stories. People who defy convention and follow their inner fire to live life their own way. We are driven to tell their immersive...watch.blaze.tv
Story ya Lilith ipo hapo na msingi wake wa utukutu.
Zingine ni mke wa Joshua ambayo bsckground yake haipo kwenye bible na kwanini aijaelezewa.
Daniel tofauti na anavyoelezewa kwenye bible wakati uhalisia alikuwa mtukutu kwenye vitabu vingine. (You might need U.K. IP address to watch).
Hizo hadithi za vitabu vya dini, zilikuwa ni legends za waisrseli ambazo zina variation. Kwenye kuandika vitabu vya dini watu wakachagua version za story wanazozani zinafaa.
Kabla ya Constantine mtaa mmoja unaweza kuta mtaa mmoja una makanisa matatu kila mtu ana version yake ya ukristo na jewish na kila nyumba inafanya ibada kwa mtindo wake.
Ukifuatilia historia ya dini utakuja kugundua wakristo, Jews na waislamu vitabu vyao vinafanana ni kwa sababu ni wendawazimu ambao msingi wao wa kupishana upo kwenye story walizoamua tu kuchagua kutengeneza vitabu vyao vya dini,
Kabla ya kutengeneza vitabu vya hizo story zillikuwepo na kulikuwa na makundi luluki kila mtu anafanya ibada kwa mtindo wake. Hizo dini tatu ndio zilitumia nguvu kufanya consolidation ya kufuata mtindo fulani wa kuabudu na kuchagua versions za story zinazowafaa wao.
tuwekee link kiongozi km hutajaliAliolewa na aliemshawishi wakaenda kuishi mafichoni akamtia Mimba, kuna uzi upo humu umeelezea kuhusu hayo pitiapitia utaukuta
Soma :tuwekee link kiongozi km hutajali
Tumia VPN na U.K. IP hiyo ni online TV intended for their audience and a laptop kwenye simu pia kufunguka ni shida.iyo link haifunguki mbn