Plan Master
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 2,188
- 3,762
Yamekukuta kumbe[emoji848]Angeniambia tungetoa hela kwa pamoja tununue chakula cha kututosha wala haikua na shida. Sasa yeye kanipa uhuru wa kuagiza chochote anadai kashiba hapa ndio alipokosea. Kwanza alikuja na gari kaliii eeh kumbe hela ya msosi hakuna alooo [emoji23][emoji23][emoji23]
Depal nakupendaInawezekana kazi ilikuwa vyedi sana ila ikapiga matukio mabovu [emoji1787][emoji1787]
Haya mkuuDepal nakupenda
Aisee kumbe kweli gari kisu cha kuchinjia waremboAngeniambia tungetoa hela kwa pamoja tununue chakula cha kututosha wala haikua na shida. Sasa yeye kanipa uhuru wa kuagiza chochote anadai kashiba hapa ndio alipokosea. Kwanza alikuja na gari kaliii eeh kumbe hela ya msosi hakuna alooo πππ
Who u gals been dating? π€£π€£π€£π€£π€£Watu wengi wana tabia hiyo wachache sana
Hakuna raha kama unaenda sehem unaagiza unachotaka na kunywa unakuwa free [emoji23][emoji23] sasa wanaume wa hivyo wachache [emoji23][emoji23]
Hapo kwenye matukio em tupaache nisije mwaga chozi mtu mzima asbh hiiπππInawezekana kazi ilikuwa vyedi sana ila ikapiga matukio mabovu π€£π€£
AndikaaHapo kwenye matukio em tupaache nisije mwaga chozi mtu mzima asbh hiiπππ
Mjibu vizuri kijana wa watu, [emoji3][emoji3] mwenzio katoka kanisaniHaya mkuu
Na uhakika nikikutoa mtoko hutojutia na hutaleta kisa kama cha Hannah bali utaleta kisa cha kuenjoy raha ulizopata.Haya mkuu
Depal ndo mwanamke wa ndoto yangu yani kaniteka mzima mzima,maombi ya leo yote nimeyaelekeza kwake.Mjibu vizuri kijana wa watu, [emoji3][emoji3] mwenzio katoka kanisani
Duh umeshikilia hio 'chakula changu' kila post. Huyo jamaa hakuwa na hela ya kutosha na hakuwa na confidence ya kukwambia ungekausha tu chakula sio big deal.Sidhani kama umenielewa. Hivi kwa mfano kama ni wewe umeamua kumtoa mtu out kwa nini usibebe pesa ya kutosha? Kama ni suala la hela kuniambia mapema aliona shida gan ? Nilichoboreka alisema kashiba hakuagiza chakula chake ila akaja kula cha kwangu yaan maana yake ni nini ata ungekuwa wewe ungefurahia?
Rafiki, nimeongea kile ambacho sikukipenda. Kama umekwazika nisamehe.Duh umeshikilia hio 'chakula changu' kila post. Huyo jamaa hakuwa na hela ya kutosha na hakuwa na confidence ya kukwambia ungekausha tu chakula sio big deal.
Sikutoka nae sababu ana gari, hilo gari ni lake sio langu.Aisee kumbe kweli gari kisu cha kuchinjia warembo
Ila sii ndio linaongeza mvuto jamaniSikutoka nae sababu ana gari, hilo gari ni lake sio langu.
Ungejiongeza na wewe hakika ungekuwa umejenga zaidi siyo kila mwanaume anaweza kusema ukweli mbele ya demuRafiki, nimeongea kile ambacho sikukipenda. Kama umekwazika nisamehe.
Nyie sijui hamsomi mkaelewa, kuna sehemu hapo nimesema nilimuambia aagize chakula chake akagoma akidai kashiba asa ningefanyaje zaidi? Ungekuwa ni wewe ungefanyaje? Kama ni suala la hela tungeongea asa mtu kakausha manake nini?Ungejiongeza na wewe hakika ungekuwa umejenga zaidi siyo kila mwanaume anaweza kusema ukweli mbele ya demu
Kuna vitu vinanivutia ila sio gari.Ila sii ndio linaongeza mvuto jamani
Angeniambia tungetoa hela kwa pamoja tununue chakula cha kututosha wala haikua na shida. Sasa yeye kanipa uhuru wa kuagiza chochote anadai kashiba hapa ndio alipokosea. Kwanza alikuja na gari kaliii eeh kumbe hela ya msosi hakuna alooo [emoji23][emoji23][emoji23]
Hello Dinazarde
I love you [emoji8].
Ni siku nyingi nilitamani kukueleza hili suala.
Sorry, mie naishi Makongo Juu Dar es Salaam.
Wewe unaishi wapi?
πππ Labda aliazima. Kiukweli hawa kaka zetu wanapitiaga magumu lakini sasa bora wawe wakweli usijikaushe kumbe hali ni mbaya. Unampa mtu uhuru aagize mazaga zaga kumbe mfuko hausomi.Aliazima labda au sikz hiyo hakuwa na hela [emoji23][emoji23][emoji23] mi huwa nawahurumia [emoji23][emoji23] unaona mtu anajikakamua kabisa anakutoa out lakin unamuona kabisa hayupo huru inabidi ulipie