Kumekua na ongezeko kubwa la Wanawake wenye msongo wa mawazo

Mnawasingizia! Manaume ndiyo yanaongoza kwa msongo wa mawazo. Unakuta jamaa kamaliza zake versity hana ajira anabaki kubugia mipombe tu wenzao wa kike angalau wakijiunga watano wanapata mkopo halmashauri usiokuwa na riba kwa Kigezo cha women empowerment! Wa kiume wanapumulia mashine wameachwa yatima!
 
Mada hii inakuhusu sana naona mleta mada amepiga penyewe hadi umeamua u-confess mwenyewe
Mimi Sina msongo wa mawazo
Msongo wa mawazo ni zile chronic stress mkuu
Mimi ninaamani alhamdulillah vidogo navvohitaji kwenye maishayangu vipo na nineridhika wasioridhiks na ambao Wana matarajio makubwa ndio hupitis hayo km ninastess ni zile za kawaida za kibinadamu
 
Hiyo takwim yako umenifanyia wap na Kwa watu gan?? Maana umeeleza mfano wa hao unaowaona kwenye status zako ila huna uhakika
 
Yaan wewe hujaona hata point moja hapo zote umeona hazikuletei stress?
 
Msongo wa mawazo si kwa wanawake tu. Msongo wa mawazo ni kwa mtanzania yeyote aliyesoma elimu ya Tanzania. Elim na walim wa bongo walituaminisha wanafunzi, ukifaulu vizuri utakuwa na maisha mazuri. Watu wanahitimu michongo hamna. Tunawaangalia wanawake kwasababu wanapaniki sana kutokana na age is matter for them. Thaman yao inashuka umri ukiongezeka. Humkute katoka chuo ana miaka 23, michongo hamna, ubeauty unaanza kufifia kwa msongo wa mawazo. Mwanaume thamani yake inaongezeka umri ukiongezeka kwasababu utafutaji unaendana na mda. Lakin mambo ya kiyumba unachoka.
 
Binti anatengeneza mazingira hasa kama mmezoeana mnajikuta ghafla mkifurahia tendo la uumbaji, baada ya hapa kila mtu na hamsini zake, no strings.
Yaan binti ndio anataka iwe no string attachment au sijaelewa?
 
Hapa umeongea ukweli mkuu ila kwa wanawake nahisi ni mara 2 ya wanaume kwanza akikosa hela ya kusuka tu tayari stress zishapanda kichwani
 
Wamejaa laana za wanaume kwa kuutaka 50/50 na kuendekeza kuvaa nusu uchi, ombaomba na kuchagua wanaume kinyume chake wamejikuta wamegeuka na kua sex toy huku wakipitwa na wakati ili hali kuna mabinti wabichi wanaokuja kwa kasi sana
Binti yako akiwemo?
 
Super women wa mavi huku usiku wakiishia kujichua na kutafuta bodoboda wapaka mkongo wakawakojoze!
🤣🤣🤣 Mnatusingizia jamani bodaboda sie hatutumii mkongo ni nguzu zetu wenyewe ndio zina shenyenta mbususu za single maza
 
Mkuu siku moja nenda viengo vya akili hospitalini ushuhudie mamia ya vijana wa kiume umri huo na digrii zao wanavyotiririka singeli. Wamevurugwa inasikitisha.
 
Wamejaa laana za wanaume kwa kuutaka 50/50 na kuendekeza kuvaa nusu uchi, ombaomba na kuchagua wanaume kinyume chake wamejikuta wamegeuka na kua sex toy huku wakipitwa na wakati ili hali kuna mabinti wabichi wanaokuja kwa kasi sana
Comment ya makasiriko!
Yaani hata wewe tu kwa hii comment yako unaonekana una stress.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…