Uchaguzi 2020 Kumbe sera ya Bima ya afya kwa watanzania wote Tundu Lissu ka copy kutoka Ilani ya CCM!

Uchaguzi 2020 Kumbe sera ya Bima ya afya kwa watanzania wote Tundu Lissu ka copy kutoka Ilani ya CCM!

Kadili kampeni za CCM zinavyozidi kupambama moto, Lissu anakosa sifa za kuwa Rais na wananchi wanamdharau.
 
Rais Magufuli leo akiwa mkoani Mara amezungumzia kuhusu sera ya kutoa Bima ya afya kwa watanzania wote.
Ahadi hiyo ameitoa leo kwenye kampeni zake huko musoma mjini.

Kuthibitisha kuwa sera hiyo ni yake amesoma Ilani ya ccm ya uchaguzi 2020 katika ukurasa wa 139 kipengele "e".
Amesema ahadi hii lazima itekelezwe kwa utaratibu maalumu.

Amesema wapinzani wasiwe wanaongea tu bali kabla hawajaanza kukurupukia sera wawe wanasoma Ilani ya ccm kwanza ili wasiwe wanacopy sera.

Naamini mhe. Tundu Lissu atajibu hili kisomi kabisa.
Amecopy wapi? CCM ni wapuuzi sana! Ni wapi mgombea wenu aliwai kuongelea Sera ya bila ya afya mikutano yake yote???? Kaona Lissu kaielezea vizuri na watu wameielewa Eti leo Ccm ndo mnasema ni Sera yenu. Vilaza wakubwa lumumba nyie
 
Wasalaam

Leo Mama Samia akiwa Mwembe Yanga huku JPM akiwa Mara kule Kassim Majariwa akiwa Arusha....hakika CCM haina mpinzani!


Leo profesa Kitila Mkumbo ameweka wazi kuwa suala la bima ya afya kwa wote ni utafiti uliofanywa na CCM chini ya Wizara ya Afya na liko kwenye ilani na amekwenda mbele zaidi kutaja hadi kurasa!

Amesema wazi kuwa CHADEMA wamelidandia tu hawana uwezo wala wataalam wa kuweza kulielezea maana ukiwasikiliza kila mtu anaona halitekelezeki na akasema ukisoma Ilani ya CCM ya mwaka huu utaona limewekwa wazi kabisa suala la huduma ya afya au bima ya afya kwa wote na wameeleza kitaalam jinsi litakavyo tekelezwa!

Amesema wazi kabisa chadema ni wabobezi wa kutamka lakini kutekeleza hawana uwezo kwa kuwa ni ukweli ulio wazi hakuna jambo wanaweza kutekeleza hata ambalo wamewai kuliahidi kwa wanachama wao hakuna walio litekeleza maana wao wanachojua ni kutaja hila hawajui hata jinsi ya kupata hela hata kupanga ya kwao!

Mimi naungana na Kitila mkumbo kuwa CHADEMA hawana uwezo wa kutekeleza hilo wala hawana mkakati wala kutekeleza hiyo bima ya afya kwa wote kama ilivyo chambuliwa kwenye ilani ya CCM!

Wasalaam
 
Wasalaam

Leo Mama Samia akiwa mwembe yanga huku Jpm akiwa mara kule Kassim Majariwa akiwa Arusha....hakika CCM haina mpinzani!


Leo profesa Kitila mkumbo ameweka wazi kuwa swala la bima ya afya kwa wote ni utafiti uliofanywa na CCM chini ya wizara ya afya na liko kwenye ilani na amekwenda mbele zaidi kutaja hadi kurasa!


Amesema wazi kuwa chadema wamelidandia tuu hawana uwezo wala wataalam wa kuweza kulielezea maana ukiwasikiliza kila mtu anaona halitekelezeki na akasema ukisoma ilani ya CCM ya mwaka huu utaona limewekwa wazi kabisa swala la huduma ya afya au bima ya afya kwa wote na wameeleza kitaalam jinsi litakavyo tekelezwa!


Amesema wazi kabisa chadema ni wabobezi wa kutamka lakini kutekeleza hawana uwezo kwa kuwa ni ukweli ulio wazi hakuna jambo wanaweza kutekeleza hata ambalo wamewai kuliahidi kwa wanachama wao hakuna walio litekeleza maana wao wanachojua ni kutaja hila hawajui hata jinsi ya kupata hela hata kupanga ya kwao!


Mimi naungana na Kitila mkumbo kuwa chadema hawana uwezo wa kutekeleza hilo wala hawana mkakati wala kutekeleza hiyo bima ya afya kwa wote kama ilivyo chambuliwa kwenye ilani ya CCM!

Wasalaam
Wewe kwa akili zako ndogo unaamini Kitila Ni CCM? Wale Ni chadema damu wako huko kwa kazi maalum
 
We kwa akili zako ndogo unaamini kitila Ni CCM? Wale Ni chadema damu wako huko kwa kazi maalum
...hiyo chadema ndio CCM halafu wewe unasema yule ni chadema yuko kwa kazi maalumu... nina shaka na umri wako
 
Mtaimba nyimbo zote..mlikuwa wapi kuiekezea ilani mpaka msikie Lissu kasema? Mwaka huu mnyama kwa ajili ya kitoweo anachinjiwa vile alivyo awe amelala au amesimama
 
Chama Cha upinzani we jamaa hawana wajibu wa kutekeleza kitu unasikia? Wana wajibu kutoa mawazo na strategies baaaasi ila chama kilicho madarakani kwa kuwa serekali yake ndio wanakusanya kodi ndio wenye jukumu la kutekeleza vitu sawa?
 
Mwenye kitabu Cha ilani ya chadema aniwekee hapa
 
Sasa kwanini CCM hawataki kuliunga mkono hilo jambo baada ya Lissu kulisema?
Maana Magufuli mwenye kupaswa kuinadi ilani ya CCM anaogopa kulisema hilo la bima ya afya kwa wote, Lissu wa CHADEMA kalisema mmeanza kulialia.

Tunaposema Lissu ni zaidi ya vichwa vyote vya CCM huwa mnaumia sana na kukataa. Yaani ilani ni ya kwenu lakini hata kuisoma mnaigopa.
 
Amecopy wapi??? Ccm ni wapuuzi sana! Ni wapi mgombea wenu aliwai kuongelea Sera ya bila ya afya mikutano yake yote???? Kaona Lissu kaielezea vizuri na watu wameielewa Eti leo Ccm ndo mnasema ni Sera yenu. Vilaza wakubwa lumumba nyie
Mimi nimetoa taarifa ya kilichosemwa na Magufuli na amesema hicho kitu kipo kwenye Ilani yao ukurasa wa 139 kufungu e.
Sasa usitake kunishambulia mimi na hizo chuki zako wewe Kama unataka uhakika nenda kasome Ilani yao.

Suala kwamba ameongelea au hakuongelea hilo mimi halinihusu mkuu.
 
..sasa kama ni sera yenu kwanini mnampinga TL?

..kwanini hamumpongezi na kumtia moyo?
Kama ni sera ya Ccm iwele NHIF waondoe dawa zaidi ya mia zilizo kuwa kwenye package ya dawa ambazo mfuko ulikuwa unalipia??
Jpm kaona kura zina pungua wakaichomekea.
 
Suala la bima ya Afya ni suala gumu sana.

Tunataka wagombea urais wakutanishwe katika mdahalo wajadili suala la bima ya Afya
 
Back
Top Bottom