Kumbe Tundu Lissu anadaiwa kwa kulipwa malipo hewa!

Wote wakichangia kwa lobbying navijikaratasi wizarani. Nini maana ya uwepo wao Dodoma ?!.

Na mijadala inayoongozwa na mh spika na wenyeviti maanake nini ?! Lumumba mnatia huruma kwa kutokuwa na points.

Odhis *
Ww ndio unakatisha tamaa kwa kuwa mgumu wa kuelewa afu mwepesi kusahau! Eliyekuambia lobbing lazima ihusishe vikaratasi ni nani? Ninyi mliokariri kuwa ukiwa chsma pinzani basi hapaswi kuongea kistaarabu na serikali ( mawaziri) ni mapoyoyo mnaoleta umaskini kwa watz kwa kuchelewesha maendeleo!
Mijadala inakuwepo pia kwa maandishi bila kusimama na kuongea! Hata hivyo kwa akili zako sidhani kama unaelewa! Na hata ukielewa sidhani kama utakumbuka!
 
Hayo maswali waulize mazwazwa na mazuzu wenzio akina TL waliomhukumu EL! Kuhusu mahakama ya mafisadi, mpaks tumfunge babako ndio ujue inafanya kazi zake eeh?
 
Mbulula na mbumbumbu ni ww, aliyekuambia Covid-19 inaenezwa kwa kufanya mijadara ya kuhusu upuuzi wa ufipani mtandaoni ni nani?
Au ndio hoja zenyewe za moto ndio unaishia kutuka na kukejeli! Msijifiche kwenye kichaka cha corona, upuuzi wenu sasa upo peupe!
Akili za wajinga hufukiri kijinga

Dunia nzima imezizima kwa janga la CORONAVIRUS

Ni mbumbumbu tu anaweza kuja na upuuzi huu

Quarantine everywhere still mbumbumbu wanazuka na hoja za kipumbavu
 
We ndugu hivi umesoma hata paka drs la 7 kweli mbona u aongea Ukoto sana kama msukule ulionyimwa chakula?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kitu kama hicho wewe TL hawezi ongea uongo akiwa Duniani uko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyekuambia KL hatashughurikiwa ni nani? Mbona unanilazimisha nitoke relini?
 
Aliyekuambia KL hatashughurikiwa ni nani? Mbona unanilazimisha nitoke relini?

Utoke kwenye reli ipi? Kinachomfanya asishughulikiwe nini wakati takukuru wamesema muda tu kuwa wameshakamilisha uchunguzi kwa 99%?
 
Ujinga umetamalaki hapa
 
Wait a minute,pesa ya mfuko wa Jimbo inalipwa kwenye account ya mtu binafsi? Kama ni ndiyo basi tuna serikali ya hovyo kuwahi kutokea duniani,unagawaje pesa ya walipa Kodi Kama pipi?
Hivi na wewe umeanza kujijua eeh! Asante Yesu!
 
Waliotaka kumtanguliza mnao hukohuko wenyewe, jimulikeni tu vizuri!
Hakuna hela itakayotafunwa ya serkali ya awamu hii! Ngoja uone watu watakavyoanza kugongana! Hizo zote zilizoorodhedhwa na CAG tutafuatilia! Bila kusahau na malipo hewa ya TL!
 
Kunashida gani kwa alichokiandika...akili yako imebaha nini, mbona kinaeleweka tu tena kwa kiswahili!?
Hivi we si juzi ulidai ulipitia Saut ?! Mbona unakidhalilisha hicho chuo ?! Kweli product ya Saut ndiyo wa aina yako ?!. Kwanini kisifungwe hicho chuo ?!



Odhis *
 
Sikiliza vizuri hiyo clip, majibu yako yamo humo!
 
WeWe ni mpumbavu kama alivyo huyo Spika wenu, hela ya Mfuko wa Jimbo hulipwa kwenye account Binafsi ya Mbunge tangu lini?
Nani kasema ililipwa kwenye account binafsi ya mbunge? Kweli hizi akili zenu mmmh shida saana! Majibu mengine mtayapata kwa kakake TL!
 
We ndugu hivi umesoma hata paka drs la 7 kweli mbona u aongea Ukoto sana kama msukule ulionyimwa chakula?

Sent using Jamii Forums mobile app
Msukule ni weww mwenyewe! Mna makelele sana ninyi na TL! Mkome kuropoka ovyo! Ukiona tumenyamaza usifikiri hatuwezi funguka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…