Kumbukumbu nzuri kwenye maisha yangu(Baba yangu)

Awesome. Nadhani anafurahi huko alipo kwa ushuhuda huu. Apumzike kwa amani. Wababa wenzangu,tujitahidi kuwa na amani ktk familia zetu. Mbegu nzuri humea.
Kwakweli Hana deni na Mimi kabisa😍
 
Hongera sana mkuu kwa kuwa na baba bora Mungu aendelee kumpumzisha pahala pema. Sisi wengine malezi ya Baba tunayasikia tu kwa watu but sitotaka mtoto wangu apitie hayo maisha namuomba Mungu sana
Pole sana njia nzuri kuufanya moyowako kuwa na amani ni kuwa bababora Kwa wanao
 
Kwahyo hapo inategemeana na bond iliyopo ya mshure na mtot?

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Chuki ni mzigo mzito kwa anaye ubeba...hizo childhood traumas unaweza kuziachia mkuu.. ni rahisi mnoo,naweza kukusaidia.
 
Allah aendelee kumpa kauli thabiti , mwanaume mwenzetu hakika alituwakilisha vizuri mno

Ninyi wenzangu na mimi tunalo la kujifunza hapa sio kutwa mikwara uchwala
 
Allah aendelee kumpa kauli thabiti , mwanaume mwenzetu hakika alituwakilisha vizuri mno

Ninyi wenzangu na mimi tunalo la kujifunza hapa sio kutwa mikwara uchwala
😀Mikwara uchwara ipi Tena
 
Sawa mkuu, japo ni Asubuhi sana kuletea Chai mjengoni. Pamoja na kwamba ni chai ika umesaidia kuwakumbusha kuwa wanaume wanaojali familia zao wapo.
 
Wanaume tuna bahati mbaya sana kwenye hii sayari.....wengi tunakufa kabla hata hatujaona matunda ya juhudi zetu hapa duniani.
Hii inakatisha tamaa sana!
Kifo ni haki ya Kila mmoja mkuu usisikitike Kuna wanaokufa baada ya kuzaliwa tu
 
Sawa mkuu, japo ni Asubuhi sana kuletea Chai mjengoni. Pamoja na kwamba ni chai ika umesaidia kuwakumbusha kuwa wanaume wanaojali familia zao wapo.
Pole sana mkuu Kwa yaliyokukuta
Niletee chai Kwa faida ipi
 
nimeattach nyimbo hiyo kula chuma
Your browser is not able to play this audio.
 
Eti baba inabidi muda wote ndani umekunja sura [emoji16]

Eti baba mkipika nyama yeye ale kubwa kuliko wengine wakati ni wajibu kuwalisha watu wake yeye iwe badae

Eti ili uwe baba basi uwe mkali mkali
🤣🤣🤣Nimecheka
Au ukitak kumtisha mtoto utasikia ngoja baba aje uone🤣🤣
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimecheka
Au ukitak kumtisha mtoto utasikia ngoja baba aje uone[emoji1787][emoji1787]
Ndiyo hivyo sikatai kuwa sura nyingi za wababa ndiyo hutumika kumtisha mtoto alale ila ni wajibu kuwafanya watoto watuone marafiki regardless of our face
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…