OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Kila kitu kina Bei Yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwahyo mondi anamlala mama ake hamo kanyimwa nguvu.....Dah sema bei za hawa jamaa(freemasons) ni kubwa mnoKila kitu kina Bei Yake.
Kwa hapa Tanzania Hakuna Hospital inapima DNA;Kwahiyo siku hizi ukaenda hospital kupima DNA kisha ukakuta mtoto sio wako ni kipimo cha kuwa huna wezo wa kumpa mwanamke mimba? Naomba mnisaidie
Dogo kweli swala kama hili ni lakutafutia kiki?? Hivi nyinyi mkoje? KammonKiki zimeanza sasa. Walete ushahidi wa kitabibu hapa.
Ni weweUsiku utapokwisha![emoji276]
Nini hii umeandika mkuu? 😬Naimba tu:
..!!! .... Ukitembea peke yako watasema wee ndo mubaya !!! Kujulikana kuna Mambo!!! Lwambo wetu Francooo!..oo!!.. Bandugue,
Narobakie kurorobaee Bebiee!!eee!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah lol, mbavu zinauma mie uwiiiiihMke wa Hamonaiza ndiyo ka[posti na kasema ni mkosi, huyo mwanamke ni mtaliano na ni beberu
Huo ni wimbo wa lwambo,franco🤗🤗Nini hii umeandika mkuu? 😬
ndiyo ujue elimu inahitajika sana , si kwa huyu mmakonde, ila kwa watanzania kwa ujumla.Kumbe huyu mmskonde ni mshamba hivi..!!,kwani lazima uwe na mtoto?,ili iweje? Just kujishow kwa watu kuwa nawe una mtoto? Kwa faida gani sasa?.
Ugumba sio laana,,,asione aibu sababu tu eti hana mtoto,,
mzungu mwenyewe inasemekana ni mwanaume aliyejibadili jinsiaKumbe kuna Wazungu wambea?
hii nzuriiii😀😀Mambo ya kuamini kuwa lazima tuzae wote duniani huo ni "USHAMBAA"
Hivi kuna wazungu nao wana majungu kama wandengereko?''Kukubali mtoto ambaye unajua kuwa siyo wako kisa huna uwezo wa kutunga mimba, Huo ni ''USHAMBA''
Msanii Harmonize kutoka Konde Gang siku ya jana alimtambulisha mwanaye wa kike ambaye anadai kumficha kwa takriban miezi 19. Harmonize amedai kuficha mtoto huyo ili kulinda mahusiano yake na mpenzi wake wa siku nyingi Bibie wa Kiitaliano Sarah Michelotti.
Za kunyapia nyapia siku za hivi karibuni ni kwamba Harmonize na mpenziwe huyo kutoka Italia mambo yao hayako sawa kiasi cha kupelekea Harmonize kuyumba katika kazi zake za sanaa baada ya kukosa msaada wa bibiye huyo.
Baada ya Harmonize kuweza wazi mwanaye huyo wa kike, Bibiye Sarah ameng'aka na kuweka wazi majibu ya vipimo vya DNA alivyofanyiwa Harmonize na Bintiye ambavyo vimeonesha kuwa SIYO mtoto wa kumzaa wa Harmonize.
Nanukuu alichoandika Sarah Michelotti katika akaunti yake ya Instagram(Verified)
Mungu wangu watu kweli wamevurugwa, mara mbili wamepima DNA ya mtoto bado majibu ni Negative., Ila kwakua umeshindwa kupata mtoto umeamua kujipa mtoto asie wako....hongera kwa adoption, utakua na roho nzuri [emoji1787][emoji1787]hukujua jinsi ya kutunza mke sababu ya maovu yako natumai utajua kutunza mtoto [emoji1787][emoji1787][emoji1787] UKOME KUONGOPEA MASHABIKI ZAKO. Dah [emoji120] I post it in swaili language, so everybody will understand [emoji108]
Ni hayo wajumbe wa JF
Mwisho nimshauri Harmonize kwamba ''Kukubali mtoto ambaye unajua kuwa siyo wako kisa huna uwezo wa kutunga mimba, Huo ni ''USHAMBA''
Aaaa! naimba tu!Nini hii umeandika mkuu? 😬
Si ndio mkuu waache walalane tu ..kwahyo mondi anamlala mama ake hamo kanyimwa nguvu.....Dah sema bei za hawa jamaa(freemasons) ni kubwa mno
Sent using Jamii Forums mobile app
Aise bora ukose kila kitu lakini siyo mtoto. Hujui tu ladha ya kuwa na kid ..assume baba na mamako wasingekutana leo usingekuwepo.Kumbe huyu mmskonde ni mshamba hivi..!!,kwani lazima uwe na mtoto?,ili iweje? Just kujishow kwa watu kuwa nawe una mtoto? Kwa faida gani sasa?.
Ugumba sio laana,,,asione aibu sababu tu eti hana mtoto,,