Ntacheza na frequency tu,step up my game 😎Knowledge is power..kumbe MAJINI, WACHAWI, NA BLACK MAGIC ZOTE, zinafanyika at low vibrational frequency ndio maana ili mtu alogeke lazima washushe frequency yake awe kwenye range zao.
Kwa mfano mtu akiwa ana hofu au hasira ni rahis kumloga coz ana resonate at 7Hz very low frequency.
PEPO MCHAFU anamuingia mtu akiwa at low frequency. Siri iliyopo hapa ni kucheza frequency game isishuke, msibani watu wanalogwa sana coz wana huzuni na frequency zao zinakuwa down, bila shaka umewahi kusikia msiba mmoja umesababisha msiba mwingine then wanasingizia presha..
Ingia youtube andika ushuhuda wa mchungaji Aminiel Katekela anzia hapo nndo utapata mwanzo mzuri wakujua mambo ya frequency yeye anaita lcd za haki na mengine mengi ya kiroho (alikuwa mchawi mkubwa akaokolewa na Yesu)Unaposema low and high frequency Kuna watu humu hawaelewi,, by the way Ili Uweze kuwa high frequency ni ufanyaje fanyaje endapo ata mtu akitaka Kuku dhuru ishindikane kama ulivo tangulia kusema
Coment bora ya mada hii, upendo ukiwa msingi wa maisha yako, ndo utajua vile binadam anauwezo mkubwa wa kufanya miujiza.Mkuu funguo yake ni upendo. Yaani binadamu mwenye upendo timilifu ana power ya ajabu sana na ndio kichocheo cha kufikia high vibrant.
Upendo ninao uzungumzia sio ule upendo wa kuonekana kuwa unafanya jambo jema bali ni ule upendo uliobeba nia ya mtu kwa kutanguliza faida kwa wote na sio faida yake binafsi kwa kila jambo alifanyalo.
Baada ya kujifunza nili apply kwangu aisee kuna vitu nilivigundua ambavyo si vya kawaida moja ya matukio; kuna siku nipo ugenini sehemu mara mgeni mwingine akaingia kwa ile nyumba ile kukutana nae tu kuna hali fulani ya ubaridi nikahisi kisha hewa ikawa nzito nikamkazia macho asee alilipuka kisha akatulia kama kapigwa shoti.
Uongo huuKama unaamini Kuna Uchawi Kwa maana ya Negative energy, basi pia ipo na Positive energy maana ya Nguvu za Mungu....!
Hasira, Huzuni kupita Kiasi, Hofu, vinafanya hata ulinzi wa Kimungu ukae pembeni, na hapo ndo Watu wanaweza kushambuliwa ama na Evil spirits, Wachawi n.k.
Ni sawa tu na kutenda Dhambi kama Uzinifu na Dhambi zingine, zinaondoa ule Ulinzi wa Mungu kwako na Unaweza kushambuliwa Vizuri Sana katika Ulimwengu wa Roho...!
Ndo Biblia imekataza Watu kuommboleza kupita Kiasi, japo Lugha inayotumika ni kwamba "Usilie Sana... Unamkufuru Mungu" n.k.
Biblia pia imekataza Watu kujizuia na Hasira kupita Kiasi...! Hata Kwa Wachungaji wenye Upako wao siku wakashindwa kujizuia na Hasira hafu the.n ikawa Jumapili siku ya Ibada, Upako wote unaondoka...!
That's why Most of Pastors wapo humble.
Binadamu ana njia nyingi Sana ambazo Wachawi na Majini wanaweza kuingia kumshambulia, na Maisha ni Spirit, na kila Shambulio kwa Binadamu linaanzia kwenye Ulimwengu wa Roho, then ndo linakuja kujitokeza kwenye Ulimwengu huu wetu.
Ingia youtube andika ushuhuda wa mchungaji Aminiel Katekela anzia hapo nndo utapata mwanzo mzuri wakujua mambo ya frequency yeye anaita lcd za haki na mengine mengi ya kiroho (alikuwa mchawi mkubwa akaokolewa na Yes
UPENDO yaani UNCONDITIONAL LOVE itokayo direct kutoka moyoni...sio maneno ya mdomoni..hii EMOTION ina nguvu bila neno hata mojaComent bora ya mada hii, upendo ukiwa msingi wa maisha yako, ndo utajua vile binadam anauwezo mkubwa wa kufanya miujiza.
Sio kila unachokiamini wewe ni Ukweli...!Uongo huu
Upo sahihi kabisa mkuu. Tunachokiogopa sio nguvu zao ila ni ule upumbavu wao ambao unasababishwa na udogo wao. Ni sawa wewe huwezi kumuacha mtoto wako wa kiume alale na mtu usiemfahamu. Sio kwa sababu unamuogopa huyo mtu ila unajua mtu huyo anaweza kufanya ujinga.Knowledge is power..kumbe MAJINI, WACHAWI, NA BLACK MAGIC ZOTE, zinafanyika at low vibrational frequency ndio maana ili mtu alogeke lazima washushe frequency yake awe kwenye range zao.
Kwa mfano mtu akiwa ana hofu au hasira ni rahis kumloga coz ana resonate at 7Hz very low frequency.
PEPO MCHAFU anamuingia mtu akiwa at low frequency. Siri iliyopo hapa ni kucheza frequency game isishuke, msibani watu wanalogwa sana coz wana huzuni na frequency zao zinakuwa down, bila shaka umewahi kusikia msiba mmoja umesababisha msiba mwingine then wanasingizia presha..
Yes.UPENDO yaani UNCONDITIONAL LOVE itokayo direct kutoka moyoni...sio maneno ya mdomoni..hii EMOTION ina nguvu bila neno hata moja
em futa uandike tena...Knowledge is power..kumbe MAJINI, WACHAWI, NA BLACK MAGIC ZOTE, zinafanyika at low vibrational frequency ndio maana ili mtu alogeke lazima washushe frequency yake awe kwenye range zao.
Kwa mfano mtu akiwa ana hofu au hasira ni rahis kumloga coz ana resonate at 7Hz very low frequency.
PEPO MCHAFU anamuingia mtu akiwa at low frequency. Siri iliyopo hapa ni kucheza frequency game isishuke, msibani watu wanalogwa sana coz wana huzuni na frequency zao zinakuwa down, bila shaka umewahi kusikia msiba mmoja umesababisha msiba mwingine then wanasingizia presha..
Ushabiki wa Simba na Yanga umewapumbaza wengi kiasi cha kuwapotezea maarifa na tafakari.Huu ni ukweli usiopingika ila haya ni maarifa yanayohitaji akili sana sio za ushabiki wa simba na yanga
Ni kweli kabisa mkuuUsichague kuishi Maisha Yako toka Kwa mtu mwingine anavyoamini..!
Sina uhakika saana kama majini yana vibrate katika low frequency kuliko binadamu.Knowledge is power..kumbe MAJINI, WACHAWI, NA BLACK MAGIC ZOTE, zinafanyika at low vibrational frequency ndio maana ili mtu alogeke lazima washushe frequency yake awe kwenye range zao.
Kwa mfano mtu akiwa ana hofu au hasira ni rahis kumloga coz ana resonate at 7Hz very low frequency.
PEPO MCHAFU anamuingia mtu akiwa at low frequency. Siri iliyopo hapa ni kucheza frequency game isishuke, msibani watu wanalogwa sana coz wana huzuni na frequency zao zinakuwa down, bila shaka umewahi kusikia msiba mmoja umesababisha msiba mwingine then wanasingizia presha..