View attachment 1510150
View attachment 1510151
Mwitikio si haba kama mnavyojionea wenyewe .
UPDATES: View attachment 1510291
Strange! Ilionekana kutakuwa na mtifuano au niseme mchuano mkali. Lakini kwa margin hii, the exercise was simple!View attachment 1510150
View attachment 1510151
Mwitikio si haba kama mnavyojionea wenyewe .
UPDATES: View attachment 1510291
Viti Maalum vp? Ni Mukya na nani? Au amepita bila kupingwa kama kawaida
Uko sahihi, hawa kesho wataunga juhudi akina BanangaJapo mimi sio muumini wa kiongozi kukaa madarakani za ya miaka kumi, lakini huyo Bananga ni wale waunga juhudi. Kama Lema atafanikiwa kuwa mbunge kipindi hiki, atangaze kutogombea tena baada ya miaka 15.
Bahati mbaya sana Lema na wasira kwenye kupenda madaraka hawatofautiani. Tofauti yao ipo kwenye umri tu.
Lema hamna kitu kafanya Arusha zaidi ya kuota ilendoto kwamba prezidaa atakufa!! as if yeye hatokufa ndomana wanamwita nabii Tito!!
Safari hii hanachake bang zinampaga mihemuko sana huyu chalii
Mama majaliwa tena? Tumefika hukuNi kweli kabisa mama Majaliwa, ulitakaje labda?
Sawa kabisa, na upo sahihiAisee nampenda Lema.. ila ikipendeza amuachie Binamu Bananga
Kama mkazi niliyozaliwa Arusha, napenda kuona kuna mabadiliko fulani ya kuachiana vijiti, mimi sio muumini wa 'umimi', nadhani ni wakati Lema akamuachia Bananga, Lema apumzike tu kama Mnyika.
Mchuano wa Binamu Bananga (CHADEMA) na Mrisho Gambo (CCM) utatupatia watu bora sana kwa Arusha maana wote nimewapima kwa mizani yangu, ni viongozi wanaofaa, wana mitizamo fulani ya kimaendeleo na kupiga hatua.
Arusha msifanye makosa CHADEMA na CCM ni either Bananga au Mrisho Gambo
Mama majaliwa tena? Tumefika huku
Hongera sana Kamanda Lema ....
Mkuu matokeo ya kura vipi?Twende na Bananga ....Arusha stand up [emoji123]
Kwahiyo kumuulizia mukya, nimekua siyo mstaarabu?Ukitoka kwenye mwanga ukaingia kwenye giza tegemea vitu vyenye ncha kali. Ukija kwa ustaarabu utapata mrejesho wa kistaarabu fustop.
rest in peace chadema na wahuni wote kama wewe mnasapoti wahuni wenzenu hamna lenu mmekwishaaaaa kwishaaaa habari yenuLabda unaenda kufa wewe na mamako
Sawa kabisa, na upo sahihi
Akibaki LEMA kwakweli ataipa picha mbaya sana CHADEMA kwasababu wananchi wengi hata wa Chadema wanalalamikia baadhi ya mambo mengi kuhusu Lema. Sina sababu ya kuyataja
Ila, akigombea Lema, CHADEMA itakuwa katika hali mbaya, Trust my words.
umeingia kwa wazazi ...basi utaanza kufa wewe na wazazi wako mbwa wewe na chadema yako. You all die in peace mthfkcsrsLabda unaenda kufa wewe na mamako
Kwahiyo kumuulizia mukya, nimekua siyo mstaarabu?
barabara zipi? taja barabaraHizo barabara zote madiwani na mbunge ndio waliomba mkopo ADB wakajenga vituo vya afya,miaka yote toka enzi ya batilda,mrema hela ilikua inatafunwa tu
Kuachiana? Dah! Akili zetu hiziAisee nampenda Lema.. ila ikipendeza amuachie Binamu Bananga
Kama mkazi niliyozaliwa Arusha, napenda kuona kuna mabadiliko fulani ya kuachiana vijiti, mimi sio muumini wa 'umimi', nadhani ni wakati Lema akamuachia Bananga, Lema apumzike tu kama Mnyika.
Mchuano wa Binamu Bananga (CHADEMA) na Mrisho Gambo (CCM) utatupatia watu bora sana kwa Arusha maana wote nimewapima kwa mizani yangu, ni viongozi wanaofaa, wana mitizamo fulani ya kimaendeleo na kupiga hatua.
Arusha msifanye makosa CHADEMA na CCM ni either Bananga au Mrisho Gambo