Unaonyesha ni mfuasi mzuri wa MangeMkuu tunampenda sana Diamond lakini ya ukweli yasemwe. Ile ofisi mpya ya WCB hawajanunua ila wamepangisha. Lengo ni kufungua WCB TV ambayo mmiliki wake kwa 100% ni Bashite.
Katika vita ya Ruge na Bashite nae ameamua kuanzisha media industry kwenye 'makoa wake'. Diamond anatumika lakini mafahali yanayopigana ni Ruge na Bashite
Ruge amekuwa mstaarabu sana kwenye hili
HAHAHAAA dogo wanamsakamaga kinoma kwa machuki yao ya kijinga daaahHata WASAFI sio yake ni ya Ruge, wale watoto na Zari sio wake ni wa Katunzi na Ivan, yule na Hamisa Mabito ni wa Majizo. Nyumba zote anazopiga picha sio zake ni za Le Mutuz. Yaani huyu Diamond ni bure kabisa. Kiki tu kama pikipiki.
Ukifanikiwa weqe ntakunya online maneke watu kama nyie mmmMkuu tunampenda sana Diamond lakini ya ukweli yasemwe. Ile ofisi mpya ya WCB hawajanunua ila wamepangisha. Lengo ni kufungua WCB TV ambayo mmiliki wake kwa 100% ni Bashite.
Katika vita ya Ruge na Bashite nae ameamua kuanzisha media industry kwenye 'makoa wake'. Diamond anatumika lakini mafahali yanayopigana ni Ruge na Bashite
Ruge amekuwa mstaarabu sana kwenye hili
Karanga zimefanyaje mbona sielewi
Kipi kilichokuumiza?Binafsi sipendi kuongelea watu na mambo ya wasanii lakini hili limenigusa sana sana.
Kama mnakumbuka namna mr Nice alivyokuwa akiishi maisha ya kuigiza,steven kanumba hivyo ivyo pamoja na wasanii wengine sikuua kama msanii mahiri kama Diamond akiingizwa katika ujinga huo huo na wasaka pesa.
Kutokana na ugomvi wa chini chini baina ya kundi la WCB na Clouds media hasa chanzo kikiwa ni mradi wa redio na tv..sasa akina kusaga wameweka wazi kuwa zile Karanga za Diamond Karanga ni mali ya kampuni ya Clouds na Diamond ni balozi tu.
Nimeumia sana,maana nimekuwa nikimuona diamond kama kijana anayesaka fursa licha ya kutokuwa na elimu ya kutosha.
Namuomba diamond afanye yake atatoboa badala ya maisha ya show.
--------------------\
Unataka uniajiri mkuu?Mkuu samahani wewe profession yako ni ipi?..Yani kama umesoma ulisomea nini!?
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Sili karanga Tena hadi nijue ni za nani
Watanzania ni watu wa ajabu sana..Mbona hizo karanga zilikuwepo hapo nyuma,
Zikiwa chini ya smart industry
Na baadae wakaingia mkataba wa kutumia jina la Diamond na zikaanza kuitwa Diamond karanga,
Kutoka hapo karanga zinauzwa kwa hali ya juu.
Na wala sijawahi kuona siku Diamond amesema ana kiwanda cha karanga.
Analipwa kwa kuvaa uhusika wa owner wa Diamond karanga na hiyo ni fursa aliyoiona.
Sasa wewe usiumie na mambo ya maisha yako umia na mtu anaingiza pesa zake.
Kwani kuna siku ashawahi kusema c zake????kwani kuna siku diamond alishawahi kusema kuwa diamond karanga ni zake?
sky najua wewe huwezi uliza maswali ya kitoto kama aliyoleta huyo jamaa!Unataka uniajiri mkuu?
Hahaha Povu la nini sasa mwanaume hawez kuwa wa kike mkuu.Jamaa balozi tuuKwa hiyo povu la nini??
Yaani uzi wote huu ni kwamba kumtakia mabaya jamaa, dah! Iwe zake au sio zake kuna tatizo lolote?? Kuna siku yeye alisema ni zake au sio zake??
Wanaume wa kike mnaongezeka kwa kasi ya ajabu sana.
Sawa lakini tumekubaliana si zake yeye ni balozi si ndio?ikifikia hatua kampuni ikataka kutumia jina lako kuuza bidhaa hayo ni mafanikio ya juu kabisa ziwe zake ama isiwe zake kamisheni anaimgiza.
Nimetokea Ikwiriri mkuuMbona sio siri hiyo?...au ndo umeingia mjini jana toka Nyamisati?
Wcb for lifeWewe za kwako ziko wapi??
Saa nadhani ni 22000 au 21000 mwezi wa kumi na mbili zilipanda kidogo kutoka na uhaba na promotion ila huwa ni vizuri mi mwenyewe dukani mara kdhaa vimenitia hasarahivi boksi zima ni sh ngapi
Wcb for lifeKwani da mange kasemaje? Ficha ID yangu please
Tumeanza kuelewana sasaMtu anakaa kabisa kusema Diamond afanye maamuzi magumu kuonyesha jinsi gani tulivyo wajinga!.. Hizo karanga hata kama zingekuwa za Ali Kiba sawa tu cha kujiuliza ni Diamond analipwa kiasi gani kuzitangaza!?.