Kumbe Harmonize joka la kibisa! Mkewe aanika wazi kuwa hana uwezo wa kumpa mwanamke mimba

Aise bora ukose kila kitu lakini siyo mtoto. Hujui tu ladha ya kuwa na kid ..assume baba na mamako wasingekutana leo usingekuwepo.
Ni sawa,lakini sio suala la kuona aibu au kuwa stressed kana haukujaliwa,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…