Kumbe Majini sio viumbe vya kuogopa, yana vibrate at low frequency kuliko sisi

Kumbe Majini sio viumbe vya kuogopa, yana vibrate at low frequency kuliko sisi

Knowledge is power..kumbe MAJINI, WACHAWI, NA BLACK MAGIC ZOTE, zinafanyika at low vibrational frequency ndio maana ili mtu alogeke lazima washushe frequency yake awe kwenye range zao.

Kwa mfano mtu akiwa ana hofu au hasira ni rahis kumloga coz ana resonate at 7Hz very low frequency.

PEPO MCHAFU anamuingia mtu akiwa at low frequency. Siri iliyopo hapa ni kucheza frequency game isishuke, msibani watu wanalogwa sana coz wana huzuni na frequency zao zinakuwa down, bila shaka umewahi kusikia msiba mmoja umesababisha msiba mwingine then wanasingizia presha..
Ntacheza na frequency tu,step up my game 😎
 
Unaposema low and high frequency Kuna watu humu hawaelewi,, by the way Ili Uweze kuwa high frequency ni ufanyaje fanyaje endapo ata mtu akitaka Kuku dhuru ishindikane kama ulivo tangulia kusema
Ingia youtube andika ushuhuda wa mchungaji Aminiel Katekela anzia hapo nndo utapata mwanzo mzuri wakujua mambo ya frequency yeye anaita lcd za haki na mengine mengi ya kiroho (alikuwa mchawi mkubwa akaokolewa na Yesu)
 
Mkuu funguo yake ni upendo. Yaani binadamu mwenye upendo timilifu ana power ya ajabu sana na ndio kichocheo cha kufikia high vibrant.

Upendo ninao uzungumzia sio ule upendo wa kuonekana kuwa unafanya jambo jema bali ni ule upendo uliobeba nia ya mtu kwa kutanguliza faida kwa wote na sio faida yake binafsi kwa kila jambo alifanyalo.

Baada ya kujifunza nili apply kwangu aisee kuna vitu nilivigundua ambavyo si vya kawaida moja ya matukio; kuna siku nipo ugenini sehemu mara mgeni mwingine akaingia kwa ile nyumba ile kukutana nae tu kuna hali fulani ya ubaridi nikahisi kisha hewa ikawa nzito nikamkazia macho asee alilipuka kisha akatulia kama kapigwa shoti.
Coment bora ya mada hii, upendo ukiwa msingi wa maisha yako, ndo utajua vile binadam anauwezo mkubwa wa kufanya miujiza.
 
Kama unaamini Kuna Uchawi Kwa maana ya Negative energy, basi pia ipo na Positive energy maana ya Nguvu za Mungu....!

Hasira, Huzuni kupita Kiasi, Hofu, vinafanya hata ulinzi wa Kimungu ukae pembeni, na hapo ndo Watu wanaweza kushambuliwa ama na Evil spirits, Wachawi n.k.

Ni sawa tu na kutenda Dhambi kama Uzinifu na Dhambi zingine, zinaondoa ule Ulinzi wa Mungu kwako na Unaweza kushambuliwa Vizuri Sana katika Ulimwengu wa Roho...!

Ndo Biblia imekataza Watu kuommboleza kupita Kiasi, japo Lugha inayotumika ni kwamba "Usilie Sana... Unamkufuru Mungu" n.k.

Biblia pia imekataza Watu kujizuia na Hasira kupita Kiasi...! Hata Kwa Wachungaji wenye Upako wao siku wakashindwa kujizuia na Hasira hafu the.n ikawa Jumapili siku ya Ibada, Upako wote unaondoka...!
That's why Most of Pastors wapo humble.

Binadamu ana njia nyingi Sana ambazo Wachawi na Majini wanaweza kuingia kumshambulia, na Maisha ni Spirit, na kila Shambulio kwa Binadamu linaanzia kwenye Ulimwengu wa Roho, then ndo linakuja kujitokeza kwenye Ulimwengu huu wetu.
Uongo huu
 
Kama ni mkristo kuna namna ya ku-chant mantra zinazoihusu DAMU YA YESU na baadhi ya ARCHANGELS ni njia rahisi za kukuweka frequency za juu ukifanya kwa usahihi....
Ingia youtube andika ushuhuda wa mchungaji Aminiel Katekela anzia hapo nndo utapata mwanzo mzuri wakujua mambo ya frequency yeye anaita lcd za haki na mengine mengi ya kiroho (alikuwa mchawi mkubwa akaokolewa na Yes
 
Knowledge is power..kumbe MAJINI, WACHAWI, NA BLACK MAGIC ZOTE, zinafanyika at low vibrational frequency ndio maana ili mtu alogeke lazima washushe frequency yake awe kwenye range zao.

