Kwahy hy pesa imeanzia kwa JPM?
Nyie chadema mngeupata urais mngeikataa hy pesa?
Marais wa Africa ni matajiri kuliko marais kutoka mabara yote duniani... Kwa sababu, katika nchi za kiafrika hakuna rule of law, wananchi ni uneducated, democracy hakuna, wanachukua rushwa za kiwango cha juu kutoka katika makampuni, wanaingiza pesa nyingi kuendesha biashara zao binafsi, Kwa ujumla nathibitisha wanaingiza pesa nyingi sana...Anaingiza shingapi?
Huyu ajuza kwenye hii video naona anachanganyikiwa.Wakuu,
Kumbe ukiachana na mshahara Rais wa JMT anapewa Milioni 60 nyingine kila mwezi kutoka kwenye kitu kinachotambulika kama MFUKO WA RAIS?
Kwa mwaka hiyo ni Milioni 720.
Kwa hiyo kwa mwaka Rais ana Milioni 720 ambazo atachagua atafanyia nini?
Hii pesa yote inapita kwenye wizara gani? And why is this a thing?
==============================================
View attachment 3180555
View attachment 3180558
Marais wa Africa ni matajiri kuliko marais kutoka mabara yote duniani... Kwa sababu, katika nchi za kiafrika hakuna rule of law, wananchi ni uneducated, democracy hakuna, wanachukua rushwa za kiwango cha juu kutoka katika makampuni, wanaingiza pesa nyingi kuendesha biashara zao binafsi, Kwa ujumla nathibitisha wanaingiza pesa nyingi sana...
Ndo maana wewe unatugawia bure?....endelea kutowa hudumaHela kidogo sana hiyo. Kama mbunge anakwepa kwenda jimboni kisa mizinga pata picha Rais anapokea mizinga kiasi gani?
Kwahy huwez kuhoji itakuwaje chadema wakishika nchi kisa hao chadema bado hawajashika nchi? Hongera mkuu 😂Mimi sio CHADEMA
Na still CHADEMA hawajashika dola. We will judge them wakishaingia.
Kama Rais analipwa mshahara, anapewa posho za safari na familia yake inahudumiwa kila kitu anahitaji Milioni 60 tena ya nini?
Kwanini Rais apokee Milioni 60 ambayo ataamua ataifanyia nini wakati kuna watu wanalala chini mahospitalini?
Ni nchi gani unayoijua wewe inafuata utaratibu huo?
Huyu ni typical women that were never ever taken by their men toooo.. nyookoo zakee... Kakeketwaa kwanza huyu..Wakuu,
Kumbe ukiachana na mshahara Rais wa JMT anapewa Milioni 60 nyingine kila mwezi kutoka kwenye kitu kinachotambulika kama MFUKO WA RAIS?
Kwa mwaka hiyo ni Milioni 720.
Kwa hiyo kwa mwaka Rais ana Milioni 720 ambazo atachagua atafanyia nini?
Hii pesa yote inapita kwenye wizara gani? And why is this a thing?
==============================================
View attachment 3180555
View attachment 3180558
Huyu ajuza kwenye hii video naona anachanganyikiwa.
Hizi pesa zipo kwenye bajeti serikali ya ofisi ya rais au ikulu.
Mfuko wa rais Haina maana hizi ni pesa anaongezewa juu ya mshahara wake rais au anaweza kyzitumia kwa matumizi binafsi.
Hizi ni pesa za rais kutumia kwa masuala madogo madogo atayoletewa na wananchi akiwa katika ziara zake za kikazi. Hii ni kujenga na kuimarisha heba ya rais mbele ya wananchi wake. Wananchi hawawezi kumletea hoja ndogo rais akaiacha bila kipozeo. Ikiwa ni suala kubwa atamuamuru waziri mhusika kulifuatilia.
Milioni 60 mbona ni pesa ndogo sana.
The VideoWho are you referring to?
You are No BODY..but a mind twister..Wakuu,
Kumbe ukiachana na mshahara Rais wa JMT anapewa Milioni 60 nyingine kila mwezi kutoka kwenye kitu kinachotambulika kama MFUKO WA RAIS?
Kwa mwaka hiyo ni Milioni 720.
Kwa hiyo kwa mwaka Rais ana Milioni 720 ambazo atachagua atafanyia nini?
Hii pesa yote inapita kwenye wizara gani? And why is this a thing?
==============================================
View attachment 3180555
View attachment 3180558
Kipi hicho ambacho hakipoUnataka niulize kitu ambacho hakipo mkuu?
Haruhusiwi kuikagua vote number 20 it's prohibited by our law.Nchi ya ajabu sana hiiNaunga mkono hoja
Kinachonishangaza ni kwanini CAG hapiti kwenye hizi hela ambazo Rais anatoa hovyo
Hela ndogo sana hiyo.Wakuu,
Kumbe ukiachana na mshahara Rais wa JMT anapewa Milioni 60 nyingine kila mwezi kutoka kwenye kitu kinachotambulika kama MFUKO WA RAIS?
Kwa mwaka hiyo ni Milioni 720.
Kwa hiyo kwa mwaka Rais ana Milioni 720 ambazo atachagua atafanyia nini?
Hii pesa yote inapita kwenye wizara gani? And why is this a thing?
==============================================
View attachment 3180555
View attachment 3180558
Naunga mkono hoja
Kinachonishangaza ni kwanini CAG hapiti kwenye hizi hela ambazo Rais anatoa hovyo
Kwahy hy pesa imeanzia kwa JPM?
Nyie chadema mngeupata urais mngeikataa hy pesa?
Laki tatu kwa mwezi...Sawa wanaingiza pesa nyingi
Rais wetu analipwa Shingapi?