Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,877
- 8,804
Mkuu msamehe,huyo ni mwanaccmKweli uelewa ni tatizo..., Bima ni nini ?, unadhani UK yenye National Health Service inamiliki hospitali zote ? Au unadhani OBAMA CARE ilikuwa ni serikali kujenga hospitali ?
Kuna kitu kinaitwa ruzuku, kwahio mapato au kodi zinaenda kutoa huduma, au unadhani tukijenga majengo ndio madaktari watakuwa wanafanya kazi bure au vidonge na dawa zitakuwa zinatoka kwenye hayo majengo kama chemichemi