Kumbe Tanzania ilikopa fedha World Bank kuendeleza bandari, DP World anakuja kutumia fedha hizo kufanya kazi ambayo Tanzania imeikopea fedha WB-SOMA

Kumbe Tanzania ilikopa fedha World Bank kuendeleza bandari, DP World anakuja kutumia fedha hizo kufanya kazi ambayo Tanzania imeikopea fedha WB-SOMA

Yaani mnyama tunamuwinda sisi, jasho linatutoka sisi, kisha DP World anakuja kutuconvince kuwa yeye ana kisu kilali zaidi tumuachie mnyama atatumegemea mapande ya nyama na sisi tunakubali. Kama huu siyo uzwazwa ni nini?
 
Fikra ndogo sana!!

Kama ndiyo hivyo, basi tuwaulize Waingereza na Wajerumani kama wanaweza kurudi na kutufanya koloni lao, halafu wakatupatia maendeleo. Kama wakisema wanaweza, basi tubakie koloni lao milele. Tuingie nao mkataba usio na mwisho, maana tunachotaka ni wananchi wetu tu wapate huduma bora. Unalipnaje hilo bwana Covax?
Ni kweli, otherwise turudi kwenye mjadala wa mantiki ya uhuru ni ipi kama tunaingia mikataba kama hii! Tukubaliane na Waingereza warudi tuwape madaraka kama tumeshindwa kujiendesha kwa kiwango hiki.
 
Nakushangaa kutojua kwamba WB inakupa mkopo baada ya kutimiza conditions zake ikiwemo ku akikisha una mwekezaji atakae weza kuendesha na kurudisha huo mkopo, baada ya wenyeji kushindwa usafiri kwamba wb ikui kinachoendelea wakati hiyo conditionality moja ya mkopo........jutahid kujua world economic financial policies za WB neenda akaone kwenye website yao hiyo aina ya mikopo imetolewa kwa nchi ngapi... na terms and condition ni zipi
Nakwambia Hujaelewa argument ya maria. Hili ni jipya, kuna sehemu nimezibold.... zitafakari. Argument siyo financial policies za WB how they work, NO.... ni uwekezaji wa fedha kuendeleza bandari wanaousema akina Mbarawa and Co. Ltd wakati uwekezaji fedha zilishatolewa na contract construction...vifungu tata kwenye mkataba!
 
Sijui kwa nini watu hawaoni umhimu na ufanis wa DPW na hawasemi tatizo ni nini wako too general.
Acha kuwa mmpumbavu... Unajadilije uafanisi ambao haujauona?, Tahira wewe.
 
Wewe ndo yule ambaye umegundua kuwa mwanao ni pung'a lakini hukereki bali ni kuishia kuwaambia majirani zako kuwa, hajalishi hilo ili mradi basha wake analeta fedha za matumizi nyumbani.
asante sana (ingawa mfano wako hataupenda), lkn umemjibu vema kabisa
 
Zinauzwa serikali aitaki kununua kwa sababu ni hela nyingi serikali inaona kama kuna mtu yupo tayari kununua na kurudisha hela yake wampe muda; basi iwe ivyo (sasa usije kusema muda wa milele) maana hilo halipo.
Unadhani DP WORLD Hizo Pesa watazitoa Wapi?!!! Au unadhani kuna mwekezaji anatumia his own money ? Usishangae yeye akatumia collateral ambao ni huo mradi kwenda kukopea kwa financiers kwahio mwisho wa siku ni asset yako wewe mwenyewe ambayo ime-facilitate huo mradi..
 
Hapana hao DP world wana kuja na mitambo yao pamoja na technology yao wana fanya oparation mantainance and investment manaake wata panua bandari iwe kubwa zaidi
Hizo hela Serikali ilikopa IMF zilikuwa za nini?
 
exactly! tunapinga contract construction na siyo uwekezaji. Funny enough hawa hawaji kuwekeza pesa zao, kazi zote zilishafanywa na WB funding..... lkn tunaambiwa watawekeza trillions


Lakini ndugu kwani Lazima uwekezaji ufanyike bandarini?

Kwan wakiwekeza kwenye:-
1. Technology
2 Maritime service and equipments na
3. Industrial parks,
Maeneo ambayo wana uzoefu nayo kwa muda mrefu, kwani iko mbaya?
 
Hii ni kutoka report ya Worl Bank .................................BY MARIA SARUNGI

Muhimu kuhusu DPW na mradi wa Benki ya Dunia

Pesa za mkopo wa @WorldBankAfrica zimetumika (na kukamilika)
[emoji1428] kupanua na kuimarisha Gati 1-7 na kujenga gati mpya Gerezani
[emoji1428]kupanua mlango wa bandari hadi Gati 11
[emoji1428]kuboresha na kuunganisha na reli
[emoji1428] Kupanua na kuimarisha Gati 8-11
[emoji1428]Kuna RORO terminal ilijengwa na kukamilishwa

Sasa tuangalie wanachodai DP World kufanya kwa mujibu wa IGA
Cha kwanza kikubwa eti kujenga, kuendesha na kusimamia RoRo terminal na Gati 1-4 na gati 5-7
[emoji849]
Yaani pesa zote zimewekezwa za walipa kodi kupitia mradi wa sasa wa WB alafu wao wanakuja kuendesha na kusimamia? Wanawekeza nini??

Ndiyo maana mkataba haujawekwa thamani ya uwekezaji wao [emoji1] kumbe wanadandia mradi unaoelekea kukamilika waje wajisifu!

YAANI KIUFUPI WANAKUJA KUTEKELEZA MRADI WA PESA ZA MKOPO WA WORLD BANK

Nyieeeeeeeeee!
Mnaotetea mkataba huu mnajua kuwa mnatumika kutetea ulaji wa genge ndogo!?
Ila #TutaelewanaTu
Ni mwendelezo wa threads kwa kubadili headings tu but hakuna jipya. Inatia uvivu ht kusoma
 
Pili wawekezaji wameelezea wanachoenda kuongezea wao hapo bandarini.
Wamekiweka kwenye maandishi ama mdomoni ili wakulainishe moyo wako. Usiwe biased. Huyo mkurugenzi anaweza akapigwa fungu la maisha milele atetee una uhakika
 
Badala ya kutafuta makala ya bandari ya Dar na kumsikiliza mkurugenzi wa port.

Yote hayo keshayaongelea issue ni cranes za kisasa ambazo hazitoshi.

Pili wawekezaji wameelezea wanachoenda kuongezea wao hapo bandarini.

Wewe unatoka kwenda kumsikiliza kichaa mmoja Twitter ndio source yako; badala ya kuwasikiliza wahusika tena video wameonyesha ya kilichofanyika bandarini.
Ilimradi kila kukicha waanzishe uzi humu sijui wanalipwa!
 
Ilimradi kila kukicha waanzishe uzi humu sijui wanalipwa!
Hawapendi maendeleo wengi ni wafanya kazi wa bandari, ulaji wao unaondoka kwa ujio wa Dp world lazima waanzishe nyuzi kila wakati
 
Kwani mkataba wa Dp world na Tpa tayari? Mbona mnaendekeza Cheap Politics hivi?

Dp world vifaa vyao sio vya kitoto eti waje watumie Existing infrastructure, Hizo Crane na miundombinu mingine capability yake wanayo wao tu ama ni kampuni chache zenye uwezo huo.

Kusema kwamba Dp world wanatutegemea sisi eti mkopo wetu wa World Bank uwawezeshe wao ni chai ya mchana.
Wanajazana ujinga tu.
Kutwa kushindana kuanzisha threads mpya humu but ukisoma unakuta ni marudio kwa styles tofauti tofauti
 
Hii ni kutoka report ya Worl Bank .................................BY MARIA SARUNGI

Muhimu kuhusu DPW na mradi wa Benki ya Dunia

Pesa za mkopo wa @WorldBankAfrica zimetumika (na kukamilika)
👉🏽 kupanua na kuimarisha Gati 1-7 na kujenga gati mpya Gerezani
👉🏽kupanua mlango wa bandari hadi Gati 11
👉🏽kuboresha na kuunganisha na reli
👉🏽 Kupanua na kuimarisha Gati 8-11
👉🏽Kuna RORO terminal ilijengwa na kukamilishwa

Sasa tuangalie wanachodai DP World kufanya kwa mujibu wa IGA
Cha kwanza kikubwa eti kujenga, kuendesha na kusimamia RoRo terminal na Gati 1-4 na gati 5-7
🙄
Yaani pesa zote zimewekezwa za walipa kodi kupitia mradi wa sasa wa WB alafu wao wanakuja kuendesha na kusimamia? Wanawekeza nini??

Ndiyo maana mkataba haujawekwa thamani ya uwekezaji wao 😄 kumbe wanadandia mradi unaoelekea kukamilika waje wajisifu!

YAANI KIUFUPI WANAKUJA KUTEKELEZA MRADI WA PESA ZA MKOPO WA WORLD BANK

Nyieeeeeeeeee!
Mnaotetea mkataba huu mnajua kuwa mnatumika kutetea ulaji wa genge ndogo!?
Ila #TutaelewanaTu
Hao WB nduo wapuuzi wakubwa, kwa sababu mambo kama haya ndiyo wanayoyapigia chapuo sana kwa sasa hivi.

Wao WB wanachojari ni kuwa pesa yao italipwa tu basi. Hayo mengine ya nchi kunufaika au la hawana habari nayo.

Hawa WB na IMF ndio wanaowahimiza akina Samia wa dunia hii kuziuza nchi zao bila kujitambua.

Hawa ndio wanaotuingiza kwenye ukoloni mpya kwa lazima kwa jina la maendeleo.

Hii 'model' ya maendeleo hawatuonyeshi mifano ya nchi zilizoutumia muundo huo na nchi hizo zikapata maendeleo.
 
Nakushangaa kutojua kwamba WB inakupa mkopo baada ya kutimiza conditions zake ikiwemo ku akikisha una mwekezaji atakae weza kuendesha na kurudisha huo mkopo, baada ya wenyeji kushindwa usafiri kwamba wb ikui kinachoendelea wakati hiyo conditionality moja ya mkopo........jutahid kujua world economic financial policies za WB neenda akaone kwenye website yao hiyo aina ya mikopo imetolewa kwa nchi ngapi... na terms and condition ni zipi
hii ni darasa kubwa mno aise 🙏
 
Hii ni kutoka report ya Worl Bank .................................BY MARIA SARUNGI

Muhimu kuhusu DPW na mradi wa Benki ya Dunia

Pesa za mkopo wa @WorldBankAfrica zimetumika (na kukamilika)
👉🏽 kupanua na kuimarisha Gati 1-7 na kujenga gati mpya Gerezani
👉🏽kupanua mlango wa bandari hadi Gati 11
👉🏽kuboresha na kuunganisha na reli
👉🏽 Kupanua na kuimarisha Gati 8-11
👉🏽Kuna RORO terminal ilijengwa na kukamilishwa

Sasa tuangalie wanachodai DP World kufanya kwa mujibu wa IGA
Cha kwanza kikubwa eti kujenga, kuendesha na kusimamia RoRo terminal na Gati 1-4 na gati 5-7
🙄
Yaani pesa zote zimewekezwa za walipa kodi kupitia mradi wa sasa wa WB alafu wao wanakuja kuendesha na kusimamia? Wanawekeza nini??

Ndiyo maana mkataba haujawekwa thamani ya uwekezaji wao 😄 kumbe wanadandia mradi unaoelekea kukamilika waje wajisifu!

YAANI KIUFUPI WANAKUJA KUTEKELEZA MRADI WA PESA ZA MKOPO WA WORLD BANK

Nyieeeeeeeeee!
Mnaotetea mkataba huu mnajua kuwa mnatumika kutetea ulaji wa genge ndogo!?
Ila #TutaelewanaTu
DP anakuja kuchukua nafasi ya Tics,Tics aliwekeza bei gani?
 
Back
Top Bottom