Kumbe Tundu Lissu anadaiwa kwa kulipwa malipo hewa!

Afu Adolay hebu tusichoshane, nimeshajibu hilo swali hapo juu...mbona king'ang'anizi hivyo, na hutaki kuelewa, au na ww ndio haohao wa ufipani!?
 
Mimi situmwi na mtu, hilo la KL unaweza fungua hata ww naona pia linakukeleketa! Ngoja nimalizane na hili kwanza kurejesha kodi yetu inayotumika kwa mabeberu!
 

A) Unaelewa maana ya kuwajibika? Kama ndio eleza

B) Alipohamia Chadema alikuwa na wadhifa gani serikalini?

C) Kiongozi anapowajibika kwa nafasi yake bado ataendelea kubeba tuhuma za wizara? Au ataendelea kubeba mambo ya kiongozi kwa nafasi aliyojiuzulu? Mfano baada ya mzee mwinyi kuwajibika nini kilifuata?
 
Afu Adolay hebu tusichoshane, nimeshajibu hilo swali hapo juu..


Ukija kuleta hoja hapa usilete WEHU kamilisha taarifa uzushi sio mahala pake


(a) Hebu tupatie ni mwezi na mwaka gani?

(b) Hebu tuambie alipita njia gani na kwa kibali cha nani? Airport au mpaka gani

(b) Nani aliidhinisha fedha kwa matumizi tofauti kama safari ilipangwa kwenye swali la msingi (a) hapo juu
 
Baada ya kumkatia tu Yale malipo hewa na kumfuta ubunge hatumsikii Tena Tundu Lissu akizurura kutukana Serikali amebakia kuongelea Miguuni kwake.No movement!!!
 

Wakati anafanya ufisadi kama unavodai
- CCM ilikuwa
- Yupo CCM mpaka leo na ccm inaongoza

A. Kwanini wewe na polisi wako hamjamfungulia kesi?

B. Serikali ilianzisha kwa mbwembwe mahakama ya mafisadi

Umepeleka malalamiko yako? Tuwekee namba ya kesi au walau jaji anayesikiliza kesi hiyo

C. Umethibitisha kupitia mahakama ipi kwamba Lowasa fisadi au wewe Zuzu lakipumbuvu kuzushia watu usiyokuwa na ushahidi nayo.
 
Baada ya kumkatia tu Yale malipo hewa na kumfuta ubunge hatumsikii Tena Tundu Lissu akizurura kutukana Serikali amebakia kuongelea Miguuni kwake.No movement!!!

Akili za wajinga hufukiri kijinga

Dunia nzima imezizima kwa janga la CORONAVIRUS

Ni mbumbumbu tu anaweza kuja na upuuzi huu

Quarantine everywhere still mbumbumbu wanazuka na hoja za kipumbavu
 
Mimi situmwi na mtu, hilo la KL unaweza fungua hata ww naona pia linakukeleketa! Ngoja nimalizane na hili kwanza kurejesha kodi yetu inayotumika kwa mabeberu!

Ni hivi, ww ni mnafiki unayedhani unaweza kubadilisha ukweli anaousema huyo Tundu Lisu. Ukweli wa Tundu Lissu uko hivyo hivyo anavyousema na huna uwezo wowote wa kuubadili mpaka uingie kaburini. Na kama hizo fedha unazopambania ni kwakuwa zinaenda kwa mabeberu, hizo za Kange Lugola pia ni mkataba na hao hao mabeberu, tena hizo zake ni mara 1,000 zaidi ya hizo za Lissu.
 
"Hatua za kishertia" ndo nini,mbona una mawazo kama ya mwizi wa dola 12m za matibabu?
 
Wait a minute,pesa ya mfuko wa Jimbo inalipwa kwenye account ya mtu binafsi? Kama ni ndiyo basi tuna serikali ya hovyo kuwahi kutokea duniani,unagawaje pesa ya walipa Kodi Kama pipi?
 
Umesoma taarifa ya CAG LAKINI? KUNA SEHEMU KATAJA VIJISENTI VYA LISSU AU NDO WALE WALE WA TEAM PRAISE FOR UNHOLY TRINITY? Mamilioni yamegegedwa na sirikali kwa kisingizio cha "kutelekeza"miradi ya maendeleo kwa fedha za ndani" but huoni isipokuwa ya "mliyetaka kumtanguliza AHERA mkakataliwa na mwenye uwezo kuliko vibudu nyie!!!!
 
TL mwaka huu utausikia ubunge tu mzee baba Nchi hii syo familia yako. Kesho na mm nitakuwa Rais
 
Mahakamani ndio habari inayofuata, usijari, atafikishwa tu hivi karibuni maana kayataka mwenyewe!
Ninachoshwa na kelele na ushabiki wenu wa kichawi.
Mnaoshangilia tabia za kukomoana watu wanapouliziana haki zao, mnatia shaka kwa kushangilia kukua kwa ushetani na usadist hapa Tz.
Nanyi mlitakiwa kujiuliza kwanza kuwa, kama kweli siku zote hizo alikuwa na vielelezo kwa nini hakuwa amepeleka swala hilo mahakamani? Nadhani Tanzania inakwenda kusiko.
 
WeWe ni mpumbavu kama alivyo huyo Spika wenu, hela ya Mfuko wa Jimbo hulipwa kwenye account Binafsi ya Mbunge tangu lini?
 
Baada ya kumkatia tu Yale malipo hewa na kumfuta ubunge hatumsikii Tena Tundu Lissu akizurura kutukana Serikali amebakia kuongelea Miguuni kwake.No movement!!!
Unao ushahidi wa kuitukana serikali? Tuweke hapo jf
 
Baada ya kumkatia tu Yale malipo hewa na kumfuta ubunge hatumsikii Tena Tundu Lissu akizurura kutukana Serikali amebakia kuongelea Miguuni kwake.No movement!!!
Unao ushahidi wa kuitukana serikali? Tuweke hapo jf
 
Hivi we si juzi ulidai ulipitia Saut ?! Mbona unakidhalilisha hicho chuo ?! Kweli product ya Saut ndiyo wa aina yako ?!. Kwanini kisifungwe hicho chuo ?!



Odhis *
 
Wote wakichangia kwa lobbying navijikaratasi wizarani. Nini maana ya uwepo wao Dodoma ?!.

Na mijadala inayoongozwa na mh spika na wenyeviti maanake nini ?! Lumumba mnatia huruma kwa kutokuwa na points.

Odhis *
 
Pesa ya mfuko wa jimbo inaingizwa kwenye akaunti binafsi ya Mbunge??? Hata hivyo kama ni kweli ni makosa kumlipa lisu wakati vijana wa buku 7 wanamadai miezi kadhaa hawajalipwa!
 
Baada ya kumkatia tu Yale malipo hewa na kumfuta ubunge hatumsikii Tena Tundu Lissu akizurura kutukana Serikali amebakia kuongelea Miguuni kwake.No movement!!!
Umeona eeh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…