Kumbe Tanzania ilikopa fedha World Bank kuendeleza bandari, DP World anakuja kutumia fedha hizo kufanya kazi ambayo Tanzania imeikopea fedha WB-SOMA

Kumbe Tanzania ilikopa fedha World Bank kuendeleza bandari, DP World anakuja kutumia fedha hizo kufanya kazi ambayo Tanzania imeikopea fedha WB-SOMA

Hii ni kutoka report ya Worl Bank .................................BY MARIA SARUNGI

Muhimu kuhusu DPW na mradi wa Benki ya Dunia

Pesa za mkopo wa @WorldBankAfrica zimetumika (na kukamilika)
👉🏽 kupanua na kuimarisha Gati 1-7 na kujenga gati mpya Gerezani
👉🏽kupanua mlango wa bandari hadi Gati 11
👉🏽kuboresha na kuunganisha na reli
👉🏽 Kupanua na kuimarisha Gati 8-11
👉🏽Kuna RORO terminal ilijengwa na kukamilishwa

Sasa tuangalie wanachodai DP World kufanya kwa mujibu wa IGA
Cha kwanza kikubwa eti kujenga, kuendesha na kusimamia RoRo terminal na Gati 1-4 na gati 5-7
🙄
Yaani pesa zote zimewekezwa za walipa kodi kupitia mradi wa sasa wa WB alafu wao wanakuja kuendesha na kusimamia? Wanawekeza nini??

Ndiyo maana mkataba haujawekwa thamani ya uwekezaji wao 😄 kumbe wanadandia mradi unaoelekea kukamilika waje wajisifu!

YAANI KIUFUPI WANAKUJA KUTEKELEZA MRADI WA PESA ZA MKOPO WA WORLD BANK

Nyieeeeeeeeee!
Mnaotetea mkataba huu mnajua kuwa mnatumika kutetea ulaji wa genge ndogo!?
Ila #TutaelewanaTu
Uuuwiiiiiiiiiii!!!!!Walaaniwe hawa viongozi wote waliohusika na ujinga huu wao pamoja na vizazi vyao. Ee Mungu ikupendeze,uwaondoe mmoja mmoja.
 
View attachment 2676204

Kwa kuanzia tu bandarini kuna multi storage car park?

Kingine wanampago wa kuamisha Ro-Ro kutoka hapo ilipo.

Wana mpango wa kuboresha terminal ya abiria na majahazi.

Wana mpango wa kuongeza uwekezaji kurasini kuweka kupokea mizigo mingi inayokwenda nje ya nchi.

Wana mpango wa kuweka ICT system inayoweza track mzigo unapoingia melini kokote duniani mpaka unatoka ata wewe mteja unaweza jua mzigo wako ulipo.

Mambo yote yameelezwa Phapo phase 1 wao watafanya nini.
Tunaweza kufanya yote hayo wenyewe.

Si tunakopa tu kama SGR na JNHEP?
 
Hayo yote ya nini jambo muhimu ni ufanisi ili serikali iongeze mapato kupitia bandari........na hilo Dp world ndo imekuja kutekeleza basi, hata kama mkataba ni wa miaka 100 as long serikali ina pata faida na inahudumia wananchi wake vizuri na kufanya maendelo hamna shida tuache fitina za kijinga.
Nadhani tusikurupuke namna hii.Kama kuna hoja ya msingi ni vizuri kuijadili.Aliyekopa ni DP au ni serikali.na atakaye lipa ni serikali.Hao DP ni wakandarasi tuu.sema kandarasi imeingiwa kwa mtindo ambao una maswali mengi sana.

Halafu hii naona kama imekaa namna hii CEO ameasaini Framework Agreement halafu anairudisha kwa evaluation committeee wajiridhishe kama iko poa.Ili specific projects contracts zinaweza kuendelea.
 
Tunaweza kufanya yote hayo wenyewe.

Si tunakopa tu kama SGR na JNHEP?
Nchi imeshafikia threshold ya kukopa.

Magufuli was different nchi inapokuwa middle income ata status zake za kukopa zinapanda anaweza pewa mikopo sokoni na private banks.

Hatuko huko tena, sasa hivi mikopo ni ya IMF, WB na donor countries tu; tena ni kwa ajili ya kuziba budget deficit na miradi yao ya kusaidia nchi maskini. Ukipata huko ndio ufanya re-allocation ya matumizi.

Besides DPW ana uzoeufu na strategy yake ya bandari ni game changer kwenye kuifungulia biashara na ufanisi juu. Bandari kwa sasa kila tsh 10 wanayopata tsh 8.5 ni operation expense. Hizo taasisi za umma zikiachwa zenyewe huwa awaoni shida kutumia hela ovyo kwa sababu faida sio kipaumbele chao.

DPW ni mwarobaini hapo bandarini kama tunataka tu maximise matumizi ya hiyo bandari na nchi kuongeza mapato. Huo ndio ukweli wenyewe.
 
Hii ni kutoka report ya Worl Bank .................................BY MARIA SARUNGI

Muhimu kuhusu DPW na mradi wa Benki ya Dunia

Pesa za mkopo wa @WorldBankAfrica zimetumika (na kukamilika)
👉🏽 kupanua na kuimarisha Gati 1-7 na kujenga gati mpya Gerezani
👉🏽kupanua mlango wa bandari hadi Gati 11
👉🏽kuboresha na kuunganisha na reli
👉🏽 Kupanua na kuimarisha Gati 8-11
👉🏽Kuna RORO terminal ilijengwa na kukamilishwa

Sasa tuangalie wanachodai DP World kufanya kwa mujibu wa IGA
Cha kwanza kikubwa eti kujenga, kuendesha na kusimamia RoRo terminal na Gati 1-4 na gati 5-7
🙄
Yaani pesa zote zimewekezwa za walipa kodi kupitia mradi wa sasa wa WB alafu wao wanakuja kuendesha na kusimamia? Wanawekeza nini??

Ndiyo maana mkataba haujawekwa thamani ya uwekezaji wao 😄 kumbe wanadandia mradi unaoelekea kukamilika waje wajisifu!

YAANI KIUFUPI WANAKUJA KUTEKELEZA MRADI WA PESA ZA MKOPO WA WORLD BANK

Nyieeeeeeeeee!
Mnaotetea mkataba huu mnajua kuwa mnatumika kutetea ulaji wa genge ndogo!?
Ila #TutaelewanaTu
Sina Imani na ccm sio kwenye kuuza bandari zetu tu , hawa watu kila mkataba upitiwi upya ndio mamaana tunaomba Lissu popote alipo ajiandae kukabidhiwa ikulu.
 
Badala ya kutafuta makala ya bandari ya Dar na kumsikiliza mkurugenzi wa port.

Yote hayo keshayaongelea issue ni cranes za kisasa ambazo hazitoshi.

Pili wawekezaji wameelezea wanachoenda kuongezea wao hapo bandarini.

Wewe unatoka kwenda kumsikiliza kichaa mmoja Twitter ndio source yako; badala ya kuwasikiliza wahusika tena video wameonyesha ya kilichofanyika bandarini.
Maoni yako ni sawa na maelezo uhalalai wa deal la EPA aaminiwe Lowasa na waliohusika kuliandaa. Hivi unategemea serikali ijipinge yenyewe? Hata wakati wanaingia mikataba ya na makampuni ya madini na gas ingetokea wapingaji bado serikali ingetetea kile inachofanya.
 
Nchi imeshafikia threshold ya kukopa.

Magufuli was different nchi inapokuwa middle income ata status zake za kukopa zinapanda anaweza pewa mikopo sokoni na private banks.

Hatuko huko tena, sasa hivi mikopo ni ya IMF, WB na donor countries tu; tena ni kwa ajili ya kuziba budget deficit na miradi yao ya kusaidia nchi maskini. Ukipata huko ndio ufanya re-allocation ya matumizi.

Besides DPW ana uzoeufu na strategy yake ya bandari ni game changer kwenye kuifungulia biashara na ufanisi juu. Bandari kwa sasa kila tsh 10 wanayopata tsh 8.5 ni operation expense. Hizo taasisi za umma zikiachwa zenyewe huwa awaoni shida kutumia hela ovyo kwa sababu faida sio kipaumbele chao.

DPW ni mwarobaini hapo bandarini kama tunataka tu maximise matumizi ya hiyo bandari na nchi kuongeza mapato. Huo ndio ukweli wenyewe.
Bado.

Hivi majuzi tulifanyiwa tathmini na taasisi ya nje Wanasema tunakopesheka.

Waziri wa fedha nae akadai deni la Taifa ni himilivu, unless alikua anadanganya.
 
Let us agree to disagree, usinilazimishe niamini unacho amini, hoja yangu ni kwa DP world itaongeza ufanisi na mapato serikalini yataongezeka.......sisi wabongo tumeshindwa kuendesha bandari kwa mda mrefu

Hudhani kuwa utawala umetushinda ukiwamo urais?
 
Bado.

Hivi majuzi tulifanyiwa tathmini na taasisi ya nje Wanasema tunakopesheka.

Waziri wa fedha nae akadai deni la Taifa ni himilivu, unless alikua anadanganya.
We unawasikiliza wanasiasa B1+ ni junk bond; hakuna mtu atakukopa hapo ni default risk na akikukopa basi ni high interest rate.
 
Naomba nikusahihishe kidogo konecranes ni kampuni ambalo inatengeneza na kuzalisha vifaa mbalimbali Kwa matumizi ya bandarini ikiwemo mobile harbor cranes [emoji911] za aina zote pamoja na rubber gantry crane (rtg) na pia wanajihusisha na mambo ya port solutions na kampuni hii ipo Finland na pia ipo kampuni nyengine inayoitwa kalmar ambayo hii pia inajihusisha pia na utengenezaji wa reach stacker,terminal tractor,straddle carriers,rmg crane, pia ipo kampuni kubwa kutoka China [emoji630] ambao ni wazalishaji wa crane za ZPMC ambazo ukienda hata huko Arab na bandari zetu za Africa zimejaa kibao cranes zake
Naijua Konecrane na nimeshapanda na kui Guide.

Kampuni zote kubwa zina Exclusivity usitegemee, kampuni XXX iingize Trilioni kadhaa Konecrane halafu mzigo huo huo wapewe kampuni YYY lazima kuwe na period ya miaka kadhaa watumie kisha wapewe na wengine,

pia kuna personalization nyingi sana zinafanywa. Kuanzia Software itakayotumika, size ya Bandari, Crane zitakazotumika, controller, sehemu za Kuhifadhia na mambo kibao, hivi vitu ni Complex sana.

Huwezi ku Achieve same System kama Dp world na player wengine wa kubwa wa Bandari. There is a reason kwanini bandari zote zinapewa kampuni binafsi mpaka Nchi ambazo hazi entertain hizi mambo kama China.
 
Back
Top Bottom