Kwa mfano mtu akiwa ana hofu au hasira ni rahis kumloga coz ana resonate at 7Hz very low frequency.

PEPO MCHAFU anamuingia mtu akiwa at low frequency. Siri iliyopo hapa ni kucheza frequency game isishuke, msibani watu wanalogwa sana coz wana huzuni na frequency zao zinakuwa down, bila shaka umewahi kusikia msiba mmoja umesababisha msiba mwingine then wanasingizia presha..
Upo sahihi kabisa mkuu. Tunachokiogopa sio nguvu zao ila ni ule upumbavu wao ambao unasababishwa na udogo wao. Ni sawa wewe huwezi kumuacha mtoto wako wa kiume alale na mtu usiemfahamu. Sio kwa sababu unamuogopa huyo mtu ila unajua mtu huyo anaweza kufanya ujinga.

Hatuwaogopi mateja ila tunahofu kwamba kwa sababu wana vibrate in Low frequency tunajiepusha nao
 
Knowledge is power..kumbe MAJINI, WACHAWI, NA BLACK MAGIC ZOTE, zinafanyika at low vibrational frequency ndio maana ili mtu alogeke lazima washushe frequency yake awe kwenye range zao.

Kwa mfano mtu akiwa ana hofu au hasira ni rahis kumloga coz ana resonate at 7Hz very low frequency.

PEPO MCHAFU anamuingia mtu akiwa at low frequency. Siri iliyopo hapa ni kucheza frequency game isishuke, msibani watu wanalogwa sana coz wana huzuni na frequency zao zinakuwa down, bila shaka umewahi kusikia msiba mmoja umesababisha msiba mwingine then wanasingizia presha..
em futa uandike tena...
 
Knowledge is power..kumbe MAJINI, WACHAWI, NA BLACK MAGIC ZOTE, zinafanyika at low vibrational frequency ndio maana ili mtu alogeke lazima washushe frequency yake awe kwenye range zao.

Kwa mfano mtu akiwa ana hofu au hasira ni rahis kumloga coz ana resonate at 7Hz very low frequency.

PEPO MCHAFU anamuingia mtu akiwa at low frequency. Siri iliyopo hapa ni kucheza frequency game isishuke, msibani watu wanalogwa sana coz wana huzuni na frequency zao zinakuwa down, bila shaka umewahi kusikia msiba mmoja umesababisha msiba mwingine then wanasingizia presha..
Sina uhakika saana kama majini yana vibrate katika low frequency kuliko binadamu.

Ila uko sahihi kua binadamu tuna uwezo mkubwa/kama Mungu like father like son.

Ukijua kwanini amri kuu ni upendo pia ukibaini kwanini uliambiwa usamee saba mara sabini, ni ili kua positive na kuvunja negative energy zote. Hakika utakua salama.

Kumbe ukiwa na hekima utakundua kitabu cha biblia ni moja ya vitabu adimu, ni hazina (kwani kina code muhimu kama ukizijua unakua hauna haja ya kuhangaika kusoma maelfu ya vitabu).

Mfano ukisoma vitabu vya injili. Unakua ume-master masuala yote ya spiritual awakening, consciousnesss enlightenment, higher dimension, manifestation etc. Terminology kibao ila kitu ni kile kile.
Kikubwa ni Kuwa positive na kujiAMINI

Kua positive ni sawa sawa na kua mtakatifu (kuto kutendaa dhambi).

Mja ya watu waliokua katika viwango vya juu vya kiroho ni YESU alikua na mind yenye positivity ya hali ya juu kiasi kwamba ukimkosea haumii kabisa badala yake anakusikitikia wewe naamu yaani anakuonea huruma maana anakuona unavibrate katika frequency ya chini mno. Mtu mwenye dhambi au mwenye negativity nyingi katika mind yake... Anakua ana vibrate katika low frequency tukisema tu sketch graph itasoma negative.

Note.
_20241130_151023.JPG
 
Back
Top Bottom