Kumbe Harmonize joka la kibisa! Mkewe aanika wazi kuwa hana uwezo wa kumpa mwanamke mimba

Kumbe Harmonize joka la kibisa! Mkewe aanika wazi kuwa hana uwezo wa kumpa mwanamke mimba

Hallow waleleeeeeh, kumekucha sasa mweeeeh,
Yajayo yanashangaza.
 
Fatherhood is social NOT biological...Kama ameamua kwa hiari yake kuadopt mtoto kuna ubaya gani?! Ichi kibibi cha kiitaliano kitulie tu
 
Kwahiyo siku hizi ukaenda hospital kupima DNA kisha ukakuta mtoto sio wako ni kipimo cha kuwa huna wezo wa kumpa mwanamke mimba? Naomba mnisaidie
Hoja hupingwa kwa hoja haya atuonyeshe mke aliyewahi kumtunga mimba kuprove kuwa anao uwezo
 
Waswahili kweli ni majanga...[emoji134]
Yaani kutokua na uwezo wa kutia mimba mwanamke huo ni mkosi..!![emoji3525]
Twende polepole. Kipi kilifanya wapimr DNA zaidi ya mara mbili kuhakiki uhalali wa baba? Kwa Tanzania kibali cha kupima DNA hutolewa na mahakama, mbona sijawahi kusikia hamo akiwa na kesi mahakamani zaidi ya kesi yake na wasafi? Alimficha mtoto miezi 19 ili kulinda mahusiano, huyo mwanamke alipataje hayo majibu ya DNA?
 
Mleta Mada lazima ni mwanamke! alishapitiwa na Konde boy! akam-shit km Maji taka ana hasira huyo, Mkiachwa ndo zenu Mara '' eti Mimi mwanaume suruali! Sasa wewe ''X'' mwanaume shoga utamuweza? ngoja tuone km utabeba mimba!!

Asili ya Joka la kibisa halingati, ila linazaa mpaka mapacha! hueleweki Harmonise hangati? au hazai? ukifanya jambo kwashinikizo la chuki ndo matokeo yake haya! huta kaa ueleweke!
 
Hoja hupingwa kwa hoja haya atuonyeshe mke aliyewahi kumtunga mimba kuprove kuwa anao uwezo
Hujajibu swali langu bali umepindisha mada, swali linasema hivi " siku hizi kipimo cha DNA kikionyesha kuwa mtoto sio wako ni udhibitisho kuwa huwezi kumpa mimba mwanamke"?
 
Naimba tu:
..!!! .
...
Ukitembea peke yako watasema wee ndo mubaya !!! Kujulikana kuna Mambo!!! Lwambo wetu Francooo!..oo!!.. Bandugue,

Narobakie kurorobaee Bebiee!!eee!!
 
Hujajibu swali langu bali umepindisha mada, swali linasema hivi " siku hizi kipimo cha DNA kikionyesha kuwa mtoto sio wako ni udhibitisho kuwa huwezi kumpa mimba mwanamke"?
ndiyo
 
Back
Top Bottom