Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Unikome kunitag kwenye ujinga mbwa koko mwenye stress wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unikome kunitag kwenye ujinga mbwa koko mwenye stress wewe
Mkuu katika hali ya kawaida, mwanaume anaweza akafikisha 40 na hana hela kiviile, hajaoa lakini hana msongo wa mawazo. Hawa dada zetu akifikisha 30 alikua anajiona mzuri, halafau hajaolewa anapata msongo. Hali inakua mbaya zaidi akiwa single mother, ni noma! Ukiwa mwenyewe tu unatafuta maisha kuna siku unalala njaa, sasa mfikirie mwenye mtoto au watoto na bado anajitafuta, msongo double.Mkuu siku moja nenda viengo vya akili hospitalini ushuhudie mamia ya vijana wa kiume umri huo na digrii zao wanavyotiririka singeli. Wamevurugwa inasikitisha.
Nani Nifah ?Niliyemtaja,Kila siku ninamuona kama ana msongo wa mawazo!
Tatizo kaachika
Hizi sasa ndio stress zenyewe sasa na hapo ndio stress zimepanda kweli 🥶Unikome kunitag kwenye ujinga mbwa koko mwenye stress wewe
Naona umemwelezea vizuri Miss Natafuta na amekuelewa yaan ni double stressMkuu katika hali ya kawaida, mwanaume anaweza akafikisha 40 na hana hela kiviile, hajaoa lakini hana msongo wa mawazo. Hawa dada zetu akifikisha 30 alikua anajiona mzuri, halafau hajaolewa anapata msongo. Hali inakua mbaya zaidi akiwa single mother, ni noma! Ukiwa mwenyewe tu unatafuta maisha kuna siku unalala njaa, sasa mfikirie mwenye mtoto au watoto na bado anajitafuta, msongo double.
Kipenseli yaan kifupi km nukta?Ukiwa na pesa ata uwe na kipenseli wanawake watakwambia u ajua kugegeda mzabzab
🤣 🤣 🤣 🤣Kuna kanisa moja sijui niite kanisa au sehemu ya kukutania lipo mwenge pale linatazamana na sheli ya BP kuna siku napita pale kuna kagorofa hivi pale juu ni wanakutana wanawake yaan ni balaa ni km wamefikwa na jambo kichwani msongo umechachamaa hatari
Eeh uzi wa stress, maana wengi wanazo si ME si KEHuu uzi uitwe uzi wa stress sio kwa hizi stress na wewe umeacha stress zako
Ila KE ni stress mara 2 mkuu sio km MeEeh uzi wa stress, maana wengi wanazo si ME si KE
Wanaume wanakufa kwasababu wanapokuwa katika msongo hawana mtu wa kuzungumza naye, pia ni wagumu kulia, wao wanatengeneza sumu zaidi katika mwili, sumu aina ya cortisol inapozidi ndio inapelekea magonjwa ya akili, mawazo ya kujiua, magonjwa ya moyo n.kSasa mbona wanaume wanongoza kufa na pressure kuliko wanawake?
Kwa hio wanawake wanaitoaje sumu hio mwilini? Elezea kiundani zaidiWanaume wanakufa kwasababu wanapokuwa katika msongo hawana mtu wa kuzungumza naye, pia ni wagumu kulia, wao wanatengeneza sumu zaidi katika mwili, sumu aina ya cortisol inapozidi ndio inapelekea magonjwa ya akili, mawazo ya kujiua, magonjwa ya moyo n.k
Sema ukweliSingle mother ndiyo wanao ongoza kuwa na msongo wa mawazo
Kwahiyo misongo yenu ya mawazo mmeificha kwenye akili?Ndio mkuu, ila unatakiwa ujue mwanaume anapoishi na mwanamke inabidi aongozwe na akili zake na sio hisia zake, mwanaume ili aishi na mwanamke vizuri kiwango chake cha akili kinabidi kiwe juu kuzidi kiwango chake cha hisia yaan mfano akili atumie 80 mpaka 90% ya akili zake kuishi na mwanamke na hisia zake ziwe ni 10 mpaka 20% tu, ila mwanamke anaishi na mwanaume kwa hisia zaidi sio kwa akili zaidi yaan mwanamke haitaji kutumia akili sana ili aishi na mwanaume maana yeye anatumia hisia zaidi na ndio maana wanaume hawaonyeshi maana hutumia akili kwa kiwango kikubwa kuliko hisia ili kuishi na mwanamke
Nimekujibu angalau
Duuuh ebu fafanua kidogo mimi sijaelewaKwahiyo misongo yenu ya mawazo mmeificha kwenye akili?
Kwa hio wanawake wanaitoaje sumu hio mwilini? Elezea kiundani zaidi
Sio kweli.Ila KE ni stress mara 2 mkuu sio km Me
Hii isomwe na Hulda-TamarriWanawake wanatumia sana connection zilizopo katika jamii ili kuzungumza yale yanayowasibu. Mfano ataanza kuzungumza kwa marafiki zake wa karibu wenyewe wanaitana "mashosti " Labda ana watoto pia ile kwake ni faraja pia anapata kutoka kwa watoto, vikimshinda ndio utaona wanaenda sana makanisani na wakiomba huwa huambatana na vilio, hiyo pia ni namna ya kupunguza msongo.
Emu wewe niambie stress zako hua unazioneshaje mfano nikikunyima mambo fulani?Sio kweli.
Tunatofautiana tu kiwango cha kuzionesha.
Nyie za kwenu mmeamua kuzimalizia kwenye magonjwa ya moyo na pressure.Hii isomwe na Hulda-Tamarri