Labda ni kwa sababu ndio ma "donnors" Wa nguvu kwa wanawake, nimewaza tu hivyo.Sasa mbona wanaume wanongoza kufa na pressure kuliko wanawake?
😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda ni kwa sababu ndio ma "donnors" Wa nguvu kwa wanawake, nimewaza tu hivyo.Sasa mbona wanaume wanongoza kufa na pressure kuliko wanawake?
Ndio mkuu, ila unatakiwa ujue mwanaume anapoishi na mwanamke inabidi aongozwe na akili zake na sio hisia zake, mwanaume ili aishi na mwanamke vizuri kiwango chake cha akili kinabidi kiwe juu kuzidi kiwango chake cha hisia yaan mfano akili atumie 80 mpaka 90% ya akili zake kuishi na mwanamke na hisia zake ziwe ni 10 mpaka 20% tu, ila mwanamke anaishi na mwanaume kwa hisia zaidi sio kwa akili zaidi yaan mwanamke haitaji kutumia akili sana ili aishi na mwanaume maana yeye anatumia hisia zaidi na ndio maana wanaume hawaonyeshi maana hutumia akili kwa kiwango kikubwa kuliko hisia ili kuishi na mwanamkeSasa kutokuonyesha huoni ndio kunasababisha mnakufa haraka kuliko wanawake?
Wanaume wakibongo wengi wamechanganyikiwaLabda ni kwa sababu ndio ma "donnors" Wa nguvu kwa wanawake, nimewaza tu hivyo.
😂😂😂
Ulichojibu na mada yako haviendani.Ndio mkuu, ila unatakiwa ujue mwanaume anapoishi na mwanamke inabidi aongozwe na akili zake na sio hisia zake, mwanaume ili aishi na mwanamke vizuri kiwango chake cha akili kinabidi kiwe juu kuzidi kiwango chake cha hisia yaan mfano akili atumie 80 mpaka 90% ya akili zake kuishi na mwanamke na hisia zake ziwe ni 10 mpaka 20% tu, ila mwanamke anaishi na mwanaume kwa hisia zaidi sio kwa akili zaidi yaan mwanamke haitaji kutumia akili sana ili aishi na mwanaume maana yeye anatumia hisia zaidi na ndio maana wanaume hawaonyeshi maana hutumia akili kwa kiwango kikubwa kuliko hisia ili kuishi na mwanamke
Nimekujibu angalau
🤣🤣🤣Wanaume wakibongo wengi wamechanganyikiwa
Hali sio hali yaan sio shwari kabisa ni vurugu mechiYani huwa nawaza wanalala saa ngapi..jana usiku saa saba nasikia mdada anaanzisha pambio kanisani..naishi karb na kanisa sio krb sana ila kwa sbb wanatumia vipaza sauti nasikia vzr tuuu...
Yani kuvurugwa pro max
Kuna kanisa moja sijui niite kanisa au sehemu ya kukutania lipo mwenge pale linatazamana na sheli ya BP kuna siku napita pale kuna kagorofa hivi pale juu ni wanakutana wanawake yaan ni balaa ni km wamefikwa na jambo kichwani msongo umechachamaa hatariYani huwa nawaza wanalala saa ngapi..jana usiku saa saba nasikia mdada anaanzisha pambio kanisani..naishi karb na kanisa sio krb sana ila kwa sbb wanatumia vipaza sauti nasikia vzr tuuu...
Yani kuvurugwa pro max
Nifah😂
Kiukweli nimeuepuka msongo wa mawazo. Napendwa vizuri, nasikilizwa na kubembelezwa.
Ndio maana wanakesha kwenye makanisa ya Manabii lakini hawatoboi. Msongo unazidi.Aiseee pole yao..
wafuate ushaur huu..,
"Dont worry about anything, instead, pray about everything. Tell God what you need, and thank Him for all He has done. Then you will experience God's peace, which exceeds anything we can understand. His peace will guard your hearts and minds as you live in Christ Jesus."
Philippians 4:6,7 NLT.
Kila la KHERI.Kiukweli nimeuepuka msongo wa mawazo. Napendwa vizuri, nasikilizwa na kubembelezwa.
Nimebahatika, Mungu ameniona.
We si unasema una kiba100. Single mothers wanakifurahia?🤣🤣🤣 Mnatusingizia jamani bodaboda sie hatutumii mkongo ni nguzu zetu wenyewe ndio zina shenyenta mbususu za single maza
Ukiwa na pesa ata uwe na kipenseli wanawake watakwambia u ajua kugegeda mzabzabWe si unasema una kiba100. Single mothers wanakifurahia?