Kumbe Tanzania ilikopa fedha World Bank kuendeleza bandari, DP World anakuja kutumia fedha hizo kufanya kazi ambayo Tanzania imeikopea fedha WB-SOMA

Kumbe Tanzania ilikopa fedha World Bank kuendeleza bandari, DP World anakuja kutumia fedha hizo kufanya kazi ambayo Tanzania imeikopea fedha WB-SOMA

Umeambiwa report za World Bank na CAG. Tulipewa fedha $21M kwaajili ya mifumo na DP World ndio wametajwa watekelezaji! Jamani hapa hatufanyi siasa! This is very serious National matters. Binafsi sijasoma hizo report lakini kwa credibility ya Maria hawezi kusema jambo linalogusa taasisi nyeti bila ushahidi.

Inaogopesha sana!
Sasa kwanini tusiseme huna akili? Yani eti kwa credibility ya maria ? Aisee unamwamini kiasi gani huyo Maria unashindwa kuiamini serikali inayokwambia mambo yatakuaje? Hao wakina Maria ndio wanaharakati wa mapenzi ya jinsia moja sasa endelea kuwaamini utaona mwisho wake wenzako wapo kazini wale.
 
Hii ni kutoka report ya Worl Bank .................................BY MARIA SARUNGI

Muhimu kuhusu DPW na mradi wa Benki ya Dunia

Pesa za mkopo wa @WorldBankAfrica zimetumika (na kukamilika)
👉🏽 kupanua na kuimarisha Gati 1-7 na kujenga gati mpya Gerezani
👉🏽kupanua mlango wa bandari hadi Gati 11
👉🏽kuboresha na kuunganisha na reli
👉🏽 Kupanua na kuimarisha Gati 8-11
👉🏽Kuna RORO terminal ilijengwa na kukamilishwa

Sasa tuangalie wanachodai DP World kufanya kwa mujibu wa IGA
Cha kwanza kikubwa eti kujenga, kuendesha na kusimamia RoRo terminal na Gati 1-4 na gati 5-7
🙄
Yaani pesa zote zimewekezwa za walipa kodi kupitia mradi wa sasa wa WB alafu wao wanakuja kuendesha na kusimamia? Wanawekeza nini??

Ndiyo maana mkataba haujawekwa thamani ya uwekezaji wao 😄 kumbe wanadandia mradi unaoelekea kukamilika waje wajisifu!

YAANI KIUFUPI WANAKUJA KUTEKELEZA MRADI WA PESA ZA MKOPO WA WORLD BANK

Nyieeeeeeeeee!
Mnaotetea mkataba huu mnajua kuwa mnatumika kutetea ulaji wa genge ndogo!?
Ila #TutaelewanaTu
Mama anaupiga mwingi mama anaona mbali 2025 hakuna mpinzani ndio maneno kenge fulani huongeaga mm nawatizama tu. Hata kama sote ni ccm lakini kusifia ujinga nimeshindwaga ccm imenipa pesa kwa kazi fulani lakini sio chanzo cha mm kuwasifia na kuwa chawa wao kisa ninafanya nao kazi
 
Hii ni kutoka report ya Worl Bank .................................BY MARIA SARUNGI

Muhimu kuhusu DPW na mradi wa Benki ya Dunia

Pesa za mkopo wa @WorldBankAfrica zimetumika (na kukamilika)
[emoji1428] kupanua na kuimarisha Gati 1-7 na kujenga gati mpya Gerezani
[emoji1428]kupanua mlango wa bandari hadi Gati 11
[emoji1428]kuboresha na kuunganisha na reli
[emoji1428] Kupanua na kuimarisha Gati 8-11
[emoji1428]Kuna RORO terminal ilijengwa na kukamilishwa

Sasa tuangalie wanachodai DP World kufanya kwa mujibu wa IGA
Cha kwanza kikubwa eti kujenga, kuendesha na kusimamia RoRo terminal na Gati 1-4 na gati 5-7
[emoji849]
Yaani pesa zote zimewekezwa za walipa kodi kupitia mradi wa sasa wa WB alafu wao wanakuja kuendesha na kusimamia? Wanawekeza nini??

Ndiyo maana mkataba haujawekwa thamani ya uwekezaji wao [emoji1] kumbe wanadandia mradi unaoelekea kukamilika waje wajisifu!

YAANI KIUFUPI WANAKUJA KUTEKELEZA MRADI WA PESA ZA MKOPO WA WORLD BANK

Nyieeeeeeeeee!
Mnaotetea mkataba huu mnajua kuwa mnatumika kutetea ulaji wa genge ndogo!?
Ila #TutaelewanaTu
Mhh, ngumu kuamini hii
 
Sasa kwanini tusiseme huna akili? Yani eti kwa credibility ya maria ? Aisee unamwamini kiasi gani huyo Maria unashindwa kuiamini serikali inayokwambia mambo yatakuaje? Hao wakina Maria ndio wanaharakati wa mapenzi ya jinsia moja sasa endelea kuwaamini utaona mwisho wake wenzako wapo kazini wale.
Hii serekali ya ccm labda kichaa ndio anaweza kuwaamini.
 
Hayo yote ya nini jambo muhimu ni ufanisi ili serikali iongeze mapato kupitia bandari........na hilo Dp world ndo imekuja kutekeleza basi, hata kama mkataba ni wa miaka 100 as long serikali ina pata faida na inahudumia wananchi wake vizuri na kufanya maendelo hamna shida tuache fitina za kijinga.
Ukisikia hela kumtawala mtanzania maana hana tofauti na maiti, maiti wenyewe ndiyo wewe na kundi lako, mnaotufanya watanzania tuzalaulike
 
View attachment 2676204

Kwa kuanzia tu bandarini kuna multi storage car park?

Kingine wanampago wa kuamisha Ro-Ro kutoka hapo ilipo.

Wana mpango wa kuboresha terminal ya abiria na majahazi.

Wana mpango wa kuongeza uwekezaji kurasini kuweka kupokea mizigo mingi inayokwenda nje ya nchi.

Wana mpango wa kuweka ICT system inayoweza track mzigo unapoingia melini kokote duniani mpaka unatoka ata wewe mteja unaweza jua mzigo wako ulipo.

Mambo yote yameelezwa hapo phase 1 wao watafanya nini.
Kwa hiyo kwenye haya, huyu muwekezaji atacontribute kitu gani?
 
Na hii ndio moja ya hoja za wananchi, kwama DP hatawekeza hata 100, ni pesa tulizokopa sisi ndio watatumia, na faida yote watabaki nayo wao, ila deni tutalipa sisi!
 
Let us agree to disagree, usinilazimishe niamini unacho amini, hoja yangu ni kwa DP world itaongeza ufanisi na mapato serikalini yataongezeka.......sisi wabongo tumeshindwa kuendesha bandari kwa mda mrefu
Lakini kama ni ufanisi mdogo, hauko bandarini pekee, bali ni taasisi karibu zote za umma. Kwanini hizo nyingine hakuna mwekezaji? Mfano mrahisi ni Uduni wa mahakama zetu. Kwanini tusiweke mwekezaji ili tupate ufanisi. Fuatilia vizuri utakuta huo mkataba ni wa viongozi wetu wako ndani, na hao waarabu wamekerwa kama bortion tu.
 
Let us agree to disagree, usinilazimishe niamini unacho amini, hoja yangu ni kwa DP world itaongeza ufanisi na mapato serikalini yataongezeka.......sisi wabongo tumeshindwa kuendesha bandari kwa mda mrefu
Kwahiyo tunakubaliana huyu hawekezi kitu si ndio?
 
Kwani mkataba wa Dp world na Tpa tayari? Mbona mnaendekeza Cheap Politics hivi?

Dp world vifaa vyao sio vya kitoto eti waje watumie Existing infrastructure, Hizo Crane na miundombinu mingine capability yake wanayo wao tu ama ni kampuni chache zenye uwezo huo.

Kusema kwamba Dp world wanatutegemea sisi eti mkopo wetu wa World Bank uwawezeshe wao ni chai ya mchana.
Kilichosainiwa na kupitishwa bungeni ni nini?
 
Bado.

Hivi majuzi tulifanyiwa tathmini na taasisi ya nje Wanasema tunakopesheka.

Waziri wa fedha nae akadai deni la Taifa ni himilivu, unless alikua anadanganya.
Tunasahau haraka: tuliwahi ambiwa tunajenga kwa fedha zetu (mwigulu huyu huyu) leo vp? Tuliambiwa ni mzima anachapa kazi (ikawaje?), tuliambiwa umeme possible kwa 27,000/= (nini kilifata). But maisha kila mtu ana yake na kuwaamini ni hiari!
 
Let us agree to disagree, usinilazimishe niamini unacho amini, hoja yangu ni kwa DP world itaongeza ufanisi na mapato serikalini yataongezeka.......sisi wabongo tumeshindwa kuendesha bandari kwa mda mrefu
Mfano wasipoongeza hayo mapato na huku serikali inazidi kuweka pesa?
 
Hayo yote ya nini jambo muhimu ni ufanisi ili serikali iongeze mapato kupitia bandari........na hilo Dp world ndo imekuja kutekeleza basi, hata kama mkataba ni wa miaka 100 as long serikali ina pata faida na inahudumia wananchi wake vizuri na kufanya maendelo hamna shida tuache fitina za kijinga.
hapana sio kwa miaka mia uo ni utumwa we need win to win situation.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni kutoka report ya Worl Bank .................................BY MARIA SARUNGI

Muhimu kuhusu DPW na mradi wa Benki ya Dunia

Pesa za mkopo wa @WorldBankAfrica zimetumika (na kukamilika)
👉🏽 kupanua na kuimarisha Gati 1-7 na kujenga gati mpya Gerezani
👉🏽kupanua mlango wa bandari hadi Gati 11
👉🏽kuboresha na kuunganisha na reli
👉🏽 Kupanua na kuimarisha Gati 8-11
👉🏽Kuna RORO terminal ilijengwa na kukamilishwa

Sasa tuangalie wanachodai DP World kufanya kwa mujibu wa IGA
Cha kwanza kikubwa eti kujenga, kuendesha na kusimamia RoRo terminal na Gati 1-4 na gati 5-7
🙄
Yaani pesa zote zimewekezwa za walipa kodi kupitia mradi wa sasa wa WB alafu wao wanakuja kuendesha na kusimamia? Wanawekeza nini??

Ndiyo maana mkataba haujawekwa thamani ya uwekezaji wao 😄 kumbe wanadandia mradi unaoelekea kukamilika waje wajisifu!

YAANI KIUFUPI WANAKUJA KUTEKELEZA MRADI WA PESA ZA MKOPO WA WORLD BANK

Nyieeeeeeeeee!
Mnaotetea mkataba huu mnajua kuwa mnatumika kutetea ulaji wa genge ndogo!?
Ila #TutaelewanaTu
Duh!
 
Back
Top Bottom