Kumbukumbu ya moja ya tarehe mbaya kutokea (Worse Date Ever)

mwaka 2019 ktk harakdti za kutafuta nyapu mpya initoe stres Muhuni ndipo nikakutana na binti mmoja 23-26 hivi akanipa namba tukayajenga vizuri akakubali kuja kuja magetoni baadaa ya week 2 hivi,
ktk kuanza kumnyandua kifuani yuko vizuri nikajisevia fresh tu
shida nilipomvua pichu ndio maajabu nilikutana nayo mtoto nahisi hakuwa amenyoa mavu$! zaidi ya mwaka hakika nilikutana na bonge moja la kichaka marefu adi papuchi haionekani unaitafuta kwa tochi na uhuni wangu ila na kinyaa hatari sikuweza kuyashika wala kupiga kwa kweli nakaacha na kumshikashika nikanyookea bafuni mazima stimu yote ilikata kurudi nika mute zangu kumfukuza siwezi ikabid nilale zangu kumfukuza siwezi ila nivyo amka siku mkuta na nikafuta na namba nae hukujanitafuta tena
 
We sio muhuni masta
 

Hiii itakuwa chai maana story zake zimekaa kiuongo uongo tuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uyo demu ni muuwaji
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mademu wa uswazi hao!!
 
Ivi kumbe wanaopenda wanaume wenzao ni wengi?
 
Huyo aliendoka na cake alitisha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Kuna kaka nilikutana nae kitaan wakati nasoma kipindi hicho akaniomba tutoke siku, nikakubali .Siku imefika kanifata hao tukaondoka picha linaanza tumefika sehemu kuna vinywaji na chakula akaniambia niagize chakula haya nikajiagizia ndizi na kuku choma. Sasa nikawa nashangaa mbona yeye haagizi akaniambia yupo fresh hana njaa anakunywa tu soda.

Chakula kimekuja nimekula kiasi nashangaa mzee baba nae kasogea anakula chakula changu yaani sahani moja ila mtu mbili khaaa nikamuuliza vipi tena? Ananiambia nakula kidogo tu [emoji47] jamani. Nikamuambia basi tuagize kingine akaniambia hamna anakula kidogo tu. Nilikula kiasi tu nikaacha yeye akamalizia chote. Nilipotoka pale akawa anapiga piga simu tutoke tena nikamuambia nipo busy sina nafasi khaaa tabia gani ile.
 
Alikua hana Pesa na njaa inauma
 
Wewe ni mchoyo [emoji2][emoji2][emoji2]
 

Ungeenda dukan ukanunua kiwembe ukamnyoa unazira papuchi
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…