Machinga kujaa kila sehemu mijini ni tatizo kubwa ila hoja ya kuwaondoa katika maeneo yao kiholela ni unyama usiofikiria athari za kimaisha kwa hawa watu na kujiuliza tumefikaje hapa tulipo?
Suluhisho la machinga ni kwa miji yote kutengeneza masta plani za miji na kuainisha maeneo ya wafanya biashara and then tutoe mda kama mwaka watu wahame kutoka maneneo ya sasa kurudi maeneo rasmi.
Umachinga ni maisha ya watu, kumbomolea ni sawa na kumsimamisha mtu kazi ghafla bila malipo yoyote, je huyu ataishije na familia yake?
Hoja ya kwamba wamekaa mahali pasipokuwa sahihi haina mashiko kwani ni lazima tujiulize wamefikaje hapa tulipo? bila shaka uzembe wetu wa kutotenga maeneo halali na kusimamia taratibu ndivyo vimetufikisha hapa.
Suluhisho la machinga ni kwa miji yote kutengeneza masta plani za miji na kuainisha maeneo ya wafanya biashara and then tutoe mda kama mwaka watu wahame kutoka maneneo ya sasa kurudi maeneo rasmi.
Umachinga ni maisha ya watu, kumbomolea ni sawa na kumsimamisha mtu kazi ghafla bila malipo yoyote, je huyu ataishije na familia yake?
Hoja ya kwamba wamekaa mahali pasipokuwa sahihi haina mashiko kwani ni lazima tujiulize wamefikaje hapa tulipo? bila shaka uzembe wetu wa kutotenga maeneo halali na kusimamia taratibu ndivyo vimetufikisha hapa.