zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Wewe umechanganyikiwa, halafu mlivyowajanja mkivurugwa mnawavuruga na wanaume makusudi tu, wewe unakopa huko kausha damu mwanaume humwambii km umekopa siku wanakuja kuchukua vitu ndio mwanaume anajua umekopa, huoni km unamvuruga?Tulieni hata nyie mtachanganyikiwa tu
Hii inshu ya 50/50 sio sawa ila kutokana na uchumi na frusa ndogo nchini vijana wengi wana stress ndo maana ukiangalia wanao bet utasikitikaComment ya makasiriko!
Yaani hata wewe tu kwa hii comment yako unaonekana una stress.
Huu uzi uitwe uzi wa stress sio kwa hizi stress na wewe umeacha stress zakoComment ya makasiriko!
Yaani hata wewe tu kwa hii comment yako unaonekana una stress.
Yaan wanaobet wote wamejaa stress tupu si ndio?Hii inshu ya 50/50 sio sawa ila kutokana na uchumi na frusa ndogo nchini vijana wengi wana stress ndo maana ukiangalia wanao bet utasikitika
SawaComment ya makasiriko!
Yaani hata wewe tu kwa hii comment yako unaonekana una stress.
Noo wengi wanadhani nisehemu sahihi ya kufanikiwaYaan wanaobet wote wamejaa stress tupu si ndio?
Ndiyo mkuuBinti yako akiwemo?
Mkuu hii takwimu nimeifanya kwa kutumia sampling ya wanawake wenye umri wa miaka nilioutaja hapo juu, ndio nikaja kwenye kuhitimisha hivyo lakini pia sio kitu cha muda mfupi hapana ni kitu nimekifuatilia kwa muda mrefu sana ila kwa sasa nimebaini idadi ya wanawake wenye msongo wa mawazo ni kubwa sanaHiyo takwim yako umenifanyia wap na Kwa watu gan?? Maana umeeleza mfano wa hao unaowaona kwenye status zako ila huna uhakika
Mkuu kwa ulichoelezea na nilichoelezea vinakinzana, nitasema kwamba wewe umeeleza kwa angle yako na mimi nimeeleza kwa angle yangu ingawa unaposema vitengo vya akili wanaume wanaenda kwa wingi mimi pia nitakwambia jela na mahabusu pia wanaume wapo kwa wingi, hapo pia utasema ni sababu ya msongo wa mawazo au sio?Mkuu siku moja nenda viengo vya akili hospitalini ushuhudie mamia ya vijana wa kiume umri huo na digrii zao wanavyotiririka singeli. Wamevurugwa inasikitisha.
Hizo ndio fursa mkuu. Tumia fursa hiyo kufungua kanisa na kuhubiri mambo ya kuwatia moyo wanawake. Utavuna sadaka za kutosha.
Ukiona tatizo, nyuma yake kuna fursa.
Upo sahihi kabisa mkuu suala zima la ukosefu wa ajira na mfumo wa elimu kuaminishwa kwamba ukisoma utakua na maisha mazuri wakati baadae unakumbana na kinyume chake pia inachangia msongo wa mawazo kwa wote sio wanawake na sio wanaume hilo sikupingi mkuuMsongo wa mawazo si kwa wanawake tu. Msongo wa mawazo ni kwa mtanzania yeyote aliyesoma elimu ya Tanzania. Elim na walim wa bongo walituaminisha wanafunzi, ukifaulu vizuri utakuwa na maisha mazuri. Watu wanahitimu michongo hamna. Tunawaangalia wanawake kwasababu wanapaniki sana kutokana na age is matter for them. Thaman yao inashuka umri ukiongezeka. Humkute katoka chuo ana miaka 23, michongo hamna, ubeauty unaanza kufifia kwa msongo wa mawazo. Mwanaume thamani yake inaongezeka umri ukiongezeka kwasababu utafutaji unaendana na mda. Lakin mambo ya kiyumba unachoka.
πππ Mkuu, umenitoa machozi kwa kunichekesha.Hebu jaribu kuvaa viatu vyao, una watoto wawili halafu huna kazi ya kueleweka. Ila wanawake nao bana, unaruhusu vipi watoto wawili na hujaolewa?
Sasa kutokuonyesha huoni ndio kunasababisha mnakufa haraka kuliko wanawake?Hili la wanaume kua na mzigo wanaoubeba kwenye familia na ukoo kusaidia watoto, ndugu, jamaa na marafiki sio kwamba halipo ila nitakuja kulielezea ni jinsi gani wanaume wana msongo wa mawazo ila wanaweza kuishi na kukabiriana na huo msongo wa mawazo tofauti na jinsi ilivyo kwa wanawake walio wengi. Ingiwa unapozungumzia mzigo lazima uangalie pande zote mbili yaan wanaume na wanawake kila mmoja ana nafasi yake kwa namna yake.
Nikituulia nitakuja kueleza kwanini wanaume wanaishi na msongo wa mawazo ila hawaonyeshi km wana msongo wa mawazo na huwezi jua km ana msongo wa mawazo tofauti na ilivyo kwa mwanamke. Mwanamke akiwa na msongo wa mawazo utajua na lazima atakuonyesha aidha kwa maneno, kwa vitendo au kwa ishara.
Si mnawaua nyinyi na mastress yenu yote mnayaangusha kwa wanaume, mna midomo balaa mkianza kuongea midomo km chirikuSasa mbona wanaume wanongoza kufa na pressure kuliko wanawake?
Nyinyi ndio mnawaua wanaume na midomo yenu, sasa unauliza nini tena hapo?Sasa kutokuonyesha huoni ndio kunasababisha mnakufa haraka kuliko wanawake?
Yani huwa nawaza wanalala saa ngapi..jana usiku saa saba nasikia mdada anaanzisha pambio kanisani..naishi karb na kanisa sio krb sana ila kwa sbb wanatumia vipaza sauti nasikia vzr tuuu...Hahaha hii kali ya zote kwa hio wamevurugwa? Kalpana
Sasa mdomo wa mtu mwingine unakuuq vipi wewe usie na msongo wa mawazo?Si mnawaua nyinyi na mastress yenu yote mnayaangusha kwa wanaume, mna midomo balaa mkianza kuongea midomo km chiriku
Acha ibishi kijanaNyinyi ndio mnawaua wanaume na midomo yenu, sasa unauliza nini tena hapo?