Uchaguzi 2020 Kumbe sera ya Bima ya afya kwa watanzania wote Tundu Lissu ka copy kutoka Ilani ya CCM!

Uchaguzi 2020 Kumbe sera ya Bima ya afya kwa watanzania wote Tundu Lissu ka copy kutoka Ilani ya CCM!

Kwa hiyo dunia nzima bima ya afya ina hati miliki yenu? Kwa hiyo amekiuka copy right yenu? Ujinga ni zigo sawa na zigo la miba mkichwa.

Ndiyo maana mnaitana washamba!

Si muda mrefu hata kupigwa risasi mlikomshambulia mtasema amekopi kutoka kwenu.
 
Mkuu, tl alikuwa hajajiandaa kwa level ya uraisi, ndo maana anaunga unga hoja, zingine ndo hizo kaiba ccm
Ha ha we jamaa nikisoma post zako hua naishia kucheka tu. Wewe ni bendera fuata upepo, unashabikia ccm hata ilani huijui unasubiri jiwe aropoke kisha uliunge juu kwa juu. Headless chicken, mwaka huu kazi mnayo sio mchezo bwaa shee!!
 
Kadili kampeni za CCM zinavyozidi kupambama moto, Lissu anakosa sifa za kuwa Rais na wananchi wanamdharau.
Unaandika wakati instinct yako haikwambii hivyo, unaugulia ndani kwa ndani poleni sana wana mboga mboga
 
Wangewekaje bima ya afya miaka ya nyuma kama serikali haina hospital zake na vituo vya afya vya kutosha?? Ndo maana tunataka maendeleo ya vitu kwanza kisha ya watu baade.loe serikali ikiwa na miundo mbinu yake ya kutosha ni
Vyepesi kutoa huduma muhimu kwa wananchi wake kwa ghaama nafuu.
Yanatoka moyoni hayo? Basi mnatia huruma, mmekuwa la kila wakati kujitetea/kujieleza.
 
Ha ha we jamaa nikisoma post zako hua naishia kucheka tu. Wewe ni bendera fuata upepo, unashabikia ccm hata ilani huijui unasubiri jiwe aropoke kisha uliunge juu kwa juu. Headless chicken, mwaka huu kazi mnayo sio mchezo bwaa shee!!
Sera za midege na madaraja ya Dar zimepwaya kisawasawa na bado
 
Miaka 50 ya utawala wa ccm leo hii ndio aje kuisema? ,uwe unajiongeza
 
Sera za midege na madaraja ya Dar zimepwaya kisawasawa na bado
Hali ni mbaya sana, huwa nacheka sana nikimsikia Lissu the great anavyobomoa nyumba. TL ana msemo wake anakwambia hizi ndege na madaraja tunayoringishiwa kila siku ha ha
 
Wasalaam

Leo Mama Samia akiwa Mwembe Yanga huku JPM akiwa Mara kule Kassim Majariwa akiwa Arusha....hakika CCM haina mpinzani!


Leo profesa Kitila Mkumbo ameweka wazi kuwa suala la bima ya afya kwa wote ni utafiti uliofanywa na CCM chini ya Wizara ya Afya na liko kwenye ilani na amekwenda mbele zaidi kutaja hadi kurasa!

Amesema wazi kuwa CHADEMA wamelidandia tu hawana uwezo wala wataalam wa kuweza kulielezea maana ukiwasikiliza kila mtu anaona halitekelezeki na akasema ukisoma Ilani ya CCM ya mwaka huu utaona limewekwa wazi kabisa suala la huduma ya afya au bima ya afya kwa wote na wameeleza kitaalam jinsi litakavyo tekelezwa!

Amesema wazi kabisa chadema ni wabobezi wa kutamka lakini kutekeleza hawana uwezo kwa kuwa ni ukweli ulio wazi hakuna jambo wanaweza kutekeleza hata ambalo wamewai kuliahidi kwa wanachama wao hakuna walio litekeleza maana wao wanachojua ni kutaja hila hawajui hata jinsi ya kupata hela hata kupanga ya kwao!

Mimi naungana na Kitila mkumbo kuwa CHADEMA hawana uwezo wa kutekeleza hilo wala hawana mkakati wala kutekeleza hiyo bima ya afya kwa wote kama ilivyo chambuliwa kwenye ilani ya CCM!

Wasalaam
Profesa Kitila hajui kitu kama wenzake wa jalalani, wanalinda matumbo yao kwa mapambio muda wote.
Kila kitu huko ni Jiwe, hata namna ya kununua mazao ya wakulima, na kila siku anakwama, anatia hasara kubwa.
Nyie ni Wazee wa miundombinu, sera yenu kuu ni midege kwa wingi na madaraja ya baharini kila wilaya.
Mengine ndio mnashituka baada kumsikia CHADEMA (Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu); Kwa mfano: kulipa nyongeza ya mishahara, malipo ya mazao ya wakulima, bima ya afya, katiba ya wananchi.
 
Ha ha we jamaa nikisoma post zako hua naishia kucheka tu. Wewe ni bendera fuata upepo, unashabikia ccm hata ilani huijui unasubiri jiwe aropoke kisha uliunge juu kwa juu. Headless chicken, mwaka huu kazi mnayo sio mchezo bwaa shee!!
Katika post zangu zote zitatimia kwenye uchaguzi huu, na zingine tayari mkuu. Ni baadhi ya watu wachache waonao mbali. Katika mwaka ambao chadema mmeharibu kupita maelezo, basi utakuwa ni huu uchaguzi, kuwa involved na foreign entities, mmejichafua sana mkuu. Utaona kwenye sanduku na baada ya sanduku. Watu wamekanywa ndo maana ameachwa abwabwanje tu.
 
Rais Magufuli leo akiwa mkoani Mara amezungumzia kuhusu sera ya kutoa Bima ya afya kwa watanzania wote.
Ahadi hiyo ameitoa leo kwenye kampeni zake huko musoma mjini.

Kuthibitisha kuwa sera hiyo ni yake amesoma Ilani ya ccm ya uchaguzi 2020 katika ukurasa wa 139 kipengele "e".
Amesema ahadi hii lazima itekelezwe kwa utaratibu maalumu.

Amesema wapinzani wasiwe wanaongea tu bali kabla hawajaanza kukurupukia sera wawe wanasoma Ilani ya ccm kwanza ili wasiwe wanacopy sera.

Naamini mhe. Tundu Lissu atajibu hili kisomi kabisa.

Uchaguzi 2020 - Kufanya Afya: Tundu Lissu ameudanganya Umma na kunakili ilani ya CCM kuhusu Afya
Maana yake ni kuwa magufuli kaweka ilani ya chama chake pembeni na ananadi sera zake binafsi. wapinzani wakinadi sera zinazofanana na zake ndipo anakimbilia kwenye ilani ya chama.
 
Mtasema kila jambo lakini Lissu kawashika pabaya.
 
Wakati hospital za serikali bei sawa na private...nitakua wa mwisho kuliamini hili hasa kwa serikali ya CCM
Wangewekaje bima ya afya miaka ya nyuma kama serikali haina hospital zake na vituo vya afya vya kutosha?? Ndo maana tunataka maendeleo ya vitu kwanza kisha ya watu baade.loe serikali ikiwa na miundo mbinu yake ya kutosha ni
Vyepesi kutoa huduma muhimu kwa wananchi wake kwa ghaama nafuu.
 
Mbona walishataja...Mama yetu Samia nae amelewa madaraka akaropoka waliompiga risasi.
..TL aendelee kuwabamiza.

..akiendelea hivi watawataja waliompiga risasi.
 
Mimi swali langu kwa mtoa mada naomba muulize mwenyekiti wako TANZANIA YA VIWANDA IMEISHIA WAPI?
 
Rais Magufuli leo akiwa mkoani Mara amezungumzia kuhusu sera ya kutoa Bima ya afya kwa watanzania wote.
Ahadi hiyo ameitoa leo kwenye kampeni zake huko musoma mjini.

Kuthibitisha kuwa sera hiyo ni yake amesoma Ilani ya ccm ya uchaguzi 2020 katika ukurasa wa 139 kipengele "e".
Amesema ahadi hii lazima itekelezwe kwa utaratibu maalumu.

Amesema wapinzani wasiwe wanaongea tu bali kabla hawajaanza kukurupukia sera wawe wanasoma Ilani ya ccm kwanza ili wasiwe wanacopy sera.

Naamini mhe. Tundu Lissu atajibu hili kisomi kabisa.

Uchaguzi 2020 - Kufanya Afya: Tundu Lissu ameudanganya Umma na kunakili ilani ya CCM kuhusu Afya
Naamini wale waliokuwa wanasema universal health care haiwezekani watakuja na song mpya Sasa? Lakini pia Ilani ya Chadema imetengenezwa lini na ya ccm lini hadi ionekane mmoja kacopy kwa mwenzie?
 
Back
Top Bottom