Tujifunze kuweka Akiba ya maneno vyeo vyetu ni mapito tu watawala wajifunze kuishi na walio chini yao vizuri
View attachment 1769274
View attachment 1769273
Maneno makuu ambayo hua hayanitoki kichwani wangu TOKA KWA wakubwa zangu,
1,heshima kila mtu bila jali Hali yake,uchama, ukubwa wa majukum YAKO Kama kiongozi popote pale,mfungwa,kichaa,kilema kila mtu ananafasi yake katika dunia hii,
Hata hivyo kitendo Cha ccm kuendelea na natabia ya kuteua makachero katika nafasi za chama hata zile za kiserikali mfano wakuu wa wilaya, mkoa , nikuonesha wazi tz katiba mpya hakiepukiki,
Why mtumishi aliewahi itumikia nchi leo unampeleka kwenye chama hii sio sawa ,sisem chama kua na mfumo mzuri wa ulinzi KWA Mambo mengi si thambi, nasema chama kisomeshe vijana KWA KAZI Iyo, sio tumia watu tuliokwisha wasomesha KWA kodi zetu alafu wawachukua kisa mko madarakani ,jengeni mifumo,vinginevyo ni hatari KWA taifa Hili, wenda ndo kigogo mpo tu ,ccm mwafya hamchomoki hata mje na vifaru 100000 ,chadema yaenda kuunda serikali ijayo tumewakosa 2015, na tuliwapata 2020 mkachomoa betri KWA nguvu, so twaja 2025