Kumbe tuna Ndege Mpya ya Rais na hamsemi ndugu Watanzania!?

Haters bwana mna kazi aisee, kamanda naona ushashusha bonge la essay bila kusubiri kujua vizuri kwanza.......
 
Kumchukia mwizi wa maliasili ya nchi ni thawabu!
Mtaoshia hivyo hivyo.
Thawabu humstawisha mtu, Sasa mbona nyie hamstawi.....mnazidi kuchakaa Huku mumchukiae na mnae,uombea mabaya anazidi kung'aa siku baada ya siku. Kuna kitu hapo kwa mwenye akili.

Hv Sasa mnaitwa nyumbu wa lissu ee?!!!
 
Naam, umeniita?

Tatizo nini?
Nime ghairi kusilimu ...baada ya waislamu kushindwa kunijibu maswali yangu mepesi ...je nikiuliza maswali magumu sindiyo mtakimbia kabisa ...ninayo maswali magumu ambayo sijawai kuwauliza waislamu hapa JF hata moja haya ninayo uliza ni mepesi ila hata haya amuwezi kunijibu ....maswali makubwa niliwai kuwauliza mashekh 6 ... hadi leo wamepoteza imani na tumaini ndani ya dini ya uislamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